Alikua Japan nadhani ila kulikua na taarifa anarudi NBA tena.Mungu abariki tu ili kijana wetu atimize ndoto zake,na sisi tujivunie angalau,hivi Hashim thabit anaendeleaje? Nilimuombea sana kwa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa rasmi ya Club ikitoka vyote hivyo vitakua wazi, wenzetu huweka wazi issue za Mishahara.... But kwa Mishahara ya Clubs kama Aston Villa Anaweza kulipwa Pound 50,000+ kwa week.Mshahara wake ni upi kwa wiki tafadhali.
99.999% Mkuu....
Alikua Japan nadhani ila kulikua na taarifa anarudi NBA tena.
Kuna watu wanaomba usiku na mchana dili hili libume
Imagine huo mpango wa kwenda Aston Villa ukazingua hivi wale walio mpongeza kwenye page zao pamoja na kuweka picha za photoshop wataweka wapi sura zao.!?? Vipi na wale wanao enda kwenye page ya Aston Villa na viswahili vyao vya kejeli?
Lakin leo Genk si wanacheza, vipi Samatta yupo kwenye kikosi.??
Juzi Jana nimekua nikifatilia habari za Samatta kwenda Aston Villa...
Ukweli ni kwamba keshafanyiwa Vipimo....
Kuhusu kupata Work permit atapata kupitia Record alizonazo huko Genk..... Kwani ana Record zinazombeba kuweka kupata Points za kutosha kwa ajiri ya yeye kupata Work permit....
Nilimsikiliza Coach wa Aston Villa Jana akiongea baada ya Mechi Ma Brighton alisema "Wapo Karibu Sana kumaliza deal la Samatta, walijua asingeweza kucheza dhidi ya Brighton, but Wana uhakika ataanza Mechi ijayo dhidi ya Watford....
Kwa uzoefu wa wengi huko Duniani Aston Villa wanasubiri Work permit ya Samatta iwe tayari ndo WAMTAMBURISHE rasmi....!
Yeye mwenyewe haruhusiwi kusema chochote...
All In all 99.999% Samatta ni Mchezaji wa Aston Villa....
Hiyo 0.1% labda afe Leo.