Kama polisi ndio wanaishi Maisha haya ya kuombaomba hivi, acha nitafute hela Kazi nyingine hazina heshima

Kuna jamaa namjua yeye anauza bagi anatoa mkuranga njiani anaacha 150k kila siku na anapiga Hela kila siku na kila siku anafata mzigo

Achana na huyo kuna mwingine anafata mirungi Kenya njiani full rushwa unasema Nini wewe
Jamaa yupo sahihi, kama unahisi ni rahisi hivyo Fanya nawewe au mpe ndugu Yako yoyote huo mchongo uone kama atatoboa hata wiki.
 
Kwahiyo wewe na huyo polisi mmeshirikiana kuihujumu serekali ilitakiwa uilipe serekali faini 50k na uende jela miaka mitano, next time usishiriki katika uhalifu huo.
Sawa ahsante Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…