Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazanzibar ni 99%Lukuvi kasemaje?
Kwann hamutaki kuiachia Zanzibar?
Wapo wengi kama wewe msio jitambuakamanda ondoa upuuzi wa udini hapa. mimi ni mwislam lakini sijawahi kufikiri tambo hilo. wewe lazima utakuwa mdini tuu
Uaongelea watu wawili tu serekalini mimi mtu wa kawaida nitamfikiaje wazir mkuu au makamu wa rais hizi nafac mnazoona mawazir manaibu makatibu wakuu wakuu wa mikoa wilaya hao ndio watendaji na mh anatumalizia hukuKwahiyo SAMIA SULUHU NA MAJALIWA ni wakristu.,, nyie watu sijui mnataka nini...yn shida yenu mchaguliwe ht km hamna sifa....udin wenu peleken Afghanistan huko. ..
Mafisadi wenu ndio umetufikisha hapaPUMBAVU NCHI IKO HOI WEWE UNAONGEA PUMBA ZA DINI TOKA NENDA ZAKO HUJUI KITU WEWE KAA KIMYA.
Sawa mpo 65% lakini wasomi waislamu hata 5% hamfikiWaislamu typo zaidi ya 65% . kwann mnakataa?
Kipindi cha sensa mlikataa kuingizwa kipengele cha dini kwa kuhofia hili litajulikana.
Kwa taarifa tumefanya ya kwetu tukajua tuko wangapi.
Kama hamtaki jihesabuni makanisani
Joka likujualoIngekuwa hao waislam unaowazungumizia n wale wanoendana na matendo ya mtume Muhammad (s.w) ningekuunga mkono lkn hawa wala rushwa, mafisad, wezi, wenye uchu wa madaraka, ambao wapo tayar wengne wafe ,wapate vlema kwa ajl ya mafanikio yao. Mm cion umuhmu kabsa wape watu madaraka kwa sababa wanamajna ya kislam alafu matendo yao ya ovyo. Huko itakuwa n kuuzalilisha uislam
Mnataka kujemga chuo kikuu wakato UDSM ipo na vyuo vingine vya maana vipo. Wekezeni kwenye elimua na hata misikitini muwe serious onbthat waambieni vijana wasome sio kufundishwa mambo ya kubalehe na kuoa oa ovyoWatu wakileta hoja za ukweli huwa mnazijibu eti
Mnakaa vijiweni
Hamsomi shule
Mnataka madrasa tu
Mbona mwaka 1964 tulitaka jenga chuo kikuu pale changombe ka.fi.ri nyerere akazuia?
Na kuifuta EAWS na kuanzisha Bakwata.
Ref. Kwann sheikh Ponda alishinda kesi ya kuvamia pale
Huna unacho kijua ww fuatilia sensa ya mwaka 70 na angalia waislam wangap halafu rudi hapaAsante kwa kump nondo na data..
Hakuna tatizo tunacho taka mjua pia waislam wanahaki na nchi yaoKwa hiyo aawamu ya Sita akiwa tena rais mkristo itkuwaje?
Mkuu hebu muonyeshe uteuzi wa awamu iliyopita ilivyokuwa ili aone udini wa JK, mpe wakuh wa mikoa tu itamtoshaWewe ndo mdini mbona usemi uteuzi wa awamu iliyopita ulivokuwa?? Acha upuuzi wewe!!
sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote
Hizo ni kauli zenu mlisha lishwa sumu hivi ww unatakwimu ya waislam wangapi wanaelim wana madigree wangapi tuko nao mtaani mtawaona vp wakat wanabanwa na mfumo kristo inauma sana aisee watu wanapeleka cv hakuna kazi mnateuana kwa majina huu ndio mfumo kristo leo tutamkumbuka mahroom ilunga sasa naanza kumuelewaTatizo waislamu mnaweka elimu ya Quran mbele mnasahau elimu dunia halafu mnakuja kulalamika. Tukisema tuchukue wasomi hapa Tanzania waisalamu ni wachache sana. Pia hata hivyo Mkwere aliwapendelea sana.