Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kusema Serikali haina dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".

Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.

Msome Sivalon anachambuwa hilo.

Unafik mtupu.

Well done mkuu.
 
Mungu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo.

Dini ni haya madhehebu tuliyoyaanza wenyewe kwa ajili ya njaa zetu.
 
Serikali ya Tz haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.
Mungu ni Mungu hapo hamna namna utaelezea kwanini? Sababu wenye Dini, wabudu mawe, wasiokuwa na dini wote anamalaka juu yao anaweza kufanya chochote juu yao hata Serekali.
 
Kusema Serikali haina dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".

Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.

Msome Sivalon anachambuwa hilo.

Unafik mtupu.

Kama sio chuki kwa Nyerere iliokuongoza hapa nahakika usinge comment namna hi, anyway maswali ya kizushi ju ya maada na namna ulivyo comment:-
  1. Hivi wimbo wa Taifa ulitungwa na Nyerere?
  2. Kama Nyerere sio mtunzi wa huo wimbo, je kuna nyimbo kadhaa zilitungwa (and may be hazikua zinataja Mungu) na Nyerere alizikataa but akapendekeza huu tulionao?
Kama majibu ya maswali hayo yatakua hapana basi naomba umtake radhi marehem? Mind you, sipingi watu kumchukia Nyerere au kumsema vibaya mahali alipokosea, lakini kama binadamu hua nachukia mtu kumsingizia kosa asilolifanya, kwa mujibu ya dini yangu kufanya hivyo ni DHAMBI hata kama hua nafunga siku kadhaa na pia nimefundishwa chuki ndio chanzo cha mauaji!
 
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.


Soma hadi mwisho uone kama una swali uniulize...

Mungu anayetajwa katika wimbo wa Taifa na pale katika sala za Bungeni ni Mungu wetu wa Pamoja. Nina hakika wewe unajua kwamba sisi binadamu tunaye Mungu wa Pamoja?

Mungu wa Pamoja ndiye yupi huyu? Mungu wa Pamoja ndiye yule ambaye dini zoooote zinamtaja kuwa aliumba ulimwengu. Huyu ndiye Mungu wa pamoja. Ujue dini zetu wanadamu zimeletwa na tafsiri tofauti-tofauti za huyu Mungu wa Pamoja.

Wanoabudu mizimu, wanamwomba Mungu kwa njia ya roho za babu zao. Yaani daraja lao kumfikia Mungu ni roho za mababu.
Wanaomwabudu Mohammad wanamwomba Mungu kwa njia ya roho ya Muhammad (ambaye kwa kweli naye ni Mzimu tu kama ile mizimu ya mababu)

Wanaomwabudu Yesu Kristo wanamwomba Mungu kwa njia ya roho ya Yesu Kristo (ambaye naye ni Mzimu tu kama ileile mizimu ya mababu zetu)

Freemason wanamwomba Mungu kupitia kwa Mtume wao Hiram Abith (nadhani ni Hiram Abith huyu; jina limenitoka kidogo kwa sabu mi si freemaon), naye huyu ni Mzimu tu kama ile mizimu mingine ya mababu, ambayo tunaitumia kama ngazi ya kumfikia Mungu--kila mtu akiwa na mzimu wake anayemwamini zaidi. Wengine Muhammad, Wengine Yesu, Wengine Hiram Abith, wengine babu aliyekufa 1945, na kadhalika na kadhalika.

Kwa hiyo ukiangalia vizuri unakuta wanadamu tunaunganishwa na Mungu wa Pamoja, ambaye tunadhani atatusikia vizuri wakati tukimwomba huruma na misaada kama tukimwomba kupitia kwa mizimu--kila mtu na mzimu wake anayemwamini zaidi.

Sasa nije kwenye Serikali. Serikali inakusanya watu hawa wote na mizimu yao yote hiyo. Ili kuleta Umoja na Mshikamano, Serikali inalazimika kutokufungamana na mzimu hata mmoja katika huo utitiri wa mizimu. Lakini inajua Mungu yupo. Hivyo Dawa imekuwa kumtaja tu huyo Mungu moja kwa Moja kwa sababu ni wa kila mmoja wetu.

Serikali inamtaja huyu Mungu wetu wa pamoja bila mizimu ili kujenga mshikamano wa kitaifa. Lakini kwa kutoa idhini hiyo mizimu kila mmoja wetu akaitaje kwenye nyumba yake ya ibada. Kwa hiyo anayetajwa katika Wimbo wa Taifa ni huyu Mungu wa Pamoja.


Una swali?
 
Kusema Serikali haina dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".

Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.

Msome Sivalon anachambuwa hilo.

Unafik mtupu.

kama Wagalatia wenzake walikuwa wa elimu na vigezo kwann wasipewe nafasi! hao wengine ailiwanyanyua kwa kubinafsisha shule za dini ili kubalance, bila hivyo mpaka leo ingekuwa majanga! Nyerere kweli ni baba wa Taifa na aliona mbali!
 
Serikali ya Tanzania haina dini, tunapoimba wimbo wa taifa tunamtaja Mungu yupi? Inanipa shida sana kuelewa kwenye hii issue. Tafadhari kama kuna mtu anaelewa the reason behind.

Kusema Serikali haina dini ni kutokujuwa maana ya neno "dini".

Hilo lililetwa na Nyerere, huku anahubiri serikali haina dini, huku anawajaza Wagalatia wenzake kila sehemu na kuwapa kipaumbele cha elimu.

Msome Sivalon anachambuwa hilo.

Unafik mtupu.

Wewe FaizaFoxy ni Mwongo sana.

Kwa nini mtu mzima unadanganya watoto humu na kujenga chuki isiyokuwa na ulazima? Wewe unazo tu chuki binafsi kwa Nyerere; lakini pia inaonesha una fikra za kijahidina, zinazokosa kabisa objectivity. Natamani kukuita myopic; huijui vizuri hata hiyo dini yako.


Waislamu wa Enzi za Nyerere hawakupata elimu kwa sababu hii hapa: QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110
Kasome hapo.

Hii sehemu ya Kitabu chako kitakatifu inamkataza Waislamu safi kufundishwa jambo lolote na Makafiri. Kwa hiyo Muislamu safi hawezi kwenda kusoma kwenye shule ya Misheni.

Waarabu hawakujenga shule za kutosha hapa Tanzania turithi. Wamisionari wa Kikristo walijenga shule nyingi tukarithi. QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110 ilikuwa inakataza waislamu kusoma katika hizi shule za Makafiri. Hicho ndicho kilichowanyima Waislamu elimu. Kuna Wachache walidharau Qur an wakaenda kusoma kwenye hizi shule za Misheni. Hawa ndo tunaona walielimika.

Angalia Red hapo Juu. Ukome kujenga chuki katika jamii. Ukome kudanganya watoto wa nchi hii. Na ushindwe kabisa katika jitihada yako ya kuongopea watu. Nenda kasome QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110 kama haikatazi Waislamu kusoma kwenye shule za Misheni!

Mshukuruni nyerere kwa kutaifisha shule za Misheni. Mungesoma wapi?
 
Serikali kutokua na dini,maana yake ni kutoegemea katika msimamo wa dini,moja,kama,yalivyo madola kama ya Iran.
Kwahiyo kutaja Mungu, bila kumjua huyo Mungu ni sahihi?
Vipi kwa Watanzania wasiamini katika Mungu yoyote yule.
Kumbuka Mungu sio jina ni cheo.....
 
Mfumo Kristo...Wimbo wetu wa Taifa una Christianity influence, I am Christian myself but that does not change the fact.

Ukitaka kuelewa soma hapa chini;

Mungu ibariki Afrika is the national anthem of Tanzania. The anthem is the Swahili language version of Enoch Sontonga's popular hymn Nkosi Sikelel' iAfrika that is also used as Zambia's anthem (with different words) and part of South Africa's.[1] It was formerly also used as Zimbabwe's anthem. The word Mungu in Swahili means God and the title of the anthem therefore translates as God bless Africa.

In Finland the same melody is used as the children's psalm Kuule Isä Taivaan (Hear, Heavenly Father). In this form the song has found its way to the common book of psalms used by the major church of Finland........
 
Wewe FaizaFoxy ni Mwongo sana.

Kwa nini mtu mzima unadanganya watoto humu na kujenga chuki isiyokuwa na ulazima? Wewe unazo tu chuki binafsi kwa Nyerere; lakini pia inaonesha una fikra za kijahidina, zinazokosa kabisa objectivity. Natamani kukuita myopic; huijui vizuri hata hiyo dini yako.


Waislamu wa Enzi za Nyerere hawakupata elimu kwa sababu hii hapa: QUR AN TUKUFU; SURAT 3:10
Kasome hapo.

Hii sehemu ya Kitabu chako kitakatifu inamkataza Waislamu safi kufundishwa jambo lolote na Makafiri. Kwa hiyo Muislamu safi hawezi kwenda kusoma kwenye shule ya Misheni.

Waarabu hawakujenga shule za kutosha hapa Tanzania turithi. Wamisionari wa Kikristo walijenga shule nyingi tukarithi. QUR AN TUKUFU; SURAT 3:10 ilikuwa inakataza waislamu kusoma katika hizi shule za Makafiri. Hicho ndicho kilichowanyima Waislamu elimu. Kuna Wachache walidharau Qur an wakaenda kusoma kwenye hizi shule za Misheni. Hawa ndo tunaona walielimika.

Angalia Red hapo Juu. Ukome kujenga chuki katika jamii. Ukome kudanganya watoto wa nchi hii. Na ushindwe kabisa katika jitihada yako ya kuongopea watu. Nenda kasome QUR AN TUKUFU; SURAT 3:10 kama haikatazi Waislamu kusoma kwenye shule za Misheni!

Mshukuruni nyerere kwa kutaifisha shule za Misheni. Mungesoma wapi?

Kwa hiyo hizo porojo na kuhororoja kwako ndio sababu Serikali haina "dini"?

Wewe hata maana ya dini huijuwi, wacha kuhororoja.

Hii hapa Qur'an 3:10

Qur'an 3:10. Kwa hakika wale walio kufuru hazitowafaa kitu kwa Mwenyezi Mungu mali zao, wala watoto wao; nao hao ndio kuni za Motoni

Hata haya huoni? kiko wapi hicho ulichokihubiri?

Siku nyingine usiweke manamba tu, weka aya yenyewe kama u mkweli. Punguani wahed.
 
kama Wagalatia wenzake walikuwa wa elimu na vigezo kwann wasipewe nafasi! hao wengine ailiwanyanyua kwa kubinafsisha shule za dini ili kubalance, bila hivyo mpaka leo ingekuwa majanga! Nyerere kweli ni baba wa Taifa na aliona mbali!

Hiyo elimu imeisaidia nini Tanzania? kuelimika si kwenye kuta nne za darasa, kuelimika ni zaidi ya hapo. Mimi naona wameenda kujazwa ujinga tu na ndiyo maana mpaka Nyerere anaondoka nchi hii ikawa taabani hohehahe hata kula kwa foleni.
 
Back
Top Bottom