Juzi Jana nimekua nikifatilia habari za Samatta kwenda Aston Villa...
Ukweli ni kwamba keshafanyiwa Vipimo....
Kuhusu kupata Work permit atapata kupitia Record alizonazo huko Genk..... Kwani ana Record zinazombeba kuweka kupata Points za kutosha kwa ajiri ya yeye kupata Work permit....
Nilimsikiliza Coach wa Aston Villa Jana akiongea baada ya Mechi Ma Brighton alisema "Wapo Karibu Sana kumaliza deal la Samatta, walijua asingeweza kucheza dhidi ya Brighton, but Wana uhakika ataanza Mechi ijayo dhidi ya Watford....
Kwa uzoefu wa wengi huko Duniani Aston Villa wanasubiri Work permit ya Samatta iwe tayari ndo WAMTAMBURISHE rasmi....!
Yeye mwenyewe haruhusiwi kusema chochote...
All In all 99.999% Samatta ni Mchezaji wa Aston Villa....
Hiyo 0.1% labda afe Leo.