Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Naam sisi tunakimbilia madrassah kila siku, madrasaah na sisi ni part and parcel ya maisha yetu, kuanzia utotoni mpaka tunaingia kaburini, juzi, jana, leo, kesho na si Tanzania tu, dunia nzima.

Wanafik ni nyinyi mnaeingiwa na uoga kila mnapoona Muislam, na sasa yake ya kunyimwa fursa yanaanza kuyeyuka na kujitahidi kwenu kote kuupiga vita Uislam na Waislam kwa njia tofauti, Ndalichako tumemstukia.

sasa kama unakubali kuanzia utotoni mnakeshea madrasa unacholalamika ni kipi kuwa kipaumbele walipewa wagalatia? mliataka mbembelezwe ili muende shule za kawaida? nyie ndo wanafiki wakubwa mmekataa kwenda shule halafu mnatupia lawama nyerere eti kawapa kipaumbele wagalatia! acheni unafiki.
 
Wanaomba kwa Mungu ambaye ndiiye Muumba wa Mbingu na Nchi na vitu na watu wote.
Serkali inajua Mungu yupo ila kuabudu ni wajibu wako na haikuingilii ili mradi usivunje sheria.

serikali haijui kuwa mungu yupo lete udhahidi kama kweli inajua! .Mbona katiba haisemi?!!!!!!
 
Mungu hana dini, kwani ukimtaja Mungu umetaja dini gani hapo? Mungu na dini ni vitu viwili tofauti sio lazima uwe na dini ndipo umwabudu Mungu, unaweza kumwabudu Mungu na usiwe na dini

Raelish;
Pokea li like langu na nakuomba wafundishe kina Faiza Foxy, kwani akisikia tu neno dini tayari anajichagachaa mpaka anapatwa na kichaa kabisa. Anajua dini ni moja tu wagalatia. Duh! Mbona huyu mmama atakufa vibaya jamani?

Kila akitembea anaota Mfumo Kristo tuuuu. Wimbo wa Taifa sio wa dini yeyote ile, ukipigwa haupigiwi hao Wagalatia wake. Ni kaushauri tu
 
Srombo eti upagani ni dini kwa uelewa wako?
Exactly! ni dini since maana ya neno dini ki-etymology ni mfumo wa maisha isitoshe wanaojiita wapagani dini yao siyo ya kuamini mungu but kafiri anajua mungu yupo but anaamua kuwa mpinzan kwa makusudi
 
Raelish;
Pokea li like langu na nakuomba wafundishe kina Faiza Foxy, kwani akisikia tu neno dini tayari anajichagachaa mpaka anapatwa na kichaa kabisa. Anajua dini ni moja tu wagalatia. Duh! Mbona huyu mmama atakufa vibaya jamani?? Kila akitembea anaota Mfumo Kristo tuuuu.
Wimbo wa Taifa sio wa dini yeyote ile, ukipigwa haupigiwi hao Wagalatia wake. Ni kaushauri tu

basi katiba iseme kuwa mungu yupo lakini suala kumwabudu libaki individually tofaut na sasa hivi tunaimba kwa kujikakamua mungu ibariki ....sijui nininini.... lakini haimtambui. Ndio maana me huwa nasimama kimya wala siimbi najua sivunji katiba, simalizi energy ya ATP yangu kuimbaimba nyimbo ambazo wasanii wasanii wake siwajui
 
Mungu hana dini, kwani ukimtaja Mungu umetaja dini gani hapo? Mungu na dini ni vitu viwili tofauti sio lazima uwe na dini ndipo umwabudu Mungu, unaweza kumwabudu Mungu na usiwe na dini

hivi RAELISH tafsiri sahihi ya neno dini unaifahamu au umekurupuka tu, hebu shughulisha kichwa japo kidogo. Katiba yenyewe wapi imem-mention kumtambua mungu. Acheni ujinga
 
Soma hadi mwisho uone kama una swali uniulize...

Mungu anayetajwa katika wimbo wa Taifa na pale katika sala za Bungeni ni Mungu wetu wa Pamoja. Nina hakika wewe unajua kwamba sisi binadamu tunaye Mungu wa Pamoja?

Mungu wa Pamoja ndiye yupi huyu? Mungu wa Pamoja ndiye yule ambaye dini zoooote zinamtaja kuwa aliumba ulimwengu. Huyu ndiye Mungu wa pamoja. Ujue dini zetu wanadamu zimeletwa na tafsiri tofauti-tofauti za huyu Mungu wa Pamoja.

Wanoabudu mizimu, wanamwomba Mungu kwa njia ya roho za babu zao. Yaani daraja lao kumfikia Mungu ni roho za mababu.
Wanaomwabudu Mohammad wanamwomba Mungu kwa njia ya roho ya Muhammad (ambaye kwa kweli naye ni Mzimu tu kama ile mizimu ya mababu)

Wanaomwabudu Yesu Kristo wanamwomba Mungu kwa njia ya roho ya Yesu Kristo (ambaye naye ni Mzimu tu kama ileile mizimu ya mababu zetu)

Freemason wanamwomba Mungu kupitia kwa Mtume wao Hiram Abith (nadhani ni Hiram Abith huyu; jina limenitoka kidogo kwa sabu mi si freemaon), naye huyu ni Mzimu tu kama ile mizimu mingine ya mababu, ambayo tunaitumia kama ngazi ya kumfikia Mungu--kila mtu akiwa na mzimu wake anayemwamini zaidi. Wengine Muhammad, Wengine Yesu, Wengine Hiram Abith, wengine babu aliyekufa 1945, na kadhalika na kadhalika.

Kwa hiyo ukiangalia vizuri unakuta wanadamu tunaunganishwa na Mungu wa Pamoja, ambaye tunadhani atatusikia vizuri wakati tukimwomba huruma na misaada kama tukimwomba kupitia kwa mizimu--kila mtu na mzimu wake anayemwamini zaidi.

Sasa nije kwenye Serikali. Serikali inakusanya watu hawa wote na mizimu yao yote hiyo. Ili kuleta Umoja na Mshikamano, Serikali inalazimika kutokufungamana na mzimu hata mmoja katika huo utitiri wa mizimu. Lakini inajua Mungu yupo. Hivyo Dawa imekuwa kumtaja tu huyo Mungu moja kwa Moja kwa sababu ni wa kila mmoja wetu.

Serikali inamtaja huyu Mungu wetu wa pamoja bila mizimu ili kujenga mshikamano wa kitaifa. Lakini kwa kutoa idhini hiyo mizimu kila mmoja wetu akaitaje kwenye nyumba yake ya ibada. Kwa hiyo anayetajwa katika Wimbo wa Taifa ni huyu Mungu wa Pamoja.


Una swali?

umechemka hapo kwa MUHAMAD, hakuna anaemwabudu muhamad isipokuwa muhamad ni mjumbe tu na mwalimu wa kuwafundisha waumini namna sahihi ya kumwabudu Allah
 
Wewe FaizaFoxy ni Mwongo sana.

Kwa nini mtu mzima unadanganya watoto humu na kujenga chuki isiyokuwa na ulazima? Wewe unazo tu chuki binafsi kwa Nyerere; lakini pia inaonesha una fikra za kijahidina, zinazokosa kabisa objectivity. Natamani kukuita myopic; huijui vizuri hata hiyo dini yako.


Waislamu wa Enzi za Nyerere hawakupata elimu kwa sababu hii hapa: QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110
Kasome hapo.

Hii sehemu ya Kitabu chako kitakatifu inamkataza Waislamu safi kufundishwa jambo lolote na Makafiri. Kwa hiyo Muislamu safi hawezi kwenda kusoma kwenye shule ya Misheni.

Waarabu hawakujenga shule za kutosha hapa Tanzania turithi. Wamisionari wa Kikristo walijenga shule nyingi tukarithi. QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110 ilikuwa inakataza waislamu kusoma katika hizi shule za Makafiri. Hicho ndicho kilichowanyima Waislamu elimu. Kuna Wachache walidharau Qur an wakaenda kusoma kwenye hizi shule za Misheni. Hawa ndo tunaona walielimika.

Angalia Red hapo Juu. Ukome kujenga chuki katika jamii. Ukome kudanganya watoto wa nchi hii. Na ushindwe kabisa katika jitihada yako ya kuongopea watu. Nenda kasome QUR AN TUKUFU; SURAT 3:110 kama haikatazi Waislamu kusoma kwenye shule za Misheni!

Mshukuruni nyerere kwa kutaifisha shule za Misheni. Mungesoma wapi?

ACHA UONGO IYO AYA YA 110 SURA YA 3 AMBAYO NI AL-IMRAN HUJAIELEWA HATA KWA 0.00001% , Hapo mungu anasema waislamu ndio jamii bora coz mnaamrishana mema na kukatazana maovu....naishia hapo we ni kilaza
 
Mfumo Kristo...Wimbo wetu wa Taifa una Christianity influence, I am Christian myself but that does not change the fact.

Ukitaka kuelewa soma hapa chini;

Mungu ibariki Afrika is the national anthem of Tanzania. The anthem is the Swahili language version of Enoch Sontonga's popular hymn Nkosi Sikelel' iAfrika that is also used as Zambia's anthem (with different words) and part of South Africa's.[1] It was formerly also used as Zimbabwe's anthem. The word Mungu in Swahili means God and the title of the anthem therefore translates as God bless Africa.

In Finland the same melody is used as the children's psalm Kuule Isä Taivaan (Hear, Heavenly Father). In this form the song has found its way to the common book of psalms used by the major church of Finland........

Asanteeeeeee,
 
tumekuzoweeni sana nyie watu mnaozaliwa na kulelewa kwa shari. ngoja nikuletee source kutoka kwa mwislam mwenzio uje hili sijatunga. sana sana haya maneno yako ni ya kutunga manake sifa yenu nyingine ni uwongo. nakupa source muda si mrefu.

Hoja ya msingi ni kwamba Hao waarabu wenu hawakulet shule hapa. Kama unazijua tuambie hapa. mlitaka mkasome wapi kupata huo ujuzi mbalimbali wa kusoma maandiko haya. Dunia haiendeshwi kwa maandiko yanayoanzia kulia kuelekea kushoto. Hii elimu haikuwapo misikitini. Mshukuruni nyerere aliyetaifisha mashule ya misheni. mngesoma wapi?

nakupa source sasa hivi ubishane na mwislamu mwenzio; labda huyo ndo wahed mwenzio. Sisemi jambo bila kufanya research mjahidina mkubwa wewe...

higherlander sijapata kuona mtu upeo mdogo wa kiakil kama wewe, waarabu hawakuja tanganyika kama watawala hivo ni ngumu kujikita kujenga mashule kwan mtawala alikuwa hakubali ambaye ni mkolon mjeruman na aliyefuata baada yake, waarabu walikuwa wafanyabiashara na culture ya mfanyabiashara inafahamika hana malengo ya kuendeleza wateja.

SHULE GANI UMESOMA INAYOFUNDISHA UJINGA!!!
 
Tukifatilia hayo Hata bungeni wanavyoaanza kwa sala, wanamtaja Mungu pia.mi nadhani tuendelee kukaririshwa tu, sababu hakuna kibaya. Mambo haya zamani hayakuwepo, vijana wa siku hizi sijui nani kawaroga
 
umechemka hapo kwa MUHAMAD, hakuna anaemwabudu muhamad isipokuwa muhamad ni mjumbe tu na mwalimu wa kuwafundisha waumini namna sahihi ya kumwabudu Allah


OK. i'll take that! ...sikufanya islamic course pale chuoni; kwa hiyo inawezekana concept haikuwa sahihi.
 
Ukijua inasaidia nini sasa? Post zingine hizi wether you know it or not it doesnt make any difference
 
higherlander sijapata kuona mtu upeo mdogo wa kiakil kama wewe, waarabu hawakuja tanganyika kama watawala hivo ni ngumu kujikita kujenga mashule kwan mtawala alikuwa hakubali ambaye ni mkolon mjeruman na aliyefuata baada yake, waarabu walikuwa wafanyabiashara na culture ya mfanyabiashara inafahamika hana malengo ya kuendeleza wateja. SHULE GANI UMESOMA INAYOFUNDISHA UJINGA!!!



Hii hapa. Gonga hapa uione: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...uwa-nafanya-biashara-ndogondogo-chalinze.html
 
Back
Top Bottom