The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nimepita mikoa mingi ya nchi yetu na kukuta mabango mengi yanayomsifia Samia. Kwa maoni yangu mabango haya ni kiashiria cha CCM kuanza kumnadi mgombea wa ccm kabla ya nec kupuliza kipenga cha kuanza Kwa kampeni.
Nashauri wagombea wenzie wamuwekee pingamizi wakati ukifika.
Nashauri wagombea wenzie wamuwekee pingamizi wakati ukifika.