Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Rushwa ya ngono,atoae ngono ndie unufaika zaidi.
1.anapata uroda
2.anapelekwa lunch, dinner
3.anapewa nauli, usafiri
4.anapewa hitaji lake mfano upendeleo autakao mfano cheo,Kazi, tenda, ajira, promotion,cheti, huduma,nk
5.analazwa sehemu nzuri hotelini
6.anakuwa na uhakika wa chochote akitakacho kwa mpokea rushwa yaani godfather wake.anao uwezo wa kumtawala mpokea rushwa.Mfano kumkamata boss, lecture,afisa na atende kile atakacho asipokubaliana na matakwa ya mtoa rushwa atanyimwa rushwa,usiombe mpokea rushwa aliruka stage kwenye ukuaji.Mugabe alitaka kuhonga nchi kabisa Acha rushwa ya ngono Ina nguvu.
1.anapata uroda
2.anapelekwa lunch, dinner
3.anapewa nauli, usafiri
4.anapewa hitaji lake mfano upendeleo autakao mfano cheo,Kazi, tenda, ajira, promotion,cheti, huduma,nk
5.analazwa sehemu nzuri hotelini
6.anakuwa na uhakika wa chochote akitakacho kwa mpokea rushwa yaani godfather wake.anao uwezo wa kumtawala mpokea rushwa.Mfano kumkamata boss, lecture,afisa na atende kile atakacho asipokubaliana na matakwa ya mtoa rushwa atanyimwa rushwa,usiombe mpokea rushwa aliruka stage kwenye ukuaji.Mugabe alitaka kuhonga nchi kabisa Acha rushwa ya ngono Ina nguvu.