Kama ombi la Profesa Kabudi litakubaliwa huko UNESCO basi tarehe 07 Julai kila mwaka itakuwa ni Siku ya Kiswahili Duniani

Kama ombi la Profesa Kabudi litakubaliwa huko UNESCO basi tarehe 07 Julai kila mwaka itakuwa ni Siku ya Kiswahili Duniani

Mara utasikia Prof. Kabudi ameenda UNESCO kuomba chato iingizwe kwenye "URITHI WA DUNIA". Hii nchi watu wana changanyikiwa uzeeni.

Badala viongozi wakae na kushauriana jinsi ya kuokoa roho za raia wao kwenye hili janga la Covid. Raia wanakufa kila siku, Raia kila siku wanaugua na kukimbizana hospital, Raia wanapoteza watu muhimu katika familia zao. Viongozi wanakaa kushauriana upuuzi upuuzi tu.

Nchi za wenzetu maambukizi yanashuka asilimia kila week, kwasababu ya kutilia mkazo tahadhari za kisayansi. Sisi ndio kwanza yanaongezeka, mpaka tukifikia peak ya maambukizi nchini wenzetu watakua wameitokomeza Covid. Halafu watakaa kututazama tu tuki tapa tapa kama kondoo waliopotea zizi.
Ww ndio zero kabisa kujilinda ni dhamana yako na si serikali
 
Lugha haitambuliwi kwa mabavu -kabudi na usomi wake anashindwaje kufahamu hilo.Pata nguvu za kiuchumi kila MTU atahitaji kujua lugha yako.
Hujui kiswahili pia ni Kati ya unit's za uchumi??? Kikitambuliwa duniani ni fulsa ,watu watawekeza pesa zao kwenye kiswahili na kuzalisha pesa kwenye kiswahi.
 
Siku ya kuzaliwa TANU, Julai 7 baadaye ikageuzwa siku ya wakulima Tanzania ndio wanataka iwe siku ya Kiswahili duniani.

Wanaharakati duniani kote pingeni ujinga huu. Kiswahili sio mali ya CCM; ni mali ya dunia itafutwe siku huru isiyomtukuza shetani.
watu wa jamii yako ni viumbe wa ajabu kweli.frozen mind. Unaitupia mawe nyumba inayokustili daaah.unaonekana wewe sio mtanzania mkuu.
 
Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi ameiomba UNESCO kukitambua rasmi Kiswahili kama lugha ya mawasiliano duniani na kwamba itangaze tarehe 07 July ya kila mwaka kuwa ni Siku ya Kiswahili Duniani.

Hili ni jambo jema, tuombe Mungu alibariki ombi hili.

Source ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hili nalo litazidi kutufanya tuwe uchumi wa kati au wa juu?
 
litajazia Kama sio kutusogeza uchumi wa juu.kuna watu watawekeza pesa zao kwny kiswahili
Kiswahili ni worthless commodity duniani maana nchi yetu haina uchumi mkubwa wala hatuna cha maana tunacho export labda kama Korea.

Hamna anayehitaji Kiswahili kwa sababu hata hakuna tekinolojia za maana tunazobuni, na kuuza nje, hakuna vitabu tunavyoandika na watu wetu hawajaenee huko duniani

Watu huko duniani wanasoma Kiswahili just for fun kama mimi navyijifunza Kisukuma kwa sasa. Hakuna pa kukitumia
 
Kiswahili ni worthless commodity duniani maana nchi yetu haina uchumi mkubwa wala hatuna cha maana tunacho export labda kama Korea.

Hamna anayehitaji Kiswahili kwa sababu hata hakuna tekinolojia za maana tunazobuni, na kuuza nje, hakuna vitabu tunavyoandika na watu wetu hawajaenee huko duniani

Watu huko duniani wanasoma Kiswahili just for fun kama mimi navyijifunza Kisukuma kwa sasa. Hakuna pa kukitumia
They are learning for fun ...yes! bt they're not learning for Free ,the re paying for that learning.lakn pia hata Korea Hawa kuwa pale kwa mazingaombwe ghafla bin vuu.walianza kukifanyia kazi kila kitu walichoona Kita changia kukuza uchumi,ndio maana hata kwenye kutengeneza drama wapo,hawakudharau kazi ya Sanaa,na kujali miradi na nuclear tu NO.
 
Ajui kuw 7 July NI 7,7,7, apange Tarehe nyingne
 
Back
Top Bottom