#COVID19 Kama sanitizer inauwa virus wa Corona kwenye mikono, kwanini zisiwepo santizer za kunywa Kama maji au juice?

#COVID19 Kama sanitizer inauwa virus wa Corona kwenye mikono, kwanini zisiwepo santizer za kunywa Kama maji au juice?

Felix

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2014
Posts
876
Reaction score
764
Wakuu habari, samahan kuuliza si ujinga na kama ni ujinga basi ukinipa jibu utakuwa umenipunguzia ujinga.

Tunashauriwa kunawa mikono kwa maji tiririka. Iman yangu naamini tukinawa virus wanaondoka na maji, hiyo sawa.

Tukitumia sanitizer, tunapaka kwenye mikono na kuhamin virus wamekufa. Sasa swali langu.

Kama kweli virus wanakufa baada ya kutumia vitakasa mikono, kwann bas wataalam msituruhusu tunywe hizo santizer haswa kwa mgonjwa wa covid, hili kusudi akinywa hiyo sanitizer virusi vikafie ndan, au kudumaa, ama kukosa nguvu na hivyo mgonjwa kupona?

Au pia ata Kama si mgonjwa, mtu unapiga vijiko kadhaa unafili kuwa na kinga ya muda.

Mimi sina shule afya na hivyo sijui vitakasa mikono vina chamical gani inayoua wadudu na hiyo chamical ikiingia ndani ya mwili Ina madhara gani?

Kuna mtu anapaka kitakasa mikono kabla ya kula kitu au mkate, akisha paka anashika mkate anakula sijajua kama sanitizer haiingii tumboni.

Nisadieni kujua, uenda dawa tunayo hapa.
 
Wazo Fikirishi Ngoja wataalam waje watupe darasa zaidi.
 
Mambo ya kukimbia shule haya, nakumbuka walituambia kirusi kinabadilika kulingana na mazingira, kinaweza kuwa kama kiumbe hai au kisicho hai, kwamba kikitoka nje ya mfumo fulani nadhani, kinakuwa na x-ristics za non-living thing.

Sasa tukimpiga sanitizer akiwa mkononi anakufaje? Pengine kuosha mikono atakwenda na maji, maana kuelea hewani haiwezekani kwa kujibu wa wataalamu, ni mzito kuliko hewa eti.

Vyovyote tu sawa.
 
Mambo ya kukimbia shule haya, nakumbuka walituambia kirusi kinabadilika kulingana na mazingira, kinaweza kuwa kama kiumbe hai au kisicho hai, kwamba kikitoka nje ya mfumo fulani nadhani, kinakuwa na x-ristics za non-living thing...
Mkuu naomba kusema Kama sijaelewa. Ina maana unaposema tukitumia sanitizer anakufaje, kwa hiyo tuamin sanitizer haifanyi Kaz au tukitumia kirusi kinadumaa au?
 
You wanna target the Got damn virus 🙂 sippin that shit would cause alot of other issues into your internal organs!

Hahaha!!

Nimekumbuka dogo mmoja ashawahi niuliza, hivi kwa nini maza anahangaika kupika chai, kwa nini tu tusinywe maji ya moto, then tubugie vijiko vya sukari na majani ya chai kidogo?
 
Hahaha!!

Nimekumbuka dogo mmoja ashawahi niuliza, hivi kwa nini maza anahangaika kupika chai, kwa nini tu tusinywe maji ya moto, then tubugie vijiko vya sukari na majani ya chai kidogo?
Huyo dogo naona akili yake imekuwa Kama yangu leo. Tofauti yake mm nimezeeka tu
 
Hahaha!!

Nimekumbuka dogo mmoja ashawahi niuliza, hivi kwa nini maza anahangaika kupika chai, kwa nini tu tusinywe maji ya moto, then tubugie vijiko vya sukari na majani ya chai kidogo?
Dogo alikuwa na mantiki lakini napenda watu Curious😅
 
virusi vinaingia ndani ya seli ili viweze kuishi, kuongezeka na kushambulia, kirusi kikiwa nje kinakua mfu ndio maana sanitizer au maji tiririka na sabuni inaviondoa.

Kama sanitizer ambayo ni alcohol ingeweza kuingia ndani ya seli na kuua virusi ingekua poa sana manake tungekunywa Kvant, konyagi na spirit
 
Mkuu Kama ungekuwa mwalim unaulizwa swali na mwanafunzi ungejibu hivyo? Tusaidie bas wewe uliyesoma sayansi sisi tayar tunajutia makosa
Sasa kama uliyakimbie shule nianze sasa hivi kukufundisha microbiology au virology kuanzia sifa za virus akiwa nje na ndani ya host, namna anavyotegemea mwili wa host kwa ajili ya metabolism, nianze kuchambua aina za DNA na RNA na vitu vilivyoviunda namna gani vina replicates tutaelewana kweli . Morson alimwambia shabiki wake kule kigoma NENDA SHULE
 
virusi vinaingia ndani ya seli ili viweze kuishi, kuongezeka na kushambulia, kirusi kikiwa nje kinakua mfu ndio maana sanitizer au maji tiririka na sabuni inaviondoa.

Kama sanitizer ambayo ni alcohol ingeweza kuingia ndani ya seli na kuua virusi ingekua poa sana manake tungekunywa Kvant, konyagi na spirit

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Asante Sana mkuu, nimepata mwanga.
 
Mkuu kwani kuna kipengele kimekuzuia kunywa hiyo sanitizer?

We kunywa tu chochote ilimradi corona ashindwe. Mbona wakati flani watu walikuwa wanachanga limao,tangawizi, vitunguu, pilipili na vitu kibao bila kusau kujifukiza.

Bongo huwa tunajaribu kila kitu hadi pale tutakapo gundua faida au madhara ya kujaribu kila kitu.

Ningekuwa ndio wewe nimegundua hiyo, ningetest kunywa sanitizer
 
Mkui kwani kuna kipengele kimekuzuia kunywa hiyo sanitizer?
We kunywa tu chochote ilimradi corona ashindwe. Mbona wakati flani watu walikuwa wanachanga limao,tangawizi, vitunguu, pilipili na vitu kibao bila kusau kujifukiza...
Asante Ila Naomba mkuu utest kwa niaba yangu, baada ya muda unipe mrejesho
 
Back
Top Bottom