Tanzania Government is of Neutrality Is not "Anti-Religion" is this true?
Tunasema Serikali ya Tanzania haina dini lakini watu wake wana dini. Vipi hii.?
Ikiwa serikali ni ya watu na kwa ajili ya watu. Is this true and how far is true?
wao wanakuja na blablaa kibao eti waisalam hawajasoma,sijui takwimu hizi nani anawadanganya kuna waislam wana run organization kubwa na wanatambulika kimataifa kwa kazi na uweledi wao,mfano mkurugenzi wa Ifakara Health InstituteWale wale walikuwa wakimshutumu JK mdini leo Ndio wanabana pua kukemea udini!! ,
Teuzi za Jk hazikuwa na udini hata kidogo, Lakini huyu udini uko wazi kabisa Lakini wale wale nyumbu wa udini eti leo wanakemea watu kusema udini,
Baraza la mawaziri, naibu waziri, katibu wakuu, naibu katibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya umma, viongozi wa majeshi ya ulinzi, nina hakika 90% ni kristo, halafu eti tunyamaze hapa hatutanyamaza ikifikia kupigania haki yetu wala hatuogopi, kama nchi yetu sote lazima ionyeshe sura ya umoja, Pale Tanesco Ndio Dayosisi nzima iko pale,
Moshi, Arusha, Mwanza, Mbeya kuna maendeleo makubwa sana... Iringa, Same unafananisha na Lindi au Pwani??Dodoma,Rukwa,Ruvuma,Iringa,Njombe,Shinyanga,Geita,Same,Mara kuna maendeleo gani?
Usipende kubisha kila kitu,JF hatujajiunga leo tumeshuhudia mengi humu.Ukiondoa hayo tumeshuhudia mengi mpaka baadhi ya viongozi wa nchi wenye imani za kiislamu kuzushiwa mambo ya ajabu kama kuuza tausi wa ikulu n.kMkuu, kama uzi wa namna hiyo upo humu si ungeutoa kwa ajili ya reference? Maneno mengi yasikua na ushahidi sometimes hua inaonekanaga kama ni kelele. Weka ushaidi wa profesa Asad na malalamiko ya Wakristo kwamba hata humu yalikuwepo.
Nyie ndiyo wale mnaokesha vyuoni vya kufundisha ilimu akhera at the same time ukirudi mtaani unasema umetoka shule so unataka kazi.
Tofautisha Dini na Professional carrier
Mbona wakati wa JK mlikuwa kimya na sasa hivi kelele kibao, huo si unafiki wa wala nguruwe kimyakimya?Tatizo ni unafiki wa wala NGURUWE, wakati wa jk mbona matamko yalikuwa mengi sana sahv kimya
waislam wao ni kelele all days
kutwa ni kushinda kwenye mabao na kwenye madrafti wakiishi mjini kwa chuma ulete.....
ukiangalia miji ya kiislam kma lindi,zanzbar,kilwa hamnaga maendeleo wamekalia uchawi na kusomea wenzao duaah waspate maendeleo.......
akina john wanaangaikia masters nk.......alaf baadae wanaanza kelele.......
theme umeelewa lkn?????????Sasa wewe ndio unajiita umeelimika eti zanzibar ni MJI?! Huko shule ulienda kusoma nini??
Usipende kubisha kila kitu,JF hatujajiunga leo tumeshuhudia mengi humu.Ukiondoa hayo tumeshuhudia mengi mpaka baadhi ya viongozi wa nchi wenye imani za kiislamu kuzushiwa mambo ya ajabu kama kuuza tausi wa ikulu n.k
Hatuko hapa kumchafua wala kumsingizia mtu jambo.
Kwa ushahidi kabisa alipoteuliwa Jaji Othman Chande wakristo wenzako hapa walikaukiwa mate.Wengine walifika mbali mpaka wakasema ni ushawishi wa Othman Rashid.Sisi hapa tumeshusha data sio mambo ya kuhisi.Jahazi hili linaheremea upande mmoja.
Shule aitoe wapi huyo,asilimia 70% ya wanajiita wasomi wamefoji vyeti.Cheti kimoja kimetumiwa na watu 10 tofauti kuomba kazi.NIDA wamegundua katika kutoa vitambulisho jina moja lina appear mara 10 kwa watu tofauti.Sasa wewe ndio unajiita umeelimika eti zanzibar ni MJI?! Huko shule ulienda kusoma nini??
Hizo ni DayosisiTANAPA,TANESCO,PPF,NHC ni shwari hakuna shari
Moshi, Arusha, Mwanza, Mbeya kuna maendeleo makubwa sana... Iringa, Same unafananisha na Lindi au Pwani??
Moshi, Arusha, Mwanza, Mbeya kuna maendeleo makubwa sana... Iringa, Same unafananisha na Lindi au Pwani??
mnajitia hisia...........Na litamzamia hili jahazi
Atake asitake magufuli jahaz hili litamzamia
Kama udini huu ambao sisi tumeanza kuupiga vita tokea zama za nyerere mchonga yeye anataka kuurudisha basi hatofika mbali
Lazima atambue nchi hii siyo mali ya kanisa na kila watu wana nafas ya kushiriki katika cake ya taifa na utumish wa umma
Mambo ya kugeuza ofis za umma kuwa vigango vya kanisa au dayosisi haitavumiliwa hata kidogo.
Na litamzamia hili jahazi
Atake asitake magufuli jahaz hili litamzamia
Kama udini huu ambao sisi tumeanza kuupiga vita tokea zama za nyerere mchonga yeye anataka kuurudisha basi hatofika mbali
Lazima atambue nchi hii siyo mali ya kanisa na kila watu wana nafas ya kushiriki katika cake ya taifa na utumish wa umma
Mambo ya kugeuza ofis za umma kuwa vigango vya kanisa au dayosisi haitavumiliwa hata kidogo.
hao tunasali nao jumuiaTANAPA,TANESCO,PPF,NHC ni shwari hakuna shari
Hii vita ina cut across kwa kila mtu...kila dini
Tukiamua tumeamua...Na ninyi mmeingiza serikali hasara sana....kwa mtindo wenu wa kubebana...Tutamsaidia Rais kwa nguvu zote....Read my words between the line
Kwa kuwa wao ndio matairi au miguu?mnajitia hisia...........
na bado axeeee mtawewesedka sana na kanisa,....
nchi hii bila wazkristo haiendi
hao tunasali nao jumuia