Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Waislamu typo zaidi ya 65% . kwann mnakataa?
Kipindi cha sensa mlikataa kuingizwa kipengele cha dini kwa kuhofia hili litajulikana.
Kwa taarifa tumefanya ya kwetu tukajua tuko wangapi.
Kama hamtaki jihesabuni makanisani
 
Watu wakileta hoja za ukweli huwa mnazijibu eti
Mnakaa vijiweni
Hamsomi shule
Mnataka madrasa tu

Mbona mwaka 1964 tulitaka jenga chuo kikuu pale changombe ka.fi.ri nyerere akazuia?
Na kuifuta EAWS na kuanzisha Bakwata.
Ref. Kwann sheikh Ponda alishinda kesi ya kuvamia pale
 
Lukuvi kasemaje?
Kwann hamutaki kuiachia Zanzibar?
 
Udini anao sana huyu magufuli. Sasa ngoja dawayake IPO.
You can fool some people for some time but you can't fool ALL people ALL time

Waislam wataelewa na wataona bora kufa kuishi
Hapo wagala watajuta na mnavyopenda kuishi! Sipatipicha
 
Kwa hiyo aawamu ya Sita akiwa tena rais mkristo itkuwaje?
 
Kwahiyo SAMIA SULUHU NA MAJALIWA ni wakristu.,, nyie watu sijui mnataka nini...yn shida yenu mchaguliwe ht km hamna sifa....udin wenu peleken Afghanistan huko. ..
Uaongelea watu wawili tu serekalini mimi mtu wa kawaida nitamfikiaje wazir mkuu au makamu wa rais hizi nafac mnazoona mawazir manaibu makatibu wakuu wakuu wa mikoa wilaya hao ndio watendaji na mh anatumalizia huku
 
Tatizo waislamu mnaweka elimu ya Quran mbele mnasahau elimu dunia halafu mnakuja kulalamika. Tukisema tuchukue wasomi hapa Tanzania waisalamu ni wachache sana. Pia hata hivyo Mkwere aliwapendelea sana.
 
Waislamu typo zaidi ya 65% . kwann mnakataa?
Kipindi cha sensa mlikataa kuingizwa kipengele cha dini kwa kuhofia hili litajulikana.
Kwa taarifa tumefanya ya kwetu tukajua tuko wangapi.
Kama hamtaki jihesabuni makanisani
Sawa mpo 65% lakini wasomi waislamu hata 5% hamfiki
 
Ingekuwa hao waislam unaowazungumizia n wale wanoendana na matendo ya mtume Muhammad (s.w) ningekuunga mkono lkn hawa wala rushwa, mafisad, wezi, wenye uchu wa madaraka, ambao wapo tayar wengne wafe ,wapate vlema kwa ajl ya mafanikio yao. Mm cion umuhmu kabsa wape watu madaraka kwa sababa wanamajna ya kislam alafu matendo yao ya ovyo. Huko itakuwa n kuuzalilisha uislam
Joka likujualo
 
Watu wakileta hoja za ukweli huwa mnazijibu eti
Mnakaa vijiweni
Hamsomi shule
Mnataka madrasa tu

Mbona mwaka 1964 tulitaka jenga chuo kikuu pale changombe ka.fi.ri nyerere akazuia?
Na kuifuta EAWS na kuanzisha Bakwata.
Ref. Kwann sheikh Ponda alishinda kesi ya kuvamia pale
Mnataka kujemga chuo kikuu wakato UDSM ipo na vyuo vingine vya maana vipo. Wekezeni kwenye elimua na hata misikitini muwe serious onbthat waambieni vijana wasome sio kufundishwa mambo ya kubalehe na kuoa oa ovyo
 
sasa unatumia vigezo gani kiteua viongoz mlisha tuinbia sana waislam hatuna elimu lakini sio kweli mi naiman serekali yako nzima haizidi watu 5000 ambao ni watumishi wa serekal hakuna waislam wenye vigezo kweli vya elimu wakati tupo zaid ya %65 ya watanzania wote

Ndugu! Pole kwa hisia hasi ulizonazo. Lakini uandishi huu wa kutokuwa na kituo wala paragraph unatatiza. Ikiwa kwenye computer umeandika hivi, kwa mkono itakuwaje!!! Ukikosa kazi usilaumu.

Hivi najiuliza, dini moja kusema wao ni wengi huwa wanatumia takwimu zipi? Mfano umesema waislam wako zaidi ya 65% ya watanzania? Je, ni takwimu uliyokaririshwa au makadirio yako? Kama umekadiria unaweza ukawa uliwahi kadiria kama mikoa ifuatayo ina waislamu wangapi: Ruvuma, Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Rukwa, Katavi, Kigoma, Shinyanga, Simiyu, Geita, Kagera, Mwanza, Mara, Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Singida, Dodoma n.k.

Lakini pia uwingi si kigezo cha kupata uongozi. Mfano kwa mujibu wa Takwimu za Sensa ya 2012, zaidi ya 50% ya watanzania ni wale wenye miaka 0-24 na wanawake walikuwa 51.3% Je, hawa pia walalamike kukosa uongozi? Hii sasa itakuwa fujo.
 
Tatizo waislamu mnaweka elimu ya Quran mbele mnasahau elimu dunia halafu mnakuja kulalamika. Tukisema tuchukue wasomi hapa Tanzania waisalamu ni wachache sana. Pia hata hivyo Mkwere aliwapendelea sana.
Hizo ni kauli zenu mlisha lishwa sumu hivi ww unatakwimu ya waislam wangapi wanaelim wana madigree wangapi tuko nao mtaani mtawaona vp wakat wanabanwa na mfumo kristo inauma sana aisee watu wanapeleka cv hakuna kazi mnateuana kwa majina huu ndio mfumo kristo leo tutamkumbuka mahroom ilunga sasa naanza kumuelewa
 
Magufuli amerudi kujenga Dayosisi..... Angalia teuzi zake toka aingie 80% ni makafir wenzake.


Je hii nchi ni ya Kikristo????
 
Back
Top Bottom