Kama Samatta kakwama huko England mashabiki tuambiwe ukweli

Kupata permit ya kufanya kazi England inakuwa ngumu wakati angekuwa mbelgiji hahitaji permit kufanya kazi England.

Atapata permit, next weekend atakuwa ndani ya uzi wa Aston Villa akiwasaidia wasishuke daraja.

Kila kitu kina taratibu zake, ukute angekuwa na hiyo dual citizenship asingepata hiyo nafasi.

Baada ya Liverpool FC, Aston Villa itakuwa timu yangu ya pili kuishabikia. I hope itabaki Premier.
 
Hizo points anazipata vipi ? Kwani Aston villa before wamu point walikua hawajajua hayo?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uchawi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Isije kuwa afya mgogoro. Ila deal likibuma wabongo kuna kitu mtajifunza. Kuacha kushadadia vitu kabla ya kuwa imehakikishwa.
Mbona ni kawaida tu hiyo, si huwa tunashangilia tangu mashambulizi yanapoelekea golini, "anakwenda Kagere..Kagere...kwake Chama...Chama...Chama..kwake Ajibu..Ajibuuuuuuuuugooooooooooo" akikosa basi tunashika vichwa, wa kutukana anatukana maisha yanaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…