Pre GE2025 Kama si itifaki ya Dunia Tanzania 2025 hapakuwa na haja ya Uchaguzi wa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbali na kubadilisha safu za uongozi, uchaguzi mkuu pia ni fursa ya kiongozi kujipima kukubalika kwake kwa wananchi.
 
Huyu alieandk msomi wa zaid ya form six
Cc wa class 7c cjui itakuwaje
 
 

Attachments

  • images (21).jpeg
    21.5 KB · Views: 1
Mkuu wote tunampenda Mama Samia.
Lakini ujue nchi haiendeshwi kwa mapenzi kwa mtu, KATIBA mkuu, KATIBA.
 
Múngu mbariki Rais wetu.
We love her kwa hakika
 
Naunga mkono hoja hii
 
Kama si itifaki ya dunia Tanzania kama nchi haikutakiwa kuwapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…