Kama Okwa anaondoka dirisha dogo, viongozi wa Simba fanyeni hivi kitu kiive vizuri

Umezungumza kijinga sana sipendi watu wapumbavu kama wewe.
Unamuhukumuje Chama?
Au ni mmoja wa wale mliojaa mavi kwenye chupi?!
Ni mchezaji mbovu,hana kasi bora ya Kibu
 
Mlete manzoki mna ela?
 
Uyo ni utopolo usimuamini sana nyuzi zake nyingi ni za uongo
topolo vipi hamna nyepesinyepesi leo? nasikia inonga jana kavua jezi anataka amaliziwe pesa yake ya usajili hawajammalizia mwaka sasa, dah sisi simba inabidi kuiga utawala wa Hersi
 
Outtra mbovu
Okwa mbovu
Mzungu mbovu
Kanuote mbovu
Chama mbovu
kiufupi timu yetu imejaa wachezaji wenye viwango vya kawaida sana ukifananisha na Yanga Sc.
Mimba changa huwa na kawaida ya kuchukia watu bila sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…