Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
Siwezi kutest kitu ulichogundua wewe.Asante Ila Naomba mkuu utest kwa niaba yangu, baada ya muda unipe mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kutest kitu ulichogundua wewe.Asante Ila Naomba mkuu utest kwa niaba yangu, baada ya muda unipe mrejesho
Anataka ile tunayojipaka mikononisanitizer ya kunywa si ni Pombe? hasa spirits (Kvant/Konyagi/Kiwingu) nk
nipo online toka saa tatu, wandishi na mafarisayo toka saa moja wapo ufufuo na uzima wanasubiri vijembe vya mzee wa kumaliza ndani ya dakika moja.Ahaaa kumbe ulimanisha Dr Gwajima. Huyo tumuache kwanza ana majukum mengi. Mfano Kama Leo atakuwa macho sanaaa kusikilizia atakachojibiwa kutoka kanisan
Wewe umeona tatizo kwangu na mm najikubali na tatizo Hilo kukimbia sayansi powa.Sasa kama uliyakimbie shule nianze sasa hivi kukufundisha microbiology au virology kuanzia sifa za virus akiwa nje na ndani ya host, namna anavyotegemea mwili wa host kwa ajili ya metabolism, nianze kuchambua aina za DNA na RNA na vitu vilivyoviu
namna gani vina replicates tutaelewana kweli . Morson alimwambia shabiki wake kule kigoma NENDA SHULE
Inafikirisha sanaWakuu habari, samahan kuuliza si ujinga na Kama ni ujinga basi ukinipa jibu utakuwa umenipunguzia ujinga.
Tunashauriwa kunawa mikono kwa maji tiririka. Iman yangu naamini tukinawa virus wanaondoka na maji, hiyo sawa.
Tukitumia santizer, tunapaka kwenye mikono na kuhamin virus wamekufa. Sasa swali langu,
Kama kweli virus wanakufa baada ya kutumia vitakasa mikono, kwann bas wataalam msituruhusu tunywe hizo santizer haswa kwa mgonjwa wa covid, hili kusudi akinywa hiyo sanitizer virusi vikafie ndan, au kudumaa, ama kukosa nguvu na hivyo mgonjwa kupona?
Au pia ata Kama si mgonjwa, mtu unapiga vijiko kadhaa unafili kuwa na kinga ya muda.
Mm Sina shule afiya na hivyo sijui vitakasa mikono vina chamical gan inayoua wadudu na hiyo chamical ikiingia ndan ya mwili Ina madhara gan.
Kuna mtu anapaka kitakasa mikono kabla ya kula kitu au mkate, akisha paka anashika mkate anakula sijajua kama sanitizer haiingii tumboni.
Nisadieni kujua, uenda dawa tunayo hapa.
Wakuu habari, samahan kuuliza si ujinga na Kama ni ujinga basi ukinipa jibu utakuwa umenipunguzia ujinga.
Tunashauriwa kunawa mikono kwa maji tiririka. Iman yangu naamini tukinawa virus wanaondoka na maji, hiyo sawa.
Tukitumia santizer, tunapaka kwenye mikono na kuhamin virus wamekufa. Sasa swali langu,
Kama kweli virus wanakufa baada ya kutumia vitakasa mikono, kwann bas wataalam msituruhusu tunywe hizo santizer haswa kwa mgonjwa wa covid, hili kusudi akinywa hiyo sanitizer virusi vikafie ndan, au kudumaa, ama kukosa nguvu na hivyo mgonjwa kupona?
Au pia ata Kama si mgonjwa, mtu unapiga vijiko kadhaa unafili kuwa na kinga ya muda.
Mm Sina shule afiya na hivyo sijui vitakasa mikono vina chamical gan inayoua wadudu na hiyo chamical ikiingia ndan ya mwili Ina madhara gan.
Kuna mtu anapaka kitakasa mikono kabla ya kula kitu au mkate, akisha paka anashika mkate anakula sijajua kama sanitizer haiingii tumboni.
Nisadieni kujua, uenda dawa tunayo hapa.
Mkuu kuna mambo ya msingi kuyafahamu:
1. Ukila au kunywa kitu huenda tumboni ambapo baadhi hufyonzwa kuingia mwilini na vinavyobaki hutolewa nje kama vinyesi, mkojo au jasho.
2. Ukipata Corona Virus hakai tumboni. Kumbuka changamoto za kupumua na umeme wa moyo kukata.
3. Kirusi huyu kwake zaidi ni kunako mapafu tena kwa kujichimbia kama ule mhimili wenye mzizi mrefu zaidi.
4. Mchanganyiko wa bailojia na kemistri kwa huyu mwamba na mwili wa binadamu ni vyema kuwaachia manguli wa Pfizer, J&J, Moderna nk kuendelea na yao.
5. Sisi kama unavyojua ubobezi wetu uko kwenye nyungu zaidi ambapo kama nabii wetu alivyotegemea tukipimua steam at 100°C kirusi angeyeyuka kama mafuta.
😂😂😂!
Hiiiiii bagosha!
Ahaaa, nakushukuru nimekuelewa, lakin naamin wataalam wetu wanaweza kutengeneza sanitizer itayoenda kwenye mapafu ambako adui ujificha
Mi na wewe tuko kwenye mtumbwi mmoja boss, na mimi nilihitaji kueleweshwa hapo, kirusi nje ya comfort zone yake kinakuwa inactive wanasema, je kinapoteza sifa ya kuwa labda fragile? Sanitizer inawezaje kumuua ndo nami nahitaji kueleweshwa.Mkuu naomba kusema Kama sijaelewa. Ina maana unaposema tukitumia sanitizer anakufaje, kwa hiyo tuamin sanitizer haifanyi Kaz au tukitumia kirusi kinadumaa au?
Sure hasa pombe kali sema maadili hairuhusu kuipromote itumike kulinda imani za watuHujui pombe ni sanitizer unayokunywa?
Naelewa na sii kama nimekariri maana nilipoliona andiko lako nikajua mapungufu yako makubwa tako wapi. Unataka kudhani kuwa kuchambua mambo ya kisayansi ni sawa sawa na kuchambua mashairi ya saadan kwenye fani na maudhui?Wewe umeona tatizo kwangu na mm najikubali na tatizo Hilo kukimbia sayansi powa.
Lakin na wewe naona una tatizo la kukariri ulichofundishwa bila kuhoji kwann ulifundishwa hivyo.
Na unashindwa kujua ata research zilizofanywa na kugundua kirus kinabadirika, unashindwa kuhoji kwann kinabadirika?. Ni sawa Kama ungefundishwa hesabu kwamba mbili unaipata kwa 1+1 ni sawa na mbili Hivyo maisha yako yote unakariri 2 inapatikana kwa fomular hiyo tu. Bila kuja ata 6-4, bado utapata 2!!!
So ongera kwa usomi wako. Sis tusio soma ngoja tuendelee kuuliza maswali
Kunywa Kvant korona utaisikia redioni tuWakuu habari, samahan kuuliza si ujinga na Kama ni ujinga basi ukinipa jibu utakuwa umenipunguzia ujinga.
Tunashauriwa kunawa mikono kwa maji tiririka. Iman yangu naamini tukinawa virus wanaondoka na maji, hiyo sawa...