Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Naam wengi walisifika kwa harakati na jazba nyingi na ndio wamepatikana sana kwenye issue's za ugaidi.Answaar Muslim si ndio wale jamaa wa Karate na Judo misikitini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam wengi walisifika kwa harakati na jazba nyingi na ndio wamepatikana sana kwenye issue's za ugaidi.Answaar Muslim si ndio wale jamaa wa Karate na Judo misikitini?
Hii yote imesababishwa na Mfumo Kristo na Nyerere ndio alianzisha hili Mohamed Said MokazeKwanini nchi zote zinazotuzunguka hadi Saudi Arabia leo ni sikukuu lakin Tanzania hapana
DahAnswaar Muslim si ndio wale jamaa wa Karate na Judo misikitini?
Siwezi kuteseka.... ila pilipili usioila inakuwashia nini?.....Unateseka wakiulizia? Kama mnafanya mambo yasiyo na logic je?
Nguruwe ale Mkristo lakini wanaowashwa washwa na kulalamika huwa ni Waislam
Inawahusu?
Hii yote imesababishwa na Mfumo Kristo na Nyerere ndio alianzisha hili Mohamed Said Mokaze
[emoji23][emoji23][emoji23]Aisee kumbe!!, Mimii sijui kama ni yeye (Nyerere) ndiye aliyeanzisha jambo hili, hebu tupe historia ilikuaje??! [emoji1786]
Mnaowashwa huwa ni ninyi Waislam mkatufundisha na sieSiwezi kuteseka.... ila pilipili usioila inakuwashia nini?.....
Wekeza kwenye imani yako, mambo ya waislam tuachie wenyewe....Mnaowashwa huwa ni ninyi Waislam mkatufundisha na sie
Pilipili ya mbali inakuwasheni enyi Waumin
Napoteza muda na wewe...Wrong geographical knowledge....!
Tanga ina majira gani tofauti na Mombasa, Dsm ina majira tofauti na Nairobi na Kampala?
TZ ina majira gani ya tofauti na Kenya?
Mwezi ukionekana Mombasa na Tanga unaonekana
Tafuta sababu zenye mantiki ila usitudanganye Sheikh
Napoteza muda na wewe...Wrong geographical knowledge....!
Tanga ina majira gani tofauti na Mombasa, Dsm ina majira tofauti na Nairobi na Kampala?
TZ ina majira gani ya tofauti na Kenya?
Mwezi ukionekana Mombasa na Tanga unaonekana
Tafuta sababu zenye mantiki ila usitudanganye Sheikh
Wrong geographical knowledge....!
Tanga ina majira gani tofauti na Mombasa, Dsm ina majira tofauti na Nairobi na Kampala?
TZ ina majira gani ya tofauti na Kenya?
Mwezi ukionekana Mombasa na Tanga unaonekana
Tafuta sababu zenye mantiki ila usitudanganye Sheikh
Elimu uchwara...Wrong geographical knowledge....!
Tanga ina majira gani tofauti na Mombasa, Dsm ina majira tofauti na Nairobi na Kampala?
TZ ina majira gani ya tofauti na Kenya?
Mwezi ukionekana Mombasa na Tanga unaonekana
Tafuta sababu zenye mantiki ila usitudanganye Sheikh
Kwa iyo leo ndo sikukuu ya kumaliza kushinda njaa?Napoteza muda na wewe...
AiseeKwa iyo leo ndo sikukuu ya kumaliza kushinda njaa?
Wewe ni MjingaNapoteza muda na wewe...
Elimu uchwara...
Chukua application ya sky watch:
Weka tarehe 20.4.23.
Location. Mombasa
Angalia mwezi ulizama dakika ngapi.
Weka tena Location Riadh Saudia
Angalia mwezi ulizama dakika ngapi
BTW hiyo application na nyingine zitakufunza kiasi kiliko shule ulioenda ya geography
Tatizo ni kuwa hata Uislam wenyewe huujui [emoji23]Wekeza kwenye imani yako, mambo ya waislam tuachie wenyewe....
Kwa Nini sasa mnateseka na tukila kitimoto ..... Mtulie muwasikilize BAKWATA.Wekeza kwenye imani yako, mambo ya waislam tuachie wenyewe....
Nakazia wekeza kwenye imani yako,acha kupoteza muda kukosoa kwenye imani isiyokuhusu inaonyesha ni kiasi gani ulivyo dhaifu wa kiimani...."Pilipili usioila inakuwashia nini"Tatizo ni kuwa hata Uislam wenyewe huujui [emoji23]
Mshamba huyoNakazia wekeza kwenye imani yako,acha kupoteza muda kukosoa kwenye imani isiyokuhusu inaonyesha ni kiasi gani ulivyo dhaifu wa kiimani...."Pilipili usioila inakuwashia nini"
Hakuna anayeteseka nyinyi kula kitimoto, ni insecurity zenu tu ....,halafu suala la BAKWATA linatuhusu sisi walengwa na sio nyie wakereketwaKwa Nini sasa mnateseka na tukila kitimoto ..... Mtulie muwasikilize BAKWATA.
Ndio mtulie.... Mle sikukuu ya kusinda njaa leo...Hakuna anayeteseka nyinyi kula kitimoto, ni insecurity zenu tu ....,halafu suala la BAKWATA linatuhusu sisi walengwa na sio nyie wakereketwa
Sikukuu tusherekee sisi kuteseka unateseka mkereketwa...Ndio mtulie.... Mle sikukuu ya kusinda njaa leo...