Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

theme umeelewa lkn?????????

Theme gani? Wewe unadai umeelimika na unadai zanzibar ni Mji?! .. Sijui elimu gani uliyokuwa nayo.. Ni sawa kuita kenya mji, rusia mji... Ati mji wa zanzibar
 
Hili swala la udini lipo na Serikali inatakiwa iunde mfumo wa kuteua na kuajiri utakaokuwa standard na unaotakiwa hata uwe ndani ya katiba.Sio kila kiongozi akiwa madarakani ateue na kuajiri anavyoona na kujisikia.Hili la wakuu wa mkoa sio fair kabisa ingetakiwa wakristo nusu na waislam nusu. Hata mawaziri pia.Kwa sasa uteuzi umeegamia kwenye kujuana,undugu,ukada na mengine yasioleta usawa wa kidini.Mfumo uliopo wenye mafungamano na chama kimoja una mapungufu mengi sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tanzania Government is of Neutrality Is not "Anti-Religion" is this true?

Tunasema Serikali ya Tanzania haina dini lakini watu wake wana dini. Vipi hii.?

Ikiwa serikali ni ya watu na kwa ajili ya watu. Is this true and how far is true?
Ndugu,

Kitu au Chombo chochote chenye Sheria, Kanuni na Taratibu, ni Dini.
Katiba ina Sheria, Kanuni na Taratibu. Katiba ni Dini. Katiba ni Siasa. Na pia, Siasa ni Uraia.

Kwa mantinki hiyo basi, tunasema Uraia ni Dini. Na kwamba TANZANIA kama Taifa , Ina Dini.

Tukisema Serikali ya Tanzania haina dini, maana yake ni kwamba, tunakataa kuwa hatuna Katiba, hatuna Siasa, na kwamba hatuna Uraia au Raia katika Taifa letu. Huku ni kujidanganya + kujipotosha!
 
Serikali kama haina dini, kwa nini wimbo wa taifa unamtaja mungu?

Wakati kuna Watanzania wengine hatuamini katika kuwapo kwa mungu?

Dini ni imani ya mtu katika kitu fulani, kama mungu, shetani, mawe, mito, miti, bahari nk. hata sisi tusioamini kati vitu hivi, na sisi hiyo ndio dini yetu. How do an individual base their moral values thta is dini.
 
Mimi nachojiuliza tokea walipoanza kugeuza ofis za umma kuwa dayosisi na vigango hawajatosheka tuh?

Maana hakuna cha maana wanachofanya zaid ya kuiba pesa za umma na kuzipeleka kwenye sadaka huku wakiungama dhambi zao

Bure kabisa hawa jamaa

CCM ndo wakulaumiwa maana ndo wapo madarakani yangu tuzaliwe , mkiambiwa muibadilishe ccm hamtaki.......acha yawapate ya kuwapata waislam a.k.a vibaraka wa maccm
 
Naona wafuga madevu kama fagio la choo cha stand povu linawatoka wamesahau serikali wanayoilaumu ni ya ccm na ni wao wanaoipigania kila siku hata kura mnaiba ili mradi mtawale tu. Malipo hapa hapa duniani , JPM endelea kuwatimulia vumbi hadi uccm uwatoke vichwani mwao
 
A government is a separate legal entity just like a company
 
Hivi dini ndo inayofanya kazi au utendaji wa mtu. Hoja ya udini sijui nini haina mashiko kabisa
Actually ni upumbavu...... hata wale waliokuwa wanaleta chokochoko za udini kwa Jk ni wapumbavu tu...

Naona wameona Jk kaondoka tena kila kitu anachokifanya Magu kinaangaliwa kwa Udini sio tena uwezo
 
Mambo ya kugeuza ofc za umma kuwa dayosisi zifikie hatua zikome
 
Serikali kama haina dini, kwa nini wimbo wa taifa unamtaja mungu?

Wakati kuna Watanzania wengine hatuamini katika kuwapo kwa mungu?
kwasababu Mungu hana dini bali Mungu ni wa wote wamuaminio na kuzifata amri zake
 


Elimu
Elimu
Elimu
Waislam wengi hawana shule
 

Kwanini hauweki Wewe?
 
Magufuli ni mdini bora hata ya Nyerere! sijui anaona waislam hawana haki! au ndo kutokuwa na hofu ya Mungu moyoni,!
 
Bila shaka maelekezo nchi hii imegeuzwa kuwa kigango cha kanisa
 
maongezi yako tu yanaonesha wewe mdin OVER[emoji350]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…