Kama nitakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hakuna kiongozi aliyepo madarakani anayekufikiria wewe na Mimi, kila mtu anawekeza kwa kizazi chake na walio nae karibu sana.Cha msingi kila ulipo pambana na usisahau kupiga kura uwatengenezee wenzio maisha.Hata wewe ukiingia jambo ambalo haliwezi kutokea ubinafsi na hulka nyingine zenye laana zitakuwa dhahiri.Afrika ni shida sana, hakuna atakayetokea mwenye fikra pevu kama Nyerere sio Steve au Yeriko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…