Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Ni mchezaji mbovu,hana kasi bora ya KibuUmezungumza kijinga sana sipendi watu wapumbavu kama wewe.
Unamuhukumuje Chama?
Au ni mmoja wa wale mliojaa mavi kwenye chupi?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mchezaji mbovu,hana kasi bora ya KibuUmezungumza kijinga sana sipendi watu wapumbavu kama wewe.
Unamuhukumuje Chama?
Au ni mmoja wa wale mliojaa mavi kwenye chupi?!
Mlete manzoki mna ela?kama kweli Nelson Okwa anaondoka dirisha dogo (sitajali kwa kweli, Dilunga anakiwasha zaidi yake), hakikisheni nyie viongozi pia mnatoa huyo Akpan kwa mkopo, arudi huko Coastal Union.
Hizo nafasi tatu za wazi(Mzungu, Okwa, Akpan) lete Manzoki, lete namba 6 la uhakika kama Semanga Soze, lete beki linalopiga miguu yote linaloweza kucheza namba 2 na namba 3.
Mkifanikisha hayo kaeni kwa kurelaxxx kabisa hata msimu ujao msipofanya usajili ni sawa tu, labda mtachukua mchezaji wa ndani mmoja na kupandisha wa under 20.
topolo vipi hamna nyepesinyepesi leo? nasikia inonga jana kavua jezi anataka amaliziwe pesa yake ya usajili hawajammalizia mwaka sasa, dah sisi simba inabidi kuiga utawala wa HersiUyo ni utopolo usimuamini sana nyuzi zake nyingi ni za uongo
Mimba changa huwa na kawaida ya kuchukia watu bila sababuOuttra mbovu
Okwa mbovu
Mzungu mbovu
Kanuote mbovu
Chama mbovu
kiufupi timu yetu imejaa wachezaji wenye viwango vya kawaida sana ukifananisha na Yanga Sc.
Aisee ungejua faida ya hizo rafu anazocheza kanoute ungefuta huu utopolo umeandika.Quattara pia aachwe, hamna kitu, Kanoute anacheza sana rafu halafu hana accuracy