Nasubria teuzi za wakuu wa wilaya,kama Magu asiposhaurika atalinywa!Ni kweli kabisa, na walioachwa wenngi ni waislam 8 wote ! Hii haikubaliki kabisa kwenye baraza la mawaziri tumepigwa, makatibu wakuu, wakurugenzi wa mashirika ya uma, wakurugenzi wa halmashauri , kitawaka tuu!
Kwa kweli si suala la kwamba mimi ni mwislamu ndiyo nazungumza haya la hasha! Nayazungumza kwa namna ninavyoiona muvi ya wakuu wa mikoa inavyoonekana.
Ukiistadi kwa makini orodha ya wakuu wa mikoa 26 aliowateua mheshimiwa Rais, kati ya hao 26 waislamu ni watano tu na kati ya hao watano ni mmoja tu Meja Jenerali Salum Mustafa aliyeteuliwa na Rais Magufuli. Wengine Said Meck Sadik, Said Mwambungu, Halima Dedengu na Amina Masenza ni masalia ya wateule wa Kikwete.
Tukiachana na ushabiki wa kidini hapa kuna hitilafu kubwa kwa sababu kuna uwezekano huko mbeleni akatokea kiongozi wa nchi akautumia mwanya wa serikali yetu haina dini na kumwona kila anayeongelea kupuuzwa waislamu kuitwa mdini akapenyeza watu wake kwa maslahi ya dini yake na watu wasiseme chochote. Tusisubiri tufike huko.
kwan kwe ile awamu iliopita waislamu walikua wangapi mkuu?Kwa kweli si suala la kwamba mimi ni mwislamu ndiyo nazungumza haya la hasha! Nayazungumza kwa namna ninavyoiona muvi ya wakuu wa mikoa inavyoonekana.
Ukiistadi kwa makini orodha ya wakuu wa mikoa 26 aliowateua mheshimiwa Rais, kati ya hao 26 waislamu ni watano tu na kati ya hao watano ni mmoja tu Meja Jenerali Salum Mustafa aliyeteuliwa na Rais Magufuli. Wengine Said Meck Sadik, Said Mwambungu, Halima Dedengu na Amina Masenza ni masalia ya wateule wa Kikwete.
Tukiachana na ushabiki wa kidini hapa kuna hitilafu kubwa kwa sababu kuna uwezekano huko mbeleni akatokea kiongozi wa nchi akautumia mwanya wa serikali yetu haina dini na kumwona kila anayeongelea kupuuzwa waislamu kuitwa mdini akapenyeza watu wake kwa maslahi ya dini yake na watu wasiseme chochote. Tusisubiri tufike huko.
Kwa kweli si suala la kwamba mimi ni mwislamu ndiyo nazungumza haya la hasha! Nayazungumza kwa namna ninavyoiona movi ya wakuu wa mikoa inavyoonekana.
Ukiistadi kwa makini orodha ya wakuu wa mikoa 26 aliowateua mheshimiwa Rais, kati ya hao 26 waislamu ni watano tu na kati ya hao watano ni mmoja tu Meja Jenerali Salum Mustafa aliyeteuliwa na Rais Magufuli. Wengine Said Meck Sadik, Said Mwambungu, Halima Dedengu na Amina Masenza ni masalia ya wateule wa Kikwete.
Tukiachana na ushabiki wa kidini hapa kuna hitilafu kubwa kwa sababu kuna uwezekano huko mbeleni akatokea kiongozi wa nchi akautumia mwanya wa serikali yetu haina dini na kumwona kila anayeongelea kupuuzwa waislamu kuitwa mdini akapenyeza watu wake kwa maslahi ya dini yake na watu wasiseme chochote. Tusisubiri tufike huko.
Kwa kweli si suala la kwamba mimi ni mwislamu ndiyo nazungumza haya la hasha! Nayazungumza kwa namna ninavyoiona muvi ya wakuu wa mikoa inavyoonekana.
Ukiistadi kwa makini orodha ya wakuu wa mikoa 26 aliowateua mheshimiwa Rais, kati ya hao 26 waislamu ni watano tu na kati ya hao watano ni mmoja tu Meja Jenerali Salum Mustafa aliyeteuliwa na Rais Magufuli. Wengine Said Meck Sadik, Said Mwambungu, Halima Dedengu na Amina Masenza ni masalia ya wateule wa Kikwete.
Tukiachana na ushabiki wa kidini hapa kuna hitilafu kubwa kwa sababu kuna uwezekano huko mbeleni akatokea kiongozi wa nchi akautumia mwanya wa serikali yetu haina dini na kumwona kila anayeongelea kupuuzwa waislamu kuitwa mdini akapenyeza watu wake kwa maslahi ya dini yake na watu wasiseme chochote. Tusisubiri tufike huko.
Mkuu, sio pattern inajirudia, ila ukweli ni kwamba tukiangaliwa huu upande wetu wa waislam, random selection ikifuatwa hatuwezi tukaingia wengi.. huo ndo ukweli. Historia inaonesha hawa wenzetu walisoma awali hivyo wana comparative advantge..pia huku bara wapo wengi sana kiasi kwamba probability of selecting randomly lazima wawepo wengi kutuzidi.. that is reality..tuhimize watu kusoma na kufanya kazi kwa bidii tuwe na sisi competitive in high position tuache kubebwa bebwa kila mara.
Basi wangesema haifungamani na dini yeyote lakini sio kusema haina dini wakati tunaona viongozi wa serikali hii hii isiyo na dini wakiapishwa kwa vitabu vitukufu(quran&biblia)wanamaanisha serikali ya Tanzania haiegemei upande wa dini yoyote, kuna mataifa kama Saudi Arabia, Iran n.k wao serikali inafuata mafundisho ya kiislam
Hotuba ndefu kumbe pumba tupu...sasa mbona kwa wenye akili tumekuelewa umeegemea imani ipi...ha ha ha.Serikali haina dini wala kabila wala jinsia.Mtu yeyote anayetaka uongozi utolewe kidini,kikabila au kijinsia anachemka.Serikali ya Tanzania sio serikali ya shirikisho ya vyama vya kidini ,kikabila au kijinsia kuwa kila chama kipate mwakilishi wao humo!!!!
Tanzania waislamu wengi wako kimkoa wako mikoa mitano tu dar es salaam ,Pwani,tanga,lindi na Mtwara.Huko kwingine mikoa mingine kimkoa wengi wanakuwa ni wakristo na wapagani.
Lakini kuwaita wengi ni waislamu kwenye mikoa niliyoitaja ni kuwaonea pia sababu waislamu wa mikoa hiyo hula nguruwe pori na kunywa pombe kuanzia mnazi,gongo pombe za kisasa nk wengi ni mashahidi kwenye hili watu tunaishi nao mitaani tunawajua.
Ukisema mtu achague mwislamu mtu utakuwa unamaanishi nini? Yeye ni Mungu aangalie mwislamu kweli ni yupi na feki ni yupi?
serikali ya Tanzania si msikiti au kanisa unaotafuta maimamu au mapadri wa kusalisha serikalini maofisini.Hivyo anayetafutwa na kuteuliwa haangaliwi ni swala tano au huwa hasali anatafutwa mchapa kazi.
Wale mliozoea kupewa vyeo kwa sababu ya sigida iliyoko usoni ya kuswali Sana swala tano au kuvaa Rozali au tasbihi ndefu shingoni au mkononi ,au misalaba mingi uliyovaa shingoni hakukufanyi iwe sifa ya kuteuliwa na serikali kwenye awamu ya HAPA KAZI TU.Nenda kawaombe wakupe vyeo misikitini au makanisani.
HAPA KAZI TU sio nani dini gani.Unapotafuta mtu wa kuzoa takataka au kutapisha choo hutafuti dini gani
Hiiii tz ni under catoliki so wao ndo wanaamua kila kitu sasa kusema serikali haina dini hy ni 100% uongoo
Adili-maadili-=uadilifu tena kwa chama tawalaUnajua maana ya UADILIFU?