Pre GE2025 Kama si itifaki ya Dunia Tanzania 2025 hapakuwa na haja ya Uchaguzi wa Rais

Pre GE2025 Kama si itifaki ya Dunia Tanzania 2025 hapakuwa na haja ya Uchaguzi wa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.
naona mmepewa kibarua kigumu hiki; kutaka kuwauzia waTanzania mbuzi ndani ya gunia, huku wakisha gundua kwamba ni zigo la karatasi taka. Hii kazi hamuiwezi, kati yako Mzee Nyerere (pole sana kwa jina hilo); Lucas Mshamba na TlaaaTilaala na wengineo.
Hizi takataka zenu mnazojaza humu hazina nguvu za ushawishi
 
Ili kulinda heshima na hadhi ya Jf watu wenye hoja dhaifu namna hii wangekuwa wanapigwa ban tu
Nakubaliana na wewe. Lakini hiyo siyo njia sahihi, kwani JF ni Jukwaa la kila apendae kutumia kwa uhuru wake.

Dawa ni moja tu, kutofungua na kusoma takataka hizo.
Kwa mfano, binafsi sina muda wa kufungua mada iliyowekwa na Lucas au TlaaTlaaa, na hivi karibuni hata 'Choice
 
CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani,Hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.
Umekwisha eleza huko juu, kwamba gharama za uchaguzi ni kubwa sana, na kwamba pesa hiyo ingefaa itumike kujenga miundo mbinu.
Mistari michache tu, toka huko juu, tayari umekwisha sahau uliccho andika muda mfupi ulio pita!

Nyinyi watu, hivi kweli vichwa vyenu vinafanya kazi sawasawa?

Umeanzisha hii mada kwa madhumuni yapi hasa. Kumsifia Bi 'Chura Kiziwi'?

kama ni hivyo, kwa nini uhusishe maswala ya uchaguzi?

Mwisho, nikuulize, kama Bungeni kutakuwepo na wabunge wa upinzani wengi, huyo Bi 'Chura' atafanya kazi vipi kwa ufanisi, kama lengo ni yeye tu abaki hapo alipo?

Sijawahi kukusoma humu JF, hebu niangalie umeingia lini humu.

June 23, 2024!

Sitajihangaisha tena kusoma takataka zako.
 
Nakubaliana na wewe. Lakini hiyo siyo njia sahihi, kwani JF ni Jukwaa la kila apendae kutumia kwa uhuru wake.

Dawa ni moja tu, kutofungua na kusoma takataka hizo.
Kwa mfano, binafsi sina muda wa kufungua mada iliyowekwa na Lucas au TlaaTlaaa, na hivi karibuni hata 'Choice
Sawa kabisa!
 
View attachment 3029438

Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.

Kwa Mambo aliyoyafanya na anayoyafanya Rais Samia kwa miaka hii mitatu kugombea nae kama mpinzani ni kutaka kujifedhehesha tu mbele ya Watanzania kwa kupata vikura kiduchu sana.

Najua Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa lakini unachaguliwaje mbele ya Rais Samia? hata kama wafuasi wako wanakudanganya utashinda lakini nafsi yako itendee haki pia

CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani,Hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.​
Inakera sana kuanza siku mpya na hoja ya kipumbavu kama hii! Uchaguzi sio hisani Dogo!!
 
Kama mnajua kuwa hao walipa kodi ni masikini mbona kila siku mnafisadi pesa za kodi zao na kuzifanyia matumizi yasiyo na maana badala ya kushughulikia maendeleo yao?
Ni unafiki wa hali ya juu kusema kuwa walipa kodi ni maskini, na wakati huo huo unatetea wizi, ufisadi, ufujaji na matumizi ya ovyo ya pesa za hao walipa kodi.
Kodi zipi zimefisadiwa au ndio maneno ya kwenye kahawa pale kwa Mzee Jongo?
 
Bajeti zote za miaka mitano ishindwe kuleta maendeleo halafu pesa ya kugharamia uchaguzi ndio iweze kuleta maendeleo?

Unapakatwa ww

Kwa mwaka nchi inapoteza zaidi ya trilioni 2 kutokana na ufisadi unaofanywa na serikali ya CCM inayoongozwa na Rais Samia. Kama hukupiga kelele kwa kupoteza zaidi ya trilioni 2 kwa mwaka halafu unapiga kelele kwa bilioni 500 kwa miaka 5, wewe ni mzima au punguani?
 
View attachment 3029438

Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.

Kwa Mambo aliyoyafanya na anayoyafanya Rais Samia kwa miaka hii mitatu kugombea nae kama mpinzani ni kutaka kujifedhehesha tu mbele ya Watanzania kwa kupata vikura kiduchu sana.

Najua Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa lakini unachaguliwaje mbele ya Rais Samia? hata kama wafuasi wako wanakudanganya utashinda lakini nafsi yako itendee haki pia

CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani,Hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.​
Uchaguzi wa nini wakati Mshindi anajulikana?
 
Mzee Nyerere alisema mwisho wa kujipendekeza ni kifo, ulivyo kua mtu wa hovyo unatumia jina la kiongozi bora kuwahi kutokea Tanzania kuandika upuuzi usio na kichwa wala miguu hovyo kabisa
 
Hii JamiiForums ya sasa imekua JamiiForums ya machawa.
Inakera sana.
Isije ikawa na yenyewe imeshakabidhiwa fungu. Maana kilichobakia kwa sasa ndiyo hiki!

Kulazimisha kupenda hata usipopendeka, na pia kulazimisha uongo kuwa ukweli.
 
View attachment 3029438

Kufanya Uchaguzi Mkuu tarehe 25|10|2025 kwenye nafasi ya Urais wa JMT ni matumizi mabovu na mabaya ya pesa za walipa kodi hawa wachache na masikini kabisa.

Kama Fedha ya Uchaguzi ni zaidi ya TZS 700BL, Pesa hii ingesaidia zaidi kutuletea Maji safi na Salama pamoja na kukamilisha reli yetu ya SGR hasa kwa Vipande Vya Tabora Kigoma na Tabora Mpanda ambavyo havijaanza kabisa.

Kwa Mambo aliyoyafanya na anayoyafanya Rais Samia kwa miaka hii mitatu kugombea nae kama mpinzani ni kutaka kujifedhehesha tu mbele ya Watanzania kwa kupata vikura kiduchu sana.

Najua Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa lakini unachaguliwaje mbele ya Rais Samia? hata kama wafuasi wako wanakudanganya utashinda lakini nafsi yako itendee haki pia

CHADEMA jiimarisheni kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani,Hii ya Urais mtajidhalilisha na huenda mkapoteza kabisa mvuto wenu kidogo mliosalia nao kwa sasa huku mitaani.​
Ukiona mtu anatembeza nyama mtaani kwa kipaza sauti wakati bucha zipo, hiyo nyama ina walakini.....kibudu hicho usinunue.
 
Wewe mcenge na huyo shoga yako sa100.
 
Back
Top Bottom