Kama Serikali ina ubavu wa kupambana na Rushwa ya ngono, waende pale Tanga

Kama Serikali ina ubavu wa kupambana na Rushwa ya ngono, waende pale Tanga

Rushwa ya ngono,atoae ngono ndie unufaika zaidi.
1.anapata uroda
2.anapelekwa lunch, dinner
3.anapewa nauli, usafiri
4.anapewa hitaji lake mfano upendeleo autakao mfano cheo,Kazi, tenda, ajira, promotion,cheti, huduma,nk
5.analazwa sehemu nzuri hotelini
6.anakuwa na uhakika wa chochote akitakacho kwa mpokea rushwa yaani godfather wake.anao uwezo wa kumtawala mpokea rushwa.Mfano kumkamata boss, lecture,afisa na atende kile atakacho asipokubaliana na matakwa ya mtoa rushwa atanyimwa rushwa,usiombe mpokea rushwa aliruka stage kwenye ukuaji.Mugabe alitaka kuhonga nchi kabisa Acha rushwa ya ngono Ina nguvu.
 
Huyo Gwakisa ashasemwa humu ila ulivyomtaja ni kama vile ni lazima wote tumjue. Kwa ambaye hajawahi msoma hatokuelewa
 
Hao anaowanyanyasa kingono kwa nini wapo kimya au jamaa ana mkono mrefu?
Wananufaika wanaolalamika ni wasiotoa rushwa.
Rushwa ya ngono mtu utoa kwa hiari ya either udhaifu wake au mapenzi yake.
 
Huyo Gwakisa ashasemwa humu ila ulivyomtaja ni kama vile ni lazima wote tumjue. Kwa ambaye hajawahi msoma hatokuelewa
Ana nini cha ziada hadi kizishinde taasisi zingine kumshughulikia kwani Takukuru au time ya maadili hamuioni?
 
Duh! Mtoa post mbona umeandika kwa hasira hivi? au kuna manzi kaliwa ukaumia?

Serikali haifanyii kazi umbea,bali ushahidi usio tiliwa shaka. Swala la ngono likiwa katika mahusiano ya kukubaliana wala halina shida, kama demu aliyeliwa kakubali kwa moyo wake na hakuna shida sasa inakuhusu nini?

Ungeeleza madhara ya matendo ya huyu mtumishi, yeye ni nani yuko idara gani,katumiaje vibaya nafasi yake na imeathili vipi sura ya serikali!

Lakini umeandika kimajungu na hasira sana kiasi kwamba watu wataona labda kamla demu wako ahahahaha

Hivi wewe mwenyewe hujawahi kufanya ngono kweli? Kama kweli,basi hii kitu irakurudia wewe(Karma)
 
Watu wa TANGA ule usinga haupo siku hizi?
Basi vukeni mpaka mwende kwa wakamba mkachukue dawa ya kukwamana akiwa na mke wa nje
 
Huyu bwana yupo hapa Tanga nimemfuatilia sana jamaa ni mchafu sio kidogo ni wa kasi kubwa na serikali hii ya CCM yaani ni kama huwa inawatuma watu kufanya ujinga wa namna hii kwa sababu jamaa hajifichi na anaonekana ni mzoefu,nimemfuatilia alikuwa Kule Sumbawanga alisumbua sana na inaonekana kule Sumbawanga alifanya vitu viwili kwa pamoja yaani ukabila,pamoja na ngono maana nasikia aligeuza ofisi ya serikali kuwa ya kabila lake.

Ngono kwa mwendo kasi wadada walimu walipata taabu sana na kwa kweli dada zetu wanateseka sana si kwenye ofisi za Umma wala vyuoni hawako salama ni mateso matupu na hili suala Serikali ya CCM imeshindwa kabisa kulisimamia kwa sababu huwezi kumuhamisha mtu aliyefanya vitendo vya kipumbavu sehemu moja na kumpeleka sehemu nyingine na ukamuacha kwenye ofisi ileile.

Hayo ndio mambo ya serikali ya CCM,ndio maana hata huyu Gwakisa Lusajo hapa kwetu Mkoani Tanga anaendeleza ufalme wake kwa sababu hakuona hatua yoyote iliyochukuliwa juu yake.

Serikali isidhani watanzania hawaoni ila wanaishangaa Serikali yao isivyojielewa.Huko nyuma maadili,heshima,adabu,nidhamu,utii na weredi ndio zilikuwa sifa za kufanya kazi katika sekta ya Umma, Lakini Leo hii serikali inatembea na mtu wa hovyo inamtoa hapa inampeleka sehemu nyingine ili akaendeleze uovu wake na mifano ya sample za akina Gwakisa iko mingi ndani ya serikali hii ya CCM.Labda itoshe kusema kwamba serikali isiyo na maadili haiwezi kushughulikia wasio na maadili.
Wakati mwingine hii serikali huzidiwa na mambo ya kisangoma [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu bwana yupo hapa Tanga nimemfuatilia sana jamaa ni mchafu sio kidogo ni wa kasi kubwa na serikali hii ya CCM yaani ni kama huwa inawatuma watu kufanya ujinga wa namna hii kwa sababu jamaa hajifichi na anaonekana ni mzoefu,nimemfuatilia alikuwa Kule Sumbawanga alisumbua sana na inaonekana kule Sumbawanga alifanya vitu viwili kwa pamoja yaani ukabila,pamoja na ngono maana nasikia aligeuza ofisi ya serikali kuwa ya kabila lake.

Ngono kwa mwendo kasi wadada walimu walipata taabu sana na kwa kweli dada zetu wanateseka sana si kwenye ofisi za Umma wala vyuoni hawako salama ni mateso matupu na hili suala Serikali ya CCM imeshindwa kabisa kulisimamia kwa sababu huwezi kumuhamisha mtu aliyefanya vitendo vya kipumbavu sehemu moja na kumpeleka sehemu nyingine na ukamuacha kwenye ofisi ileile.

Hayo ndio mambo ya serikali ya CCM,ndio maana hata huyu Gwakisa Lusajo hapa kwetu Mkoani Tanga anaendeleza ufalme wake kwa sababu hakuona hatua yoyote iliyochukuliwa juu yake.

Serikali isidhani watanzania hawaoni ila wanaishangaa Serikali yao isivyojielewa.Huko nyuma maadili,heshima,adabu,nidhamu,utii na weredi ndio zilikuwa sifa za kufanya kazi katika sekta ya Umma, Lakini Leo hii serikali inatembea na mtu wa hovyo inamtoa hapa inampeleka sehemu nyingine ili akaendeleze uovu wake na mifano ya sample za akina Gwakisa iko mingi ndani ya serikali hii ya CCM.Labda itoshe kusema kwamba serikali isiyo na maadili haiwezi kushughulikia wasio na maadili.
Huyu Gwakisa ni nani, na cv yake ikoje na huko Tanga ni nani?
Maana inaonyesha anatesa sana watu
 
Duh! Mtoa post mbona umeandika kwa hasira hivi? au kuna manzi kaliwa ukaumia?

Serikali haifanyii kazi umbea,bali ushahidi usio tiliwa shaka. Swala la ngono likiwa katika mahusiano ya kukubaliana wala halina shida, kama demu aliyeliwa kakubali kwa moyo wake na hakuna shida sasa inakuhusu nini?

Ungeeleza madhara ya matendo ya huyu mtumishi, yeye ni nani yuko idara gani,katumiaje vibaya nafasi yake na imeathili vipi sura ya serikali!

Lakini umeandika kimajungu na hasira sana kiasi kwamba watu wataona labda kamla demu wako ahahahaha

Hivi wewe mwenyewe hujawahi kufanya ngono kweli? Kama kweli,basi hii kitu irakurudia wewe(Karma)
Rushwa za ngono kazini ni marufuku, unajua maana ya conflicts of interest?
 
Wanaotoa rushwa ya ngono wanafaidika vitu vingi sana.
1. Uroda
2. Kulala sehemu nzuri eg hotels
3. Kula vizuri huko hotelini kabla ya kuhondomola
4. Kupata kazi
5. Kupangiwa kazi sehemu nzuri yenye usafiri maji na umeme.


MLA rushwa anaingia hasara sana
1. Matumizi ya pesa
2. Kumtafutia kazi
3. Kumtidhisha kimapenzi
Nk

Waonye watoa rushwa maana ndio wanafaidi.

MLA rushwa ni hasara sana
 
Rushwa za ngono kazini ni marufuku, unajua maana ya conflicts of interest?
Mleta post hajaonesha huyu jamaa anaitumiaje ngono ktk mazingira ya kirushwa,kafulumua maneno matupu pasi ushahidi jahadidi!
 
Sisi watu wa lushoto(ushoto) tuna mti unaitw UMBOMBO kwa wenyeji wanaujua vizuri sana narudia tena UMBOMBo
 
Ukiona watu kama GWAKISA bado wako ofisini ndio maana Kuna wakati unaona wazi KABISA CCM kweli imeshindwa kuongoza hv kweli serikali makini inaweza kuwa inatembea na mla Rushwa?

Hivi mtumishi asiye na MAADILI, adabu wala nidhamu ni wa kutumikia umma wa watanzania? Huyo bwana Gwakisa tumesikia alikuwa Manispaa ya Sumbawanga akafanya upumbavu wake pale Sumbawanga Rushwa na kila aina ya ujinga akahamishiwa Muheza Tanga na kwa tabia ya CCM huyu eti bado ni mtumishi mzuri, watu kama hawa wenye rekodi chafu ilipendeza sana kuwafyekelea mbali ili kuisafisha serikali.

Nchi kwa sasa ina wasomi wengi halafu eti inaendelea kufuga wapumbavu maofisini hii haikubaliki hata kidogo.
kwenye CHAMA CHENYEWE kuna RUSHWA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom