Pre GE2025 Kama si itifaki ya Dunia Tanzania 2025 hapakuwa na haja ya Uchaguzi wa Rais

Pre GE2025 Kama si itifaki ya Dunia Tanzania 2025 hapakuwa na haja ya Uchaguzi wa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mzee Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2024
Posts
219
Reaction score
279
IMG-20240629-WA0270.jpg


Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.

Kwa Mambo aliyoyafanya na anayoyafanya Rais Samia kwa miaka hii mitatu kugombea nae kama mpinzani ni kutaka kujifedhehesha tu mbele ya Watanzania kwa kupata vikura kiduchu sana.

Najua Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa lakini unachaguliwaje mbele ya Rais Samia? hata kama wafuasi wako wanakudanganya utashinda lakini nafsi yako itendee haki pia.

CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani, hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.​
 
Hakuna jinsi, Moja ya msingi mkuu wa demokrasia ni uwepo wa uchaguzi. Pia ni takwa la kikatiba. Ila ki ukweli upinzani umezorota sana! Mama Samia ametumia akili kubwa sana kuupunguza nguvu.
 
View attachment 3029438

Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.

Kwa Mambo aliyoyafanya na anayoyafanya Rais Samia kwa miaka hii mitatu kugombea nae kama mpinzani ni kutaka kujifedhehesha tu mbele ya Watanzania kwa kupata vikura kiduchu sana.

Najua Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa lakini unachaguliwaje mbele ya Rais Samia? hata kama wafuasi wako wanakudanganya utashinda lakini nafsi yako itendee haki pia

CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani,Hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.​
Sijui nikujibu? Au basi
 
Hakuna jinsi, Moja ya msingi mkuu wa demokrasia ni uwepo wa uchaguzi. Pia ni takwa la kikatiba. Ila ki ukweli upinzani umezorota sana! Mama Samia ametumia akili kubwa sana kuupunguza nguvu.
Mnaota. Hatupayuki majukwaani. Mtaelewa baadaye kama umezorota. Au mpaka uone mgao wa Pikipiki 700 kila jimbo Toka Chadema ndo ujue upo?
 
View attachment 3029438

Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.

Kwa Mambo aliyoyafanya na anayoyafanya Rais Samia kwa miaka hii mitatu kugombea nae kama mpinzani ni kutaka kujifedhehesha tu mbele ya Watanzania kwa kupata vikura kiduchu sana.

Najua Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa lakini unachaguliwaje mbele ya Rais Samia? hata kama wafuasi wako wanakudanganya utashinda lakini nafsi yako itendee haki pia

CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani,Hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.​
Kwani latina haiwezi badirika kukawa na miaka mitano tu
 
View attachment 3029438

Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.

Kwa Mambo aliyoyafanya na anayoyafanya Rais Samia kwa miaka hii mitatu kugombea nae kama mpinzani ni kutaka kujifedhehesha tu mbele ya Watanzania kwa kupata vikura kiduchu sana.

Najua Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa lakini unachaguliwaje mbele ya Rais Samia? hata kama wafuasi wako wanakudanganya utashinda lakini nafsi yako itendee haki pia

CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani,Hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.​
Naunga mkono hoja hii,Samia hana mpinzani
 
Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.
Kama mnajua kuwa hao walipa kodi ni masikini mbona kila siku mnafisadi pesa za kodi zao na kuzifanyia matumizi yasiyo na maana badala ya kushughulikia maendeleo yao?
Ni unafiki wa hali ya juu kusema kuwa walipa kodi ni maskini, na wakati huo huo unatetea wizi, ufisadi, ufujaji na matumizi ya ovyo ya pesa za hao walipa kodi.
 
View attachment 3029438

Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.

Kwa Mambo aliyoyafanya na anayoyafanya Rais Samia kwa miaka hii mitatu kugombea nae kama mpinzani ni kutaka kujifedhehesha tu mbele ya Watanzania kwa kupata vikura kiduchu sana.

Najua Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa lakini unachaguliwaje mbele ya Rais Samia? hata kama wafuasi wako wanakudanganya utashinda lakini nafsi yako itendee haki pia

CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani,Hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.​
Ili kulinda heshima na hadhi ya Jf watu wenye hoja dhaifu namna hii wangekuwa wanapigwa ban tu
 
Back
Top Bottom