Kama pesa ya Mwanamke hainihusu, kampeni ya kataa ndoa ni halali sababu inakuwa utapeli

Pesa ya mwanamke ni ya kula huku umesimama maana lolote linaweza kukupata...zaid ya hapo ina masimango balaa,huwa hawasahau hata kama alinunua nyama na yeye akala,bado atasema amekulisha
Yeye unamuoa Kwa Ajili ya nini? Kama anataka kula akale kwao au kwake sio ndani mwangu
 
ukitaka kujua sura halisi ya mwanamke pata tatzo halafu ushndwe kuhudumia familia kwa asilima toshelez kama awali,kama hauko vizur kiakil ur dead!!!
Faida ya kuishi nao ni ipi?
 
ni matarajio ya weng kwamba mke atakusaidia pale unapokwama kwa wale wenye vipato ila imekua ndivyo sivyo,hata ktka malezi ya watoto napo hawawez siku iz,kwa hyo faida na hasara ni50/50
Hakuna faida yeyote ya maana kama ukikwama hana msaada.
 
Duu Sasa huyo mwanamke anapeleka wapi hiyo fedha anayoitafuta?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…