johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi ameiomba UNESCO kukitambua rasmi Kiswahili kama lugha ya mawasiliano duniani na kwamba itangaze tarehe 07 Julai ya kila mwaka kuwa ni Siku ya Kiswahili Duniani.
Hili ni jambo jema, tuombe Mungu alibariki ombi hili.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hili ni jambo jema, tuombe Mungu alibariki ombi hili.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!