Kama Saudi Arabia na Vatican wameweza kufanya ibada majumbani sisi tuliopokea dini toka kwao tunashindwa nini?

..... hongera kwa darasa makini
 
We kiumbe una ugonjwa mmoja hatar sana hadi nimekuhurumia. Na ukute unamaanisha! Itoshe kusema licha ya kuaminishwa ishirikishe akili yako hata kidogo bas.
 
Maaskofu wa Katoliki wanateuliwa wapi?

Usilete kuchamba kwingi bwashee!
 
Maaskofu wa Katoliki wanateuliwa wapi?

Usilete kuchamba kwingi bwashee!
Hoja yako imeongelea maaskofu Katoliki? Kwa hiyo ukatoliki ulianzia Vatican? Pitia upya historia yako

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Hoja yako imeongelea maaskofu Katoliki? Kwa hiyo ukatoliki ulianzia Vatican? Pitia upya historia yako

Sent from my SM-A720F using Tapatalk

Ukatoliki ulianzishwa na Warumi wa Italia ndiyo maana hata jina lake ni Roman Catholic.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…