Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Siku ile ikija na baadhi yenu mkahekimika na kujadili masuala anuai bila kufungwa na mitazamo ya kidini, mtafurahia uhuru wa mawazo, sasa kifikra mmefungwa na kuna maeneo mtakwama sababu ya ubaguzi. Taifa hujengwa na watu wa fikra huru, humu baadhi si wajengaji. Nafikiri kuna watu wanahitaji kutazamwa malengo yao haswa ni nini.
 


Kwa hiyo wewe unataka watu wateuliwe au kuajiliwa kwa misingi ya dini siyo!!?
 
mnajitia hisia...........
na bado axeeee mtawewesedka sana na kanisa,....
nchi hii bila wazkristo haiendi


Aaah wapj wewe

Nchii hi bila kanisa haiendi?nan kakuambia?

Au unazungumzia kanisa gan..kanisa hili hili ambalo lilishiriki kwenye escrow na wachungaji wake au kanisa gan hasa?

Usijitoe ufaham ww
 
Acha uongo na propaganda za kijinga hazisaidii
 
Saa hizi ndo mda wa kufanyia renovation makanisa yetu,na kujenga mahospitali zaidi,nyinyi si bahati mliichezea,ngoja sasa wataalamu tufanye yetu......ha ha ha ha mbavu zangu jamani


Mkuu ikiwezekana MoU iboreshwe.......................hahahaha.
 
Mimi sina dini mkuu, lakini nikiangalia huwa kuna dini moja hawapendi elimu alafu wanalialia kwanini hawapewi nafasi za serikali.
Watu kama hao wakiitawala nchi tutegemee nini?

Elimu
Elimu
Elimu
Ni nani analalamika NSSF kuwa kumejaa udini, acha kujitoa ufahamu na kujifanya chizi... Tutasema tutasema tutasema na hatutachoka
 
sasa si wangeteuliwa...mkipewa nafasi kama dau mnageuza ofisi misikiti....hovyo kabisa

Na kuna yule CAG ajiandae kufunga virago
Bora we umekuwa muwazi kama Donald Trump, sema yote babaa yalifichika kwenye roho yako...
 
Majuzi niliingia Tanesco makao makuu asubuhi nikakuta wanasali sala ya mama Maria, wakati wa kazi kuuliza nikaambiwa ndiyo utaratibu wetu huu ni ushirika wa Tanesco Parokia ya Ubungo nilibaki nashangaa tu.
 
Sasa kama nchi hii siyo ya kanisa wala msikiti kwanin huko serikalin mjaze watoto wa maparoko tuuh kama kuna kipaimara au mnafungua dayosis?

serikalini watu hawapewi ajira kwa kuangalia dini zao...Infact....dini sio moja ya criteria
 
Majuzi niliingia Tanesco makao makuu asubuhi nikakuta wanasali sala ya mama Maria, wakati wa kazi kuuliza nikaambiwa ndiyo utaratibu wetu huu ni ushirika wa Tanesco Parokia ya Ubungo nilibaki nashangaa tu.
 
Majuzi niliingia Tanesco makao makuu asubuhi nikakuta wanasali sala ya mama Maria, wakati wa kazi kuuliza nikaambiwa ndiyo utaratibu wetu huu ni ushirika wa Tanesco Parokia ya Ubungo nilibaki nashangaa tu.

na wewe naweee...unajiita muislam huku uko muongo muongo na tapeli tapeli
 
Majuzi niliingia Tanesco makao makuu asubuhi nikakuta wanasali sala ya mama Maria, wakati wa kazi kuuliza nikaambiwa ndiyo utaratibu wetu huu ni ushirika wa Tanesco Parokia ya Ubungo nilibaki nashangaa tu.
Kali sana io
 
TANAPA,TANESCO,PPF,NHC ni shwari hakuna shari
Hawa wote ni wana ushirika tunasali wote Kanisa la Mbezi na wengine wanasali Tegeta ni wana jumuiya hawana tatizo.
 

Waislam walishakubali na kulalamika sana humu JF kuwa wako nyuma kielimu na wengi wao hawakusoma. Waislam wanadai kuwa wakristo wamependelewa katika elimu kwa miaka mingi ndiyo maana wengi wao wamesoma na wanashika nafasi za juu.

Sasa kama hayo ni kweli basi inawezekana kabisa teuzi nyingi Waislam wanazikosa kwa ajili ya kigezo cha elimu. Imagine kama ratio kwenye elimu iko kwenye 1:10 basi lazima tutegemee hivyo hivyo kwenye ajira.

La sivyo inabidi tukubaliane kwanza kuwa elimu ya Tanzania haitolewi kwa upendeleo kama watu wanavyotaka tuamini na idadi ya wasomi wa Kikristo na Waislam iko sawa approx. 1:1 au 1:2. Kama tutakubaliana hapo then malalamiko ya udini yanaweza kumake sense. Lakini sioni sababu watu wakubali kuwa Waislam hawajasoma (for whatever reasons) kama wenzao halafu kwenye ajira utegemee wawe sawa!!
 
Moshi, Arusha, Mwanza, Mbeya kuna maendeleo makubwa sana... Iringa, Same unafananisha na Lindi au Pwani??
Teh teh teh!!

Maendeleo sana watu wanakunya milimani hawana vyoo wengine wanalala na mbuzi room moja...daah Tanzania bana kuna mapunguani wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…