GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Lakini ni afadhali uambiwe mazuri yasitimie kuliko kuambiwa mabaya na yakawa hivyo.Hahahaaaa we kumbuka mangapi umeambiwa maneno mazuri hlna hayajafanyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ni afadhali uambiwe mazuri yasitimie kuliko kuambiwa mabaya na yakawa hivyo.Hahahaaaa we kumbuka mangapi umeambiwa maneno mazuri hlna hayajafanyika
Bila Hilo limbwata LA mwenge wataongozaje Hawa watu milioni 60 bila Kash Kash. Lazima kila MWAKA AKILI zenu zilazwe ili iwe rahisi.... So every year lazima tu renew mkataba na wachawi[emoji23][emoji23][emoji23]Msimamo wa Serikali ni kuwa Haina dini, ila watu wake ndiyo wenye dini. Labda, inaweza ikawa ni kweli.
Serikali imetuambia pia kuwa haiamini katika uchawi, lakini ni wachache watakaoweza kulipokea hilo!
Kwani Mwenge ni nini kama siyo uchawi?
Inasemekana, Mbio za mwenge ziliasisiwa na mchawi aitwaye Forojo Ganze. Na kama ilivyo kawaida ya uchawi kufanywa kisiri siri, ndivyo na mwenge nao ulivyo. Watu wamekuwa wakidanganywa kuhusiana na mbio za mwenge ili wazione ni mbio za amani, kumbe kuna agenda zingine za siri.
Ukifuatilia yanayotendeka kwenye mikesha ya mwenge, ni dhahiri kuwa, kwa sehemu kubwa, ni mambo ya giza. Ni mikesha inayoambatana na ulevi pamoja na uzinzi kwa wingi.
Ulevi na uzinzi ni ibada ya sanamu.
Je! Serikali itaendelea kuudanganya umma wa Watanzania mpaka lini, kuwa haiamini katika uchawi huku yenyewe ikiendelea kufanya uchawi kila mwaka?
Shauri yako LI-JINI LILEKuna siku nliaza kuuiba mwenge.
Mana naonanaga hakuna ulinzi wa kutosha mara kapewa mwalim mkuu mara kashika mwenyekiti nikaona ukiupanga uhalifu wako kisawasawa unauiba alafu uone watatengeneza mwingine au itakuaje.
ni serikaliNani mmiliki wa mwenge?
Kama ndivyo, basi Serikali nayo inafanya uchawi. Mwenge uliopewa jina la MWENGE WA UHURU ni uchawi wa Serikali.ni serikali