Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?


sasa kama unakubali kuanzia utotoni mnakeshea madrasa unacholalamika ni kipi kuwa kipaumbele walipewa wagalatia? mliataka mbembelezwe ili muende shule za kawaida? nyie ndo wanafiki wakubwa mmekataa kwenda shule halafu mnatupia lawama nyerere eti kawapa kipaumbele wagalatia! acheni unafiki.
 
Wanaomba kwa Mungu ambaye ndiiye Muumba wa Mbingu na Nchi na vitu na watu wote.
Serkali inajua Mungu yupo ila kuabudu ni wajibu wako na haikuingilii ili mradi usivunje sheria.

serikali haijui kuwa mungu yupo lete udhahidi kama kweli inajua! .Mbona katiba haisemi?!!!!!!
 
Mungu hana dini, kwani ukimtaja Mungu umetaja dini gani hapo? Mungu na dini ni vitu viwili tofauti sio lazima uwe na dini ndipo umwabudu Mungu, unaweza kumwabudu Mungu na usiwe na dini

Raelish;
Pokea li like langu na nakuomba wafundishe kina Faiza Foxy, kwani akisikia tu neno dini tayari anajichagachaa mpaka anapatwa na kichaa kabisa. Anajua dini ni moja tu wagalatia. Duh! Mbona huyu mmama atakufa vibaya jamani?

Kila akitembea anaota Mfumo Kristo tuuuu. Wimbo wa Taifa sio wa dini yeyote ile, ukipigwa haupigiwi hao Wagalatia wake. Ni kaushauri tu
 
Srombo eti upagani ni dini kwa uelewa wako?
Exactly! ni dini since maana ya neno dini ki-etymology ni mfumo wa maisha isitoshe wanaojiita wapagani dini yao siyo ya kuamini mungu but kafiri anajua mungu yupo but anaamua kuwa mpinzan kwa makusudi
 

basi katiba iseme kuwa mungu yupo lakini suala kumwabudu libaki individually tofaut na sasa hivi tunaimba kwa kujikakamua mungu ibariki ....sijui nininini.... lakini haimtambui. Ndio maana me huwa nasimama kimya wala siimbi najua sivunji katiba, simalizi energy ya ATP yangu kuimbaimba nyimbo ambazo wasanii wasanii wake siwajui
 
Mungu hana dini, kwani ukimtaja Mungu umetaja dini gani hapo? Mungu na dini ni vitu viwili tofauti sio lazima uwe na dini ndipo umwabudu Mungu, unaweza kumwabudu Mungu na usiwe na dini

hivi RAELISH tafsiri sahihi ya neno dini unaifahamu au umekurupuka tu, hebu shughulisha kichwa japo kidogo. Katiba yenyewe wapi imem-mention kumtambua mungu. Acheni ujinga
 

umechemka hapo kwa MUHAMAD, hakuna anaemwabudu muhamad isipokuwa muhamad ni mjumbe tu na mwalimu wa kuwafundisha waumini namna sahihi ya kumwabudu Allah
 

ACHA UONGO IYO AYA YA 110 SURA YA 3 AMBAYO NI AL-IMRAN HUJAIELEWA HATA KWA 0.00001% , Hapo mungu anasema waislamu ndio jamii bora coz mnaamrishana mema na kukatazana maovu....naishia hapo we ni kilaza
 

Asanteeeeeee,
 

higherlander sijapata kuona mtu upeo mdogo wa kiakil kama wewe, waarabu hawakuja tanganyika kama watawala hivo ni ngumu kujikita kujenga mashule kwan mtawala alikuwa hakubali ambaye ni mkolon mjeruman na aliyefuata baada yake, waarabu walikuwa wafanyabiashara na culture ya mfanyabiashara inafahamika hana malengo ya kuendeleza wateja.

SHULE GANI UMESOMA INAYOFUNDISHA UJINGA!!!
 
Tukifatilia hayo Hata bungeni wanavyoaanza kwa sala, wanamtaja Mungu pia.mi nadhani tuendelee kukaririshwa tu, sababu hakuna kibaya. Mambo haya zamani hayakuwepo, vijana wa siku hizi sijui nani kawaroga
 
umechemka hapo kwa MUHAMAD, hakuna anaemwabudu muhamad isipokuwa muhamad ni mjumbe tu na mwalimu wa kuwafundisha waumini namna sahihi ya kumwabudu Allah


OK. i'll take that! ...sikufanya islamic course pale chuoni; kwa hiyo inawezekana concept haikuwa sahihi.
 
Ukijua inasaidia nini sasa? Post zingine hizi wether you know it or not it doesnt make any difference
 



Hii hapa. Gonga hapa uione: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...uwa-nafanya-biashara-ndogondogo-chalinze.html
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…