NI KWELI MKUU, WAAMBIE HAWA WADINI, DINI ZENYEWE WAMELETEWA, UKIENDA DUBAI AU DOHA UTASHANGAA MAISHA YANVYOKIMBIA KULE WALA HUWEZI KUSIKIA HUU UPUMBAVU WA HAWA WADINI WA BONGO, KUSALI KWENYEWE WANASALI HUKU WANAIBA, WANAFANYA UFUSKA, BASIII SHIDA TUPU, ILA WANAJIFANYA WANAJUA DINI, NA UFISADI, UKATILI WA KIJINSIA, NA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE! SHENZI SANA HAWA WADINI!Kweli mkuu. Hata Rastafarians tupo wengi tu na vigezo vipo. Bora hawa wa Sunni na Shiite wana baraza. Sisi kila tukikutana kuabudu na kupata mkate wa bwana polisi wanatulamata
Vipi RITA umepigwa chini hahahahha saizi unauza mbege tu.
Mkuu watu kama sisi hata ukisema ugombee huwezi kupata kura hata moja.AISEE HATA SISI ATHEIST HATUNA HATA MTU MMOJA!! NA SIKU HIZI TUKO WENGI SANA, TUSIOAMINI HIZI DINI ZENU ZILIZOLETWA NA WAMISSIONARY(LIVINGSTONE NA WENZIE) NA AKINA TIPU TIPU, NA KUACHANA NA DINI ZETU ZA ASILI , KAMA MANATAKA UDINI HAMIENI SYRIA AU ISRAEL, IRAN AU SAUDIA, TUACHIENI HILI TAIFA LISILO NA DINI!!!
Ungeuliza kwa nini kikwete hakupachika wenzake wengi??Mi cjakataa na napenda utendaji wake lakini kwa hili nahaki ya kusema
Kweli kabisa tungoje tu nusra kutoka kwa mungu kosa walisha fanya wazee wetu wakati huo wenzetu walikua wanamtumikia mzugu wazee wetu wanapigania uhuru wa tanganyikaMkuu watu kama sisi hata ukisema ugombee huwezi kupata kura hata moja.
Mfumo kristoUngeuliza kwa nini kikwete hakupachika wenzake wengi??
Yule wa udom amesambaratisha chuo kwa udini. PoleNa yule dr dau ambaye mnakosa wa kuvaa viatu vyake nssf vipi?
Je CAG pro asad. Prof njozi. Sheikh Ponda. Mkuu wa Udom ni wa.ga.la ?
Acha kutukandamiza.
Some of us have only sen Tanzanians being appointed into various positions. My friend had a different idea. Loooking at appointments from religion point of view. Oooh, you are a dangerous person to our country.Binafsi nilikua nampenda mh magifuli sana na ni mmoja kati ya watu walo mpa kura yangu ila kwa haya ni wajibu kuyasema mh hii nchi sio ya ki dini lakini wananchi wake wanadini lakini kwa
Hizi teuzi zinazofanya na rais wangu mpendwa naweka alama ya kiuuliza kuna nn hapa na nchii hasa waislam kuna agenda gani kali kuliko zote ni hizi teuz za wakuu wa mikoa sijui ni vigezo vp vimetumika ila nachoona ni ndugu zangu waislam 8 wametupwa nje na nikiangalia wakuu wote wa mikoa wapya na wazamani walo baki hawazidi asilimia 10 mh mimi ni raia wa kawaida kabisa lakini sina imani kwa sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote tuliishia kusoma madrasa inaniuma sana japo mi ni katika watu wanao kukubali hebu anagalia watumishi wako wa serekali ambao umetumbua majipu%95 ni hao hao unaowapa nafac na ndio wametufikisha hapa muheshimiwa chonde chonde angalia na upande wa pili waislam tunakuangalia tu usianzishe mgogoro na waislam hii nchi yetu sote tunaumia
Naadosa!Ngoja nikabe nafasi hapa... ntatoa hoja nzito baadae.