Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani na Tanga ndio inaongoza kwa waislamu wengi... Je, maendeleo yao binafsi ya watu wa huko yakoje?? Je, wanaishi kwenye nyumba za tembe na udongo mpaka leo??
Dodoma,Rukwa,Ruvuma,Iringa,Njombe,Shinyanga,Geita,Same,Mara kuna maendeleo gani?
 
hoja ni kuwa waislamu wanakuwa sidelined katika ugawanyaji wa madaraka,na kisingizio cha kuwaziba mdomo ni kwamba eti serikali haina dini


Kweli kabisa

Na watu wa kwanza kumtazama JK kwa jicho la udini ni hawa


Pamoja na ukweli kwamba JK aliwateua sana hawa jamaa kwa wingi kuliko waislam lkn pale anapowateua waislam tuh utaskia wanaanza kupiga mapambio ya haleluyah kuwa JK mdin

Sasa hii hali ambayo magufuli hiv sasa anaifanya si ni udini uliovuka mipaka?

Kwann hawataki tuhoji?
 
Mziki gani usubiriwe wakati washachimbwa mkwara mwisho kutoka nje saa 2 usiku na wote washatii amri.

Bahati nzuri agizo limetolewa na mgalatia muislam analitekeleza dhidi ya waislam wenzie kulinda kitumbua chake kwa mgalatia.
Na ndio maana ikaitwa Pemba na kauli mbiu yao ni NGANGARI
 
Magufuli pambana vita na mafisadi

Vita na uislam na waislam hutaiweza
 
Usingozwe na dini.
Kama wewe umepiga shule haswa na ukaelimika hutahitaji kusema haya unayoyaongea otherwise elimu iwe ya kuunga unga, hakika utahitaji daraja la kukuvusha.

Ili kuondoa hizi kelele katiba ijayo impunguzie Rais madaraka na kuzikasimu kwa wananchi nafasi hizi za u-DC na RC watu wawachague kisha Rais awaapishe

Lakini kabla katiba haijarekebishwa nafasi ztolewe kwa professional
Nyie ndiyo wale mnaokesha vyuoni vya kufundisha ilimu akhera at the same time ukirudi mtaani unasema umetoka shule so unataka kazi.
Tofautisha Dini na Professional carrier
 
Kikubwa zaid wezi wanaotumbuliwa ni nyinyi wenyewe waimba kwaya.

Na shida iliyopo JK aliwaamin sana waimba kwaya na kilichotokea ni kumhujum na kuligeuza hili taifa kuwa shamba la bibi

Kwan majipu anayoyatumbua muimba kwaya mwenzenu si ni nyinyi wenyewe?

hahahahhaha...Sai kabisa ...sasa acha kulalamika kuwa eti oooh...sijui waislam hawateuliwi

Acha waimba kwaya watumbuliwe ...acha waimba kwaya wengine wateuliwe

Nyie nendeni mkajifunze madrasa
 
Jipu lililokamuliwa mashirika ya umma ni Dr Dau tu,kwingineko shwari tunaendelea na ile salamu yetu ya "Bwana yesu asifiwe" kabla kujadili mambo yetu.
 
siku walipoteuluwa prof assad na jaji athman chande.serikali ilikuwa ina udini.lakini leo 26 -6 imekuwa haina udini.kikwete alikuwa akichagua watu 10.waislam ni wanne wakristo ni sita lakini bado aliitwa mdini.
hhhaaa!!!tutafika tu.Huu ubaguzi.Ila ubaguzi una mwisho wake
 
Kwa hiyo haina dini halafu wakuu wa mikoa wanakuwa waislamu sita na wakristo zaidi ya ishirini. Sasa hao wakristo wamepataje uteuzi kama serikali haina dini na nafasi hazikutangazwa popote!!!

Huu udini wa Magufuli utaligawa taifa na kuvuruga umoja wa kitaifa. Toka ameanza kufanya teuzi jicho lake limeona asilimia 85 wakristo na asilimia 15 waislam. Sasa hawa wakristo wakianza kutumia vibaya madaraka na kuweka wakristo wenzao kama ilivyo Tanesco tutafika? Mimi ni mkristo ila sipendi hiyo hali
Wanateuliwa wenye UWEZO na UADILIFU siyo dini fulani au kabila fulani au jinsia fulani. Mambo ya UDINI peleka msikitini, kanisani na Jamatin au kwenye matambiko. Rais wangu mpendwa endelea kuteua kwa vigezo vya UWEZO na UADILIFU. Usitishwe na maneno ya wakosa kazi wanaopokea teuzi zako kwa mtazamo wa kidini na kikabila.
 
Jipu lilikamuliwa mashirika ya umma ni Dr Dau tu,kwingineko shwari tunaendelea na ile salamu yetu ya "Bwana yesu asifiwe" kabla kujadili mambo yetu.
Jipu lilikamuliwa mashirika ya umma ni Dr Dau tu,kwingineko shwari tunaendelea na ile salamu yetu ya "Bwana yesu asifiwe" kabla kujadili mambo yetu.
ww leta dhihaka .Lakini huyo dau kaganyiwa uchunguzi kakutwa ni msafi.
 
nyi sihuwa mnalilia......sis hatuongei
mufurahi na kaniki zenu misikitini.......
Ni sisi au nyinyi ndio mnalia , nani alikuwa akilia jk mdini, nani aliyekuja na uzi wa nssf ....

Magufuli naye anataka kugeuza serikali kanisa sasa...

Haiwezekani wakuu wa mikoa wote waliosimamishwa wengi wa dini moja na kuingiZwa dini nyingine...

Teuzi zilizopita tulisupport tulijua hii ni serikali ya hapa kazi tu!!

Naona kila anapozidi kusimamisha na kuteua anasimamisha waislam anateua wakristo,,

Hata kama serikali haina dini hili lazima tuongee..

I hope hatopewa uenyekiti wa chama maana atafukuza wa dini moja na kuweka wake ...
 
Hivi wakati ule JK alivyomteua Assad mbona watu walibweka udini humu, kwa nini hawakuangalia kwamba naye ni mtanzania na ana vigezo?.

Halafu Watu wenye ujuzi, uzalendo na vigezo wanapatikana katika dini zote, kwa nini kila teuzi Waislamu wawe wa kuokotezaokoteza?.

Sidhani kuwa hii ni bahati mbaya, bali ni mfumo unaojengwa au uliojengwa kiudiniudini!
Mkuu, kama uzi wa namna hiyo upo humu si ungeutoa kwa ajili ya reference? Maneno mengi yasikua na ushahidi sometimes hua inaonekanaga kama ni kelele. Weka ushaidi wa profesa Asad na malalamiko ya Wakristo kwamba hata humu yalikuwepo.
 
Ni sisi au nyinyi ndio mnalia , nani alikuwa akilia jk mdini, nani aliyekuja na uzi wa nssf ....

Magufuli naye anataka kugeuza serikali kanisa sasa...

Haiwezekani wakuu wa mikoa wote waliosimamishwa wengi wa dini moja na kuingiZwa dini nyingine...

Teuzi zilizopita tulisupport tulijua hii ni serikali ya hapa kazi tu!!

Naona kila anapozidi kusimamisha na kuteua anasimamisha waislam anateua wakristo,,

Hata kama serikali haina dini hili lazima tuongee..

I hope hatopewa uenyekiti wa chama maana atafukuza wa dini moja na kuweka wake ...
Ili ujue serikali haina dini ulitaka Magu ateuwe wapagani au aache kuteuwa kabisa?
Hebu toa maoni yako
 
Nimesoma comments za baadhi ya watu humu, ama kwa hakika baadhi ni wadini sana. Unaendekeza ubaguzi wa kidini hata umefikia hatua ya kuwazungumzia wakristo kwa kutaja vyakula wanavyokula; kwamba ni wala Nguruwe. Tambua kwamba hata hao jamaa zako pia wapo wala Nguruwe na tambua kwamba sio kila Mkristo anakula Nguruwe. Napenda kukufahamisha kwamba, RAIS anateua viongozi kulingana na sifa, majukumu, na mahitaji ya nyakati husika. Pia tambua kwamba Rais ni mwanasiasa, ana chama chake ambacho pia kina taratibu zake. Rais anazingatia Katiba na Sheria pamoja na tamaduni za Watanzania. Watanzania hatuna utamaduni wa kuendekeza udini. Tambua kwamba zipo dini nyingi sana, sio Ukristo tu na Uislamu. Hakuna hata kifungu kimoja katika Katiba na Sheria kinachosema kwamba Rais anatakiwa kuteua kwa kuzingatia DINI ya MTU. Mtu hawezi kuteuliwa eti kwa kuwa yeye ni Mkristo safi au Muislamu bora; zipo sifa za msingi na za maana zaidi ya huo UWIANO WA KIDINI UNAOZUNGUMZIA. Mwisho, nikushauri kwamba, naomba ndugu zetu Wakristo na Waislamu tukazane kuwapatia watoto wetu elimu dunia ili wawe wataalam wenye sifa bora ambazo zitawasaidia kupata fursa mbalimbali za kushiriki Ujenzi wa Taifa letu katika nafasi mbalimbali ndani ya Serikali na hata katika sekta binafsi. Tunahitaji Madaktari, Mainjinia, Manesi, Wanasheria, Wataalam wa Uchumi na Fedha na kadhalika. Naomba ya Kanisani na ya Msikitini tuyaache hukohuko kwenye Nyumba hizo Takatifu za Ibada; tumpe nafasi Rias aongoze Nchi na tusimkwamishe kwa kuanza kuingiza fikra za udini katika teuzi zake. Tanzania tumekua na Marais wa dini tofauti tangu uhuru na Marais hawa wametujengea na kudumisha undugu na umoja ambao ni muhimu sana kwa ustawi wa Taifa letu. Amani yetu ni muhimu sana kuliko dini zetu kwa sababu amani ikivunjika hakuna atakayepona, awe mkristo au muislamu au mhindu. Tuipende Nchi yetu na tutoe mawazo chanya ya kuboresha na tusipoteze muda katika hoja za kutugawa kama hili la UDINI. Mungu Ibariki Tanzania. Vumilieni!!!!!!!

Pumba tupu! hiyo amani ikowapi? kutwa viongozi wa upinzani ndo wanapelekwa polisi na kunyimwa dhamana inamaana viongozi wa ccm huwa hawakosei? MKIWABAGUA VIONGOZI KIVYAMA HASA WA UPINZANI MSICHUKIE PIA MKIBAGULIWA KI DINI
 
Haiwezekan..haapa ilipofikia haiwezekan

Nchi hii siyo mali ya kanisa

Hatuwez kuruhusu udini ushike hatamu huko serikalin haiwezekan


huwezi kuruhusu wewe kama nani??? hahahahaha

Toothless crocodile

Gesi Imetoka haijatoka? Boss usicheze na hii serikali.....Tutakutumbuaaa hadi ushangae
 
Magufuli pambana vita na mafisadi

Vita na uislam na waislam hutaiweza

Hii vita ina cut across kwa kila mtu...kila dini

Tukiamua tumeamua...Na ninyi mmeingiza serikali hasara sana....kwa mtindo wenu wa kubebana...Tutamsaidia Rais kwa nguvu zote....Read my words between the line
 
Back
Top Bottom