Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Unafikiri hiyo ni kinga, wanajichelewesha tu, rejea kesi ya ugaidi ya Mbowe, hakutoa maelezo, akenda mahakamani na akapatikana na kesi ya kujibu-jifariji mkuu hao jamaa wanakula mvuaTumesikia hawa watuhumiwa wamekataa kutoa vielelezo vifuatavyo kama ushahidi.
1. Maelezo yao ya onyo
2. Wamekataa kurekodiwa sauti
3. Waandishi wa habari online na live hakuna aliyehojiwa
Serikali inapeleka ushahidi upi mahakamani?
Tuna polisi ya hovyo snKama Mbowe tuliambiwa ni gaidi na ushahidi wanao tukausubiri,
Matokeo yake, gaidi akaingia jumba kubwa na picha yake Iko kwenye mabango Nchi nzima!!!
Kuishi kwingi, kuona mengi!!!
Mbowe alikula mnvua?Unafikiri hiyo ni kinga, wanajichelewesha tu, rejea kesi ya ugaidi ya Mbowe, hakutoa maelezo, akenda mahakamani na akapatikana na kesi ya kujibu-jifariji mkuu hao jamaa wanakula mvua
Umesahau alikutwa na kesi ya kujibu na hajajibu hadi leo- akileta za kuleta anaitwa tena kama MadelekaMbowe alikula mnvua?
hata wewe utaenda kutoa ushahidi maana naamini uliwasikia na kuwaona wakieneza chuki, kuchochea uvunjifu wa amani, kueneza ubaguzi na kutishia kufanya tendo la uhaini. watanzania km siyo wote wengi tuliwashudia, we hilo lisikupe shidaTumesikia hawa watuhumiwa wamekataa kutoa vielelezo vifuatavyo kama ushahidi.
1. Maelezo yao ya onyo
2. Wamekataa kurekodiwa sauti
3. Waandishi wa habari online na live hakuna aliyehojiwa
Serikali inapeleka ushahidi upi mahakamani?
Alipewa nafasi ya kujibu?Umesahau alikutwa na kesi ya kujibu na hajajibu hadi leo- akileta za kuleta anaitwa tena kama Madeleka