Kama Rais anataka Kumsamehe Sabaya atoke aliko amsamehe, ila haya Maigizo ya Kitoto Mahakamani wenye akili tumeyachoka

Kama Rais anataka Kumsamehe Sabaya atoke aliko amsamehe, ila haya Maigizo ya Kitoto Mahakamani wenye akili tumeyachoka

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tunajua kuwa Sabaya ambaye mwanzo alikuwa 'Defiant' mbele ya 'Mamlaka' sasa 'ameufyata' na kulazimishwa na Watu wa 'Kitengo' aombe Radhi ili afikiriwe na asamehewe kisha 'Muigizaji' wa Sinema aendelee tu kupata 'Credits' kwa Kazi nzuri.

Siku zote Sabaya huwa akipelekwa Mahakamani hatuoni (hatuwaoni) Ndugu zake (hasa Wanawake) na akina Mama Wakilia ila leo cha Kushangaza Sabaya kafika tu Mahakamani Wakaanza Kulia huku Wakimuomba Rais Samia amsamehe Ndugu yao (Mpendwa wao (Sabaya) hali iliyoleta mshangao kwa wengi.

Wenye Akili Kubwa (ila tunachukiwa na Mamlaka hadi katika Mfumo) tunajua kuwa Tukio la Leo lilikuwa 'Staged Strategically' ili Kuwazuga Watu na kwamba Mama (Rais) nae aguswe na aweze Kumsamehe ili azidi kupata Sifa na Umaarufu zaidi.

Msitupotezee muda msameheni tu.
 
ndugu wa sabaya wamekuwa wakihudhuria kila siku. angalia clip zote kwenye youtube kwenye kesi zake utaona.
 
ndugu wa sabaya wamekuwa wakihudhuria kila siku. angalia clip zote kwenye youtube kwenye kesi zake utaona.
Achana nae huyo mwezi mchanga anaejifanya yeye pekee ndio anafuatilia hiyo kesi,amezoea kuwadanganya Wazee wanywa kahawa kwenye vijiwe vya Magomeni anatuona na sisi ni wajinga kama wao.
 
ndugu wa sabaya wamekuwa wakihudhuria kila siku. angalia clip zote kwenye youtube kwenye kesi zake utaona.
Je, mara zote hizo walikuwa Wakilia na Kugalagala hovyo huku wakimtaja Rais Samia na kumuomba Amsamehe Ndugu yao?

Hivi unajua kuwa kwa mtazamo mwingine Kitendo hiki walichokifanya ni kama vile Wamemsakizia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia ) kuwa Yeye ndiyo anamfanya Ndugu yao asote huko Jela aliko hivyo wanamwomba ( Kinafiki ) amwachie?

Tatizo lenu Wengi wenu mna IQ ndogo.
 
Huwa naeleweka vyema na upesi na Vipanga ( Geniuses ) Wachache kama Wewe hapa JamiiForums. Asante Mkuu.
Sisi vipanga tunaona hujajielekeza kiakili and you have not made your point.
Na tueleze mama Samia huwa wanamletea Ikulu yaliyojiri na vilio vya ndugu mahakamani ili awahurumie watu majambazi?
Makes no sense at all.
 
Sisi vipanga tunaona hujajielekeza kiakili and you have not made your point.
Na tueleze mama Samia huwa wanamletea Ikulu yaliyojiri na vilio vya ndugu mahakamani ili awahurumie watu majambazi?
Makes no sense at all.
Acha Kunipotezea muda tafadhali sawa?
 
Hukumu ya rufani mbona mama yake alilia sana na kutokwa kwa machozi akifurahia mwanae kutokutwa na hatia, kwahiyo ndugu waliokuja leo wewe ndiyo umewaona, una raise hoja kitoto sana
 
Back
Top Bottom