Dodoma,Rukwa,Ruvuma,Iringa,Njombe,Shinyanga,Geita,Same,Mara kuna maendeleo gani?Mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani na Tanga ndio inaongoza kwa waislamu wengi... Je, maendeleo yao binafsi ya watu wa huko yakoje?? Je, wanaishi kwenye nyumba za tembe na udongo mpaka leo??
Teeeeeeh teeeeeh njiwa bhaana huko ndio kuisoma nambaAlianza vizuri ameanza kuvuruga , miaka hii 5 ntakuwa mtetezi wa dini yangu si wa CCM ..
hoja ni kuwa waislamu wanakuwa sidelined katika ugawanyaji wa madaraka,na kisingizio cha kuwaziba mdomo ni kwamba eti serikali haina dini
Na ndio maana ikaitwa Pemba na kauli mbiu yao ni NGANGARIMziki gani usubiriwe wakati washachimbwa mkwara mwisho kutoka nje saa 2 usiku na wote washatii amri.
Bahati nzuri agizo limetolewa na mgalatia muislam analitekeleza dhidi ya waislam wenzie kulinda kitumbua chake kwa mgalatia.
Eeenhe!! Wakakwambia uvae nini?crdb
Usingozwe na dini.
Kama wewe umepiga shule haswa na ukaelimika hutahitaji kusema haya unayoyaongea otherwise elimu iwe ya kuunga unga, hakika utahitaji daraja la kukuvusha.
Nyie ndiyo wale mnaokesha vyuoni vya kufundisha ilimu akhera at the same time ukirudi mtaani unasema umetoka shule so unataka kazi.
Tofautisha Dini na Professional carrier
Kikubwa zaid wezi wanaotumbuliwa ni nyinyi wenyewe waimba kwaya.
Na shida iliyopo JK aliwaamin sana waimba kwaya na kilichotokea ni kumhujum na kuligeuza hili taifa kuwa shamba la bibi
Kwan majipu anayoyatumbua muimba kwaya mwenzenu si ni nyinyi wenyewe?
Wanateuliwa wenye UWEZO na UADILIFU siyo dini fulani au kabila fulani au jinsia fulani. Mambo ya UDINI peleka msikitini, kanisani na Jamatin au kwenye matambiko. Rais wangu mpendwa endelea kuteua kwa vigezo vya UWEZO na UADILIFU. Usitishwe na maneno ya wakosa kazi wanaopokea teuzi zako kwa mtazamo wa kidini na kikabila.Kwa hiyo haina dini halafu wakuu wa mikoa wanakuwa waislamu sita na wakristo zaidi ya ishirini. Sasa hao wakristo wamepataje uteuzi kama serikali haina dini na nafasi hazikutangazwa popote!!!
Huu udini wa Magufuli utaligawa taifa na kuvuruga umoja wa kitaifa. Toka ameanza kufanya teuzi jicho lake limeona asilimia 85 wakristo na asilimia 15 waislam. Sasa hawa wakristo wakianza kutumia vibaya madaraka na kuweka wakristo wenzao kama ilivyo Tanesco tutafika? Mimi ni mkristo ila sipendi hiyo hali
Jipu lilikamuliwa mashirika ya umma ni Dr Dau tu,kwingineko shwari tunaendelea na ile salamu yetu ya "Bwana yesu asifiwe" kabla kujadili mambo yetu.
ww leta dhihaka .Lakini huyo dau kaganyiwa uchunguzi kakutwa ni msafi.Jipu lilikamuliwa mashirika ya umma ni Dr Dau tu,kwingineko shwari tunaendelea na ile salamu yetu ya "Bwana yesu asifiwe" kabla kujadili mambo yetu.
Ni sisi au nyinyi ndio mnalia , nani alikuwa akilia jk mdini, nani aliyekuja na uzi wa nssf ....nyi sihuwa mnalilia......sis hatuongei
mufurahi na kaniki zenu misikitini.......
TANAPA,TANESCO,PPF,NHC ni shwari hakuna shariww leta dhihaka .Lakini huyo dau kaganyiwa uchunguzi kakutwa ni msafi.
Mkuu, kama uzi wa namna hiyo upo humu si ungeutoa kwa ajili ya reference? Maneno mengi yasikua na ushahidi sometimes hua inaonekanaga kama ni kelele. Weka ushaidi wa profesa Asad na malalamiko ya Wakristo kwamba hata humu yalikuwepo.Hivi wakati ule JK alivyomteua Assad mbona watu walibweka udini humu, kwa nini hawakuangalia kwamba naye ni mtanzania na ana vigezo?.
Halafu Watu wenye ujuzi, uzalendo na vigezo wanapatikana katika dini zote, kwa nini kila teuzi Waislamu wawe wa kuokotezaokoteza?.
Sidhani kuwa hii ni bahati mbaya, bali ni mfumo unaojengwa au uliojengwa kiudiniudini!
Ili ujue serikali haina dini ulitaka Magu ateuwe wapagani au aache kuteuwa kabisa?Ni sisi au nyinyi ndio mnalia , nani alikuwa akilia jk mdini, nani aliyekuja na uzi wa nssf ....
Magufuli naye anataka kugeuza serikali kanisa sasa...
Haiwezekani wakuu wa mikoa wote waliosimamishwa wengi wa dini moja na kuingiZwa dini nyingine...
Teuzi zilizopita tulisupport tulijua hii ni serikali ya hapa kazi tu!!
Naona kila anapozidi kusimamisha na kuteua anasimamisha waislam anateua wakristo,,
Hata kama serikali haina dini hili lazima tuongee..
I hope hatopewa uenyekiti wa chama maana atafukuza wa dini moja na kuweka wake ...
Nimesoma comments za baadhi ya watu humu, ama kwa hakika baadhi ni wadini sana. Unaendekeza ubaguzi wa kidini hata umefikia hatua ya kuwazungumzia wakristo kwa kutaja vyakula wanavyokula; kwamba ni wala Nguruwe. Tambua kwamba hata hao jamaa zako pia wapo wala Nguruwe na tambua kwamba sio kila Mkristo anakula Nguruwe. Napenda kukufahamisha kwamba, RAIS anateua viongozi kulingana na sifa, majukumu, na mahitaji ya nyakati husika. Pia tambua kwamba Rais ni mwanasiasa, ana chama chake ambacho pia kina taratibu zake. Rais anazingatia Katiba na Sheria pamoja na tamaduni za Watanzania. Watanzania hatuna utamaduni wa kuendekeza udini. Tambua kwamba zipo dini nyingi sana, sio Ukristo tu na Uislamu. Hakuna hata kifungu kimoja katika Katiba na Sheria kinachosema kwamba Rais anatakiwa kuteua kwa kuzingatia DINI ya MTU. Mtu hawezi kuteuliwa eti kwa kuwa yeye ni Mkristo safi au Muislamu bora; zipo sifa za msingi na za maana zaidi ya huo UWIANO WA KIDINI UNAOZUNGUMZIA. Mwisho, nikushauri kwamba, naomba ndugu zetu Wakristo na Waislamu tukazane kuwapatia watoto wetu elimu dunia ili wawe wataalam wenye sifa bora ambazo zitawasaidia kupata fursa mbalimbali za kushiriki Ujenzi wa Taifa letu katika nafasi mbalimbali ndani ya Serikali na hata katika sekta binafsi. Tunahitaji Madaktari, Mainjinia, Manesi, Wanasheria, Wataalam wa Uchumi na Fedha na kadhalika. Naomba ya Kanisani na ya Msikitini tuyaache hukohuko kwenye Nyumba hizo Takatifu za Ibada; tumpe nafasi Rias aongoze Nchi na tusimkwamishe kwa kuanza kuingiza fikra za udini katika teuzi zake. Tanzania tumekua na Marais wa dini tofauti tangu uhuru na Marais hawa wametujengea na kudumisha undugu na umoja ambao ni muhimu sana kwa ustawi wa Taifa letu. Amani yetu ni muhimu sana kuliko dini zetu kwa sababu amani ikivunjika hakuna atakayepona, awe mkristo au muislamu au mhindu. Tuipende Nchi yetu na tutoe mawazo chanya ya kuboresha na tusipoteze muda katika hoja za kutugawa kama hili la UDINI. Mungu Ibariki Tanzania. Vumilieni!!!!!!!
Haiwezekan..haapa ilipofikia haiwezekan
Nchi hii siyo mali ya kanisa
Hatuwez kuruhusu udini ushike hatamu huko serikalin haiwezekan
Magufuli pambana vita na mafisadi
Vita na uislam na waislam hutaiweza