Kama Saudi Arabia wanasherehekea Eid Ijumaa inakuwaje BAKWATA wadai mwezi haujaonekana?

Unateseka wakiulizia? Kama mnafanya mambo yasiyo na logic je?

Nguruwe ale Mkristo lakini wanaowashwa washwa na kulalamika huwa ni Waislam

Inawahusu?
Siwezi kuteseka.... ila pilipili usioila inakuwashia nini?.....
 
Aisee kumbe!!, Mimii sijui kama ni yeye (Nyerere) ndiye aliyeanzisha jambo hili, hebu tupe historia ilikuaje??! [emoji1786]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndio hujui ila Waislam wenzio ndivyo wanavyojua

Muulize Mzee Mohamed Said
 
Siwezi kuteseka.... ila pilipili usioila inakuwashia nini?.....
Mnaowashwa huwa ni ninyi Waislam mkatufundisha na sie

Pilipili ya mbali inakuwasheni enyi Waumin
 
Napoteza muda na wewe...
 
Napoteza muda na wewe... Elimu uchwara...
Chukua application ya sky watch:
Weka tarehe 20.4.23.
Location. Mombasa
Angalia mwezi ulizama dakika ngapi.
Weka tena Location Riadh Saudia
Angalia mwezi ulizama dakika ngapi
BTW hiyo application na nyingine zitakufunza kiasi kiliko shule ulioenda ya geography
 
Wewe ni Mjinga

Sijazungumzia Time differences. Hata Kigoma na Singida muda ni mmoja kabisa mpaka dakika na sekunde lakini kunatofautiana machweo na mchomozo wa jua na mwezi

Nimezungumzia KUONEKANA kwa Mwezi, elewa hilo

Mwezi ukionekana Mombasa na Tanga pia unaonekana, Mwezi ni huo huo

Dunia ina satellite ya asili moja tu na ndio huo Mwezi

Ungezungumzia hata suala la mawingu au ukungu ungeeleweka

Sijui kama unaelewa
 
Tatizo ni kuwa hata Uislam wenyewe huujui [emoji23]
Nakazia wekeza kwenye imani yako,acha kupoteza muda kukosoa kwenye imani isiyokuhusu inaonyesha ni kiasi gani ulivyo dhaifu wa kiimani...."Pilipili usioila inakuwashia nini"
 
Kwa Nini sasa mnateseka na tukila kitimoto ..... Mtulie muwasikilize BAKWATA.
Hakuna anayeteseka nyinyi kula kitimoto, ni insecurity zenu tu ....,halafu suala la BAKWATA linatuhusu sisi walengwa na sio nyie wakereketwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…