Kama Okwa anaondoka dirisha dogo, viongozi wa Simba fanyeni hivi kitu kiive vizuri

Kama Okwa anaondoka dirisha dogo, viongozi wa Simba fanyeni hivi kitu kiive vizuri

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
kama kweli Nelson Okwa anaondoka dirisha dogo (sitajali kwa kweli, Dilunga anakiwasha zaidi yake), hakikisheni nyie viongozi pia mnatoa huyo Akpan kwa mkopo, arudi huko Coastal Union.

Hizo nafasi tatu za wazi(Mzungu, Okwa, Akpan) lete Manzoki, lete namba 6 la uhakika kama Semanga Soze, lete beki linalopiga miguu yote linaloweza kucheza namba 2 na namba 3.

Mkifanikisha hayo kaeni kwa kurelaxxx kabisa hata msimu ujao msipofanya usajili ni sawa tu, labda mtachukua mchezaji wa ndani mmoja na kupandisha wa under 20.
 
Manzoki yuko China analipwa mil mia 5 kwa mwezi mlishindwa kutoa 450 ili kuvunja mkataba wake,wachezaji wanaoweza kusajiliwa ni wa bei chee kwa kuwa muhindi kaisusa timu kahamia kwenye ndondi
unaamnisha manzoki analipwa milions 500? kwa mwezi? unamaanisha kiasi cha usd 200,000 walicholipwa vipers?mkuu umedata au lishe kamili hujapata leo?

Tulia kama unanyolewa mkataba wake mfupi naisha december, january yuko simba, hapo inabaki namba 6 wa maana na versatile full back anayeweza 2 na 3
 
Kila nikimtizama okwa namuona midfielder moja nzuri saana wa kuchezesha timu, ile ni namba 8 haswaa, anavyopiga pasi kwa usahihi, anavyopokea mpira na kuachia, uchaguzi wa wapi pa kupasia, anavyoutrack mpira.. Ndio basi tena kila mtu na maono yake..

Toa akpan, toa outtara, toa Kanoute mido gani pass accuracy mbovu.
 
Kila nikimtizama okwa namuona midfielder moja nzuri saana wa kuchezesha timu, ile ni namba 8 haswaa, anavyopiga pasi kwa usahihi, anavyopokea mpira na kuachia, uchaguzi wa wapi pa kupasia, anavyoutrack mpira.. Ndio basi tena kila mtu na maono yake..

Toa akpan, toa outtara, toa Kanoute mido gani pass accuracy mbovu.
aKibaki okwa , outarra aende tu, ila nafasi za usajili ziwe 3 dirisha dogo baada ya hapo watulize wenge siyo lazima kusajili dirisha kubwa lijalo, kanoute yupo sana bro
 
Manzoki yuko China analipwa mil mia 5 kwa mwezi mlishindwa kutoa 450 ili kuvunja mkataba wake,wachezaji wanaoweza kusajiliwa ni wa bei chee kwa kuwa muhindi kaisusa timu kahamia kwenye ndondi
Ila ana mkataba wa miezi minne tu hadi December
 
Ila ana mkataba wa miezi minne tu hadi December
wamekataa kuliamini hilo wana utopolo, kosa kubwa walilolifanya viongozi wa simba ni kutokuwa serious na manzoki au mshambuliaji wa aina yake, kwa sasa angekuwa kesha team up na phiri vizuri sana
 
Kibaki okwa , outarra aende tu, ila nafasi za usajili ziwe 3 dirisha dogo baada ya hapo watulize wenge siyo lazima kusajili dirisha kubwa lijalo, kanoute yupo sana bro
Anaweza akawepo sababu kocha anajua anamtumia vipi, huenda anamfaa kocha katika plans zake, ila kwangu huwa naona anazingua, ni majuzi kati chini ya zoran alicheza juu ya ukuta alicheza vizuri, siku nyingine ni wa hovyo tu, pasi mkaa kibaooo
 
Kila nikimtizama okwa namuona midfielder moja nzuri saana wa kuchezesha timu, ile ni namba 8 haswaa, anavyopiga pasi kwa usahihi, anavyopokea mpira na kuachia, uchaguzi wa wapi pa kupasia, anavyoutrack mpira.. Ndio basi tena kila mtu na maono yake..

Toa akpan, toa outtara, toa Kanoute mido gani pass accuracy mbovu.
Hujui mpira okwa ni kichekesho mtupu
 
Yupi mwenye advantage ya kua ane kati timu aliyopo sasa na Simba? hio miezi 4 hawawezi ku extend kama ata fanya vizuri?
strikers wa aina yake wako wengi afrika cha muhimu ni kwamba dirisha dogo aletwe striker anayecheza style ya manzoki ikibidi awe na urefu ule au zaidi
 
Hujui mpira okwa ni kichekesho mtupu
Ni kawaida asiyejua kujiona mjuaji... Sasa nikikuuliza ubovu wa okwa utajibu nini,
Haya mimi nishasema ubora wake, haya weka nawe hoja zako kisha tuone kwa nafasi yake ni mzuri au kichekesho kama unavyodai.

Umeelewa kauli ya kusema inategemea na mahitaji ya mwalimu.
Mzee mchezaji anaweza kuwa mbovu kwa mourinho akawa nyota kwa ancelloti, aina ya soka analocheza okwa ni jamji ya aboubakar sure boy.
 
strikers wa aina yake wako wengi afrika cha muhimu ni kwamba dirisha dogo aletwe striker anayecheza style ya manzoki ikibidi awe na urefu ule au zaidi
Hii ndo kauli thabiti. Binafsi naamini January Simba hawatahangaika na Manzoki.
 
Ni kawaida asiyejua kujiona mjuaji... Sasa nikikuuliza ubovu wa okwa utajibu nini,
Haya mimi nishasema ubora wake, haya weka nawe hoja zako kisha tuone kwa nafasi yake ni mzuri au kichekesho kama unavyodai.

Umeelewa kauli ya kusema inategemea na mahitaji ya mwalimu.
Mzee mchezaji anaweza kuwa mbovu kwa mourinho akawa nyota kwa ancelloti, aina ya soka analocheza okwa ni jamji ya aboubakar sure boy.
Umemjibu vizuri.tatizo wabongo tuna ujuaji sana wakati hatujui chochote.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Outtra mbovu
Okwa mbovu
Mzungu mbovu
Kanuote mbovu
Chama mbovu
kiufupi timu yetu imejaa wachezaji wenye viwango vya kawaida sana ukifananisha na Yanga Sc.
Umezungumza kijinga sana sipendi watu wapumbavu kama wewe.
Unamuhukumuje Chama?
Au ni mmoja wa wale mliojaa mavi kwenye chupi?!
 
strikers wa aina yake wako wengi afrika cha muhimu ni kwamba dirisha dogo aletwe striker anayecheza style ya manzoki ikibidi awe na urefu ule au zaidi
Wengi kina nani?
Ninyi ndio mnapotosha viongozi na waliwasikiliza mnawalaumu baadae.
Walimuacha Manzoki kwa maneno haya haya eti wachezaji wapo wengi..!Hivi unajua mpira wewe?

Imechukua miaka mingapi kuwepo kwa Mesi na Rinaldo? Sio rahisi kama unavyofikiri.Mwisho tusajili akina Sarpong kutokana na upumbavu kama huu
 
Outtra mbovu
Okwa mbovu
Mzungu mbovu
Kanuote mbovu
Chama mbovu
kiufupi timu yetu imejaa wachezaji wenye viwango vya kawaida sana ukifananisha na Yanga Sc.
Kwenye maisha yako neno chama usitaje wala kuandika tena kubaf
 
Back
Top Bottom