kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Muda huu kungekuwa na msiba mzito kwenye baraza la mawaziri kama nyuma mwiko angefungwa,
Naona wanajeshi bado wana mishahara yao wamegomea bahasha na kocha wala hana shobo na nyuma mwiko.....aibu kwa refa aliyepokea bahasha amejitahidi kuongeza dk zake lakini la kuvunda halina ubani refa apewe ulinzi muda wowote atatekwa kwenda kudaiwa pesa!...bado draw nyingine kabati likamilike!
Wazoea vya kunyonga goli nyingi nyingi kwa timu zenye njaa na makocha waliocheza yanga!
Naona wanajeshi bado wana mishahara yao wamegomea bahasha na kocha wala hana shobo na nyuma mwiko.....aibu kwa refa aliyepokea bahasha amejitahidi kuongeza dk zake lakini la kuvunda halina ubani refa apewe ulinzi muda wowote atatekwa kwenda kudaiwa pesa!...bado draw nyingine kabati likamilike!
Wazoea vya kunyonga goli nyingi nyingi kwa timu zenye njaa na makocha waliocheza yanga!