THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Mtu ambaye hajafikishwa mahakamani kwa mujibu wa falsafa yetu mpya si fisadi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Suala LA mfumo wa vidole so kiki tena kwa upinzani hapo hollaa.....maana kila kituo kina hizo mashineeeee
Ccm oyeeeeeeeee
Wanaruka na kukanyagana wanasoma namba kinyama!!!malaika on the move..........![]()
afanye kazi........ubasata huuWanaruka na kukanyagana wanasoma namba kinyama!!!
Matabula laza, ignoransia class, kwa lugh, lumpen proletariat, totalitarianism..!!???Kumbe hii nchi ina matabula laza wengi hivi?wengine uwaita ignoransia class kwa lugh ili ile,hata ukiwaita Lumpen proletariat kwa lugha ya marxism unakuwa hujakosea sana,nashangazwa na mtu anayeshangilia TOTARITARIANISM
Kama ni msomaji magazeti yaliyomo kwenye hiyo hotuba ni mambo ya magazetini hamna jipya hata moja.NAKUAPIA.Alichofanya ni kukusanya habari za magazetini na kuziandikia hotuba!!! AIbu kuiita ile eti ni hotuba ya upinzani bungeni ni aibu.
CCM ndiyo chama dume,na Magufuri ndiye rais wa Tanzania.Ndugai ni mbunge wa Kongwa na ni mwana CCM na ndiye spika wa Bunge la Tanzania a.k.a bosi wa Mbowe,Lema,Lissu na Miungu wako wote waliopo Bungeni unaowafahamu ww.Km hutaki,fanya hayo yanaweza kukusaidia-ama jinyonge,hama nchi,jitupe bahari na mengine mengi fanani na hayo.Na yakupasa utambuye,CCM ndiyo chama TAWALA hadi mwisho wa kinyongo chako.
Ngoja wapitie hapa nadhani wataitupia kama hiyo kamati ita-edit
Suala LA mfumo wa vidole so kiki tena kwa upinzani hapo hollaa.....maana kila kituo kina hizo mashineeeee
Ccm oyeeeeeeeee
Hivi jipu litatumbuliwa kabla ya kuiva?Kuna kada moja wa Chama Tawala alisema JPM anabinya chunusi tu na Sio majipu. Sasa naanza kuamini kauli yake ni ukweli mtupu.
Post ina akili sana hiiWote hapo kina Nchimbi, Lugumi, Mwema, Mangu anaeficha ushahidi, Kitwanga na lundo la wengine wana tuhuma za kujibu na wangehukumiwa Easy kwenye mahakama ya Mwananchi au mahakama yetu hapa jamii forum /Facebook/ Twitter nk.
Lakini wakienda kwenye Mahakama zetu za kidemocrasia, kikatiba au simple kwa sheria hizi zilizopitishwa na Wanasiasa mnaowasikilizamnaowasikiliza Serikali itashindwa vibaya kabisa.
Kwahiyo ni lazima kuwa na Pozi, kujipanga, na hata malidhiano before kufanya maamuzi ya kupelekana mahakamani.
Muombeeni Raise wenu, Viongozi wenu, Watanzania wenzenu na Bunge lenu, mrudishe ule moto wa kizalendo kuhakikisha nchi inasonga mbele badala ya kufanikisha dreams za MTU moja kusonga mbele.
Allah bless na mzidishie hekima Rais wetu Magufuli