johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli hizi data zimenitia moyo zaidi na kunifanya nizidi kutembea kifua mbele.
Ukuaji wa pato la taifa kutoka sh trilioni 53 mwaka 2015 hadi sh trilioni zaidi ya 120 mwaka huu wa 2020 ni jambo la kujivunia ambalo ni lazima tulienzi kwa kumpa Dr Magufuli mitano tena.
Tundu Lisu atapewa kazi pale ofisi ya Mwanasheria mkuu.
Maendeleo hayana vyama!
Ukuaji wa pato la taifa kutoka sh trilioni 53 mwaka 2015 hadi sh trilioni zaidi ya 120 mwaka huu wa 2020 ni jambo la kujivunia ambalo ni lazima tulienzi kwa kumpa Dr Magufuli mitano tena.
Tundu Lisu atapewa kazi pale ofisi ya Mwanasheria mkuu.
Maendeleo hayana vyama!