Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

Kwa hiyo haina dini halafu wakuu wa mikoa wanakuwa waislamu sita na wakristo zaidi ya ishirini. Sasa hao wakristo wamepataje uteuzi kama serikali haina dini na nafasi hazikutangazwa popote!!!

Huu udini wa Magufuli utaligawa taifa na kuvuruga umoja wa kitaifa. Toka ameanza kufanya teuzi jicho lake limeona asilimia 85 wakristo na asilimia 15 waislam. Sasa hawa wakristo wakianza kutumia vibaya madaraka na kuweka wakristo wenzao kama ilivyo Tanesco tutafika? Mimi ni mkristo ila sipendi hiyo hali
onesha ushahidi ambao wakati wa uteuzi wake aliagiza nyaraka za dini yoyote ndo tuanzie hapo.
 
Naona unazidi kuendekeza unafiki wako, Kwann akiteuliwa Muislam inakuwa issue sana na kila mtu ataimba udini, akiteuliwa mkristo mnalazimisha watu wanyamaze...

Serikali Haina dini ila ratio ya 90% kwa 10% kwenye uteuzi is merely unacceptable.
umeambiwa weka takwimu ya umahiri. sasa povu la nini tena. kulalamika hakusaidii
 
Serikali haina dini wala kabila wala jinsia.Mtu yeyote anayetaka uongozi utolewe kidini,kikabila au kijinsia anachemka.Serikali ya Tanzania sio serikali ya shirikisho ya vyama vya kidini ,kikabila au kijinsia kuwa kila chama kipate mwakilishi wao humo!!!!

Tanzania waislamu wengi wako kimkoa wako mikoa mitano tu dar es salaam ,Pwani,tanga,lindi na Mtwara.Huko kwingine mikoa mingine kimkoa wengi wanakuwa ni wakristo na wapagani.

Lakini kuwaita wengi ni waislamu kwenye mikoa niliyoitaja ni kuwaonea pia sababu waislamu wa mikoa hiyo hula nguruwe pori na kunywa pombe kuanzia mnazi,gongo pombe za kisasa nk wengi ni mashahidi kwenye hili watu tunaishi nao mitaani tunawajua.

Ukisema mtu achague mwislamu mtu utakuwa unamaanishi nini? Yeye ni Mungu aangalie mwislamu kweli ni yupi na feki ni yupi?

serikali ya Tanzania si msikiti au kanisa unaotafuta maimamu au mapadri wa kusalisha serikalini maofisini.Hivyo anayetafutwa na kuteuliwa haangaliwi ni swala tano au huwa hasali anatafutwa mchapa kazi.

Wale mliozoea kupewa vyeo kwa sababu ya sigida iliyoko usoni ya kuswali Sana swala tano au kuvaa Rozali au tasbihi ndefu shingoni au mkononi ,au misalaba mingi uliyovaa shingoni hakukufanyi iwe sifa ya kuteuliwa na serikali kwenye awamu ya HAPA KAZI TU.Nenda kawaombe wakupe vyeo misikitini au makanisani.

HAPA KAZI TU sio nani dini gani.Unapotafuta mtu wa kuzoa takataka au kutapisha choo hutafuti dini gani
Mkuu kula nguruwe au kunywa pombe au kufanya lolote lile lililokatazwa na allah hakukufanyi kutoka ktk uislam huo ni uasi tu na kuhitaji kusilim upya pindi unapo amua kuacha maasi hayo.
Kwahiyo hiyo imani yako kuwa mislam akila nguruwe au kunywa pombe nk ndio katoka ktk uislam sio sahihi.
Nahiyo mikoa uliyo sema ina waislam wengu ongeza mingine kama mikoa ya znz na mingine ya bara nadhani hujafanya tafiti pana upo ktk hisia tu.
Kumbuka kama waislam tunaruhusiwa kuowa wake mpaka wanne kwahiyo hata ktk kuzaliana nadhani waislam wanazaa zaidi.
Na unapo tawala nchi kama hii yenye makabila na dini tofauti ni vyema ktk teuzi kuangalia cv, uwezo, kabila nahata dini .
kwamfano unahitaji wakuu wa mashirika 10 ya serikali nivyema watu 10 hao wakapatikana kutoka dini na kabila tofauti ili kuondoa hii misuguano isiyo ya lazima na zaidi kuleta umoja mshikamano na upendo ktk jamii zote za kitz.
Mm naamini wapo watz wa dini zote na makabila yote wenye cv na uwezo wa kuongoza.
 
Wagalatia wa Tanzania kwa unafiki bana leo hii tunaambiwa serikali haina dini wakati wa JK kila alimteua Muslim mlikuwa mnalalamika humu kuwa JK ni mdini.

Mwacheni Rais afanye kazi yake ................!!

Nyinyi ndiyo wapiga debe wakubwa wa Lumumba sijui mnalalamika nini? Kwa nini msizungumze haya kwenye chama kama ni kweli!!?
 
Wanateuliwa wenye UWEZO na UADILIFU siyo dini fulani au kabila fulani au jinsia fulani. Mambo ya UDINI peleka msikitini, kanisani na Jamatin au kwenye matambiko. Rais wangu mpendwa endelea kuteua kwa vigezo vya UWEZO na UADILIFU. Usitishwe na maneno ya wakosa kazi wanaopokea teuzi zako kwa mtazamo wa kidini na kikabila.
Unajua maana ya UADILIFU?
 
Hawa wote ni wana ushirika tunasali wote Kanisa la Mbezi na wengine wanasali Tegeta ni wana jumuiya hawana tatizo.

Ha ha ha ha

Mkuu ile Tanesco ni Dayosisi ya Tanesco usharika wa Ubungo Mkuu...

Ile ni kigango cha kanisa kabisa yanii

Ha ha ha

Christinization at its best level...

Mama yangu weeeeh....
 
Una uhakika gani kuwa hao wote ni wakristo ............ au unaangalia majina tu na kuconclude?
Mkuu unaingia ofisini unakuta watu wanaimba mapambio halafu unauliza jibu.
 
Magufuli tenda haki, usiwe kama firauni aliyewainua watu wake na kuwadhalilisha waisrael, Muogope Mungu ukijua kuna siku ya haki, siku ya hukumu! Waislam sio wajinga kulalamika! Muogope Mungu, wewe ni mwanadamu tu usijione una akili sana kwa kuwa tumekupa urais
Mkuu heshima kwako, mkuu naomba nikushauri pamoja na kushauri wengine ya kuwa kupata cheo nafasi au utukufu wowote ule haupatikani ila mwenyeezi mungu apende, kwa hiyo kikubwa cha kufanya si kumlakamikia mr president na serikali yake kuwa hatuangalii waislam, cha kufanya sisi ni kumuelekea Allah kikweli, Allah anatuambia katika quran tukufu ya kuwa TUKIAMINI KIKWELI NA KUFANYA VITENDO VYEMA"ATATUFANYA KUWA NI MAKHALIFA KATIKA ARDHI KAMA ALIVYOWAFANYA KUWA MAKHALIFA WALIOKUWAPO KABLA YETU"
Kwa hiyo mkuu cha msingi ni kufuata zile sharti tulizopangiwa na Allah basi yote yatatufuata badala ya sisi kutumia jitihada binafsi, pia suala la elimu zote ni muhimu kulizingatia ili tujiweke katika mazingira mazuri ya kidunia hata kesho mbele ya Allah,
Inshaallah.
 
Mkuu kula nguruwe au kunywa pombe au kufanya lolote lile lililokatazwa na allah hakukufanyi kutoka ktk uislam huo ni uasi tu na kuhitaji kusilim upya pindi unapo amua kuacha maasi hayo.
Kwahiyo hiyo imani yako kuwa mislam akila nguruwe au kunywa pombe nk ndio katoka ktk uislam sio sahihi.
Nahiyo mikoa uliyo sema ina waislam wengu ongeza mingine kama mikoa ya znz na mingine ya bara nadhani hujafanya tafiti pana upo ktk hisia tu.
Kumbuka kama waislam tunaruhusiwa kuowa wake mpaka wanne kwahiyo hata ktk kuzaliana nadhani waislam wanazaa zaidi.
Na unapo tawala nchi kama hii yenye makabila na dini tofauti ni vyema ktk teuzi kuangalia cv, uwezo, kabila nahata dini .
kwamfano unahitaji wakuu wa mashirika 10 ya serikali nivyema watu 10 hao wakapatikana kutoka dini na kabila tofauti ili kuondoa hii misuguano isiyo ya lazima na zaidi kuleta umoja mshikamano na upendo ktk jamii zote za kitz.
Mm naamini wapo watz wa dini zote na makabila yote wenye cv na uwezo wa kuongoza.
Kigezo cha dini na ukabila hakifai! angalia Record ya makosa, utaalam(usomi) umahiri wa kazi na nidhamu ya kazi. Mengine unatafuta kujiumiza kisaikolojia
 
Kwa hiyo haina dini halafu wakuu wa mikoa wanakuwa waislamu sita na wakristo zaidi ya ishirini. Sasa hao wakristo wamepataje uteuzi kama serikali haina dini na nafasi hazikutangazwa popote!!!

Huu udini wa Magufuli utaligawa taifa na kuvuruga umoja wa kitaifa. Toka ameanza kufanya teuzi jicho lake limeona asilimia 85 wakristo na asilimia 15 waislam. Sasa hawa wakristo wakianza kutumia vibaya madaraka na kuweka wakristo wenzao kama ilivyo Tanesco tutafika? Mimi ni mkristo ila sipendi hiyo hali
Hii ilikuwa wakati ule uongozi ZAIFU.
 
Kwa hiyo haina dini halafu wakuu wa mikoa wanakuwa waislamu sita na wakristo zaidi ya ishirini. Sasa hao wakristo wamepataje uteuzi kama serikali haina dini na nafasi hazikutangazwa popote!!!

Huu udini wa Magufuli utaligawa taifa na kuvuruga umoja wa kitaifa. Toka ameanza kufanya teuzi jicho lake limeona asilimia 85 wakristo na asilimia 15 waislam. Sasa hawa wakristo wakianza kutumia vibaya madaraka na kuweka wakristo wenzao kama ilivyo Tanesco tutafika? Mimi ni mkristo ila sipendi hiyo hali
Wewe hauwezi kuwa mkristo wewe ni muislam na ni moja kati ya waislam wa chache wenye fikra za ubaguz na kwakua wewe ni mbaguz utakacho kiona mbele yako ni kubaguliwa tu na sio vinginevyo
 
Hivi wakati ule JK alivyomteua Assad mbona watu walibweka udini humu, kwa nini hawakuangalia kwamba naye ni mtanzania na ana vigezo?.

Halafu Watu wenye ujuzi, uzalendo na vigezo wanapatikana katika dini zote, kwa nini kila teuzi Waislamu wawe wa kuokotezaokoteza?.

Sidhani kuwa hii ni bahati mbaya, bali ni mfumo unaojengwa au uliojengwa kiudiniudini!
Nendeni shule na mfaulu manake ht shule zenu znaongoza kufelisha
 
Katika serikali ya kikwete baraza la mawaziri wakristo mlijaaa

Makatibu na manaibu katibu wakuu mlijaa

Wakuu wa mikoa na wilaya mlijaa

Infact mlijaa kila idara je mmelifanyia nin taifa hili zaid ya wizi na ufisadi?

Je mmesahau hata esrow jins mlivotumia hadi maaskofu na makanisa kuliibia taifa hili?

Vita kubwa ambayo anayo magufuli kwanza ni kuwatumbua majipu nyinyi waimba kwaya wenzake

Vita na uislam na waislam hataiwezaa
Mfia Dini huna hoja
 
Magufuli tenda haki, usiwe kama firauni aliyewainua watu wake na kuwadhalilisha waisrael, Muogope Mungu ukijua kuna siku ya haki, siku ya hukumu! Waislam sio wajinga kulalamika! Muogope Mungu, wewe ni mwanadamu tu usijione una akili sana kwa kuwa tumekupa urais
Mbona nyie wengi wenu mazezeta hivi huko msikitini mnaambiwaga nn icho mshindwe kuchuja mnakuja kuleta huku
 
Mkuu unaingia ofisini unakuta watu wanaimba mapambio halafu unauliza jibu.

Kwa hiyo hata hao waislam wachahche wanaimbishwa mapambio!!?

Ritz, nyinyi ndiyo huwa mnadai kuwa hao wagalatia wamepewa upendeleo kwenye elimu ......... labda mngeanzia huko kwanza. Mjikomboe kwenye elimu ndiyo mpiganie nafasi. Kulalamika kwa waislam kunadhibitisha kuwa hawana wasomi wa kutosha kupata hizo nafasi ............ unless mnataka tuje na kitu kama BEE kwa ajili ya Waislam!!
 
Tatizo linakuja pale pattern ya uteuzi inavyokuwa inafanana na kujirudiarudia, inafanya watu tujiulize maswali mengi sana. Umesahau Edwin Mtei alivyodai JK kateua waislamu wengi kwenye bunge la katiba. The same Logic inatumika sasa kuuliza hizi teuzi kulikoni?
Mkuu, sio pattern inajirudia, ila ukweli ni kwamba tukiangaliwa huu upande wetu wa waislam, random selection ikifuatwa hatuwezi tukaingia wengi.. huo ndo ukweli. Historia inaonesha hawa wenzetu walisoma awali hivyo wana comparative advantge..pia huku bara wapo wengi sana kiasi kwamba probability of selecting randomly lazima wawepo wengi kutuzidi.. that is reality..tuhimize watu kusoma na kufanya kazi kwa bidii tuwe na sisi competitive in high position tuache kubebwa bebwa kila mara.
Hivi wakati ule JK alivyomteua Assad mbona watu walibweka udini humu, kwa nini hawakuangalia kwamba naye ni mtanzania na ana vigezo?.

Halafu Watu wenye ujuzi, uzalendo na vigezo wanapatikana katika dini zote, kwa nini kila teuzi Waislamu wawe wa kuokotezaokoteza?.

Sidhani kuwa hii ni bahati mbaya, bali ni mfumo unaojengwa au uliojengwa kiudiniudini!
 
Back
Top Bottom