Kama si kubebwa Yanga hata nafasi ya 4 hawapati

Kama si kubebwa Yanga hata nafasi ya 4 hawapati

Mimi nikaiona tu Imefika dakika ya kuanzia ya 75. na Yanga ama inaongozwa au ina suluhu na hizo timu nyingine ukiondoa Simba.

Huwa nasubiri tu Penati kupewa Yanga Muda wowote.
Kuanzia muda huo Marefa wanaanza kuwataftia Yanga Penati.

Timu ndogo lazima zitambue zikicheza na Yanga ukifika dakika ya 75 zichukue tahadhari kubwa eneo la Penati.
Kumbu kumbu zangu zinasema kuwa hata simba walikuwa wamepewa penati na kadi nyekundu mechi nne mfululizo. Hasa hasa ikitokea hawajapata goli mpaka dakika ya 60
 
Hivi utaahira mtaacha lini ninyi ng'ombe? Yanga kabebwa kwenye tukio gani Jana? Hivi lile goli la Makambo wangefunga mbumbumbu au Biashara likakataliwa si ungevaa boxer kichwani wewe taahira? Simba ina mashabiki viazi mbatata sana aisee
Vipe viazi heshima yake Mkuu.

Sema Simba ina mashabiki end product ya viazi mbatata sana.
 
Kumbu kumbu zangu zinasema kuwa hata simba walikuwa wamepewa penati na kadi nyekundu mechi nne mfululizo. Hasa hasa ikitokea hawajapata goli mpaka dakika ya 60
Simba imetoa suluhu n Coaster Union bila jaribio la Penati.
Namungo imefungwa na Simba dakika za Nyongeza bila jaribio la kupewa penati.
Biashara Simba imepewa penati halari dakika za mwisho John Boko akakosa.
Yanga haijawahi kutoka suluhu msimu huu bila kupewa penati dakika za lala salama eg.mechi dhidi ya Namungo.

Marefa hawajisikii usalama msimu huu labda kama Yanga itafungwa au kutoka Sare.
Labda wanaogopa presha ya mashabiki.
 
Huwezi kutengeneza andiko lenye mvuto
Simba walishtuka mapema ,huu udhamini wa GSM umehamishwa kwenye marefa,hii ni aibu kubwa.

Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.

Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.

Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.
 
Yule kocha Luc nae akashindilia zaidi " Mashabiki wa Yanga ni Manyani" Msukule ukamaliza ubishi kwa kusema "Usukuleni mwenye akili ni Sunday na JK tu" Mliobaki hamnazo . Mnafanana na wafuga mbwa tu. Siyo maneno yangu , niya Luc na Manara.
Yule Lucy ni kichaa tu kama wewe ndo maana mnaelewana.
 
Mimi nikaiona tu Imefika dakika ya kuanzia ya 75. na Yanga ama inaongozwa au ina suluhu na hizo timu nyingine ukiondoa Simba.

Huwa nasubiri tu Penati kupewa Yanga Muda wowote.
Kuanzia muda huo Marefa wanaanza kuwataftia Yanga Penati.

Timu ndogo lazima zitambue zikicheza na Yanga ukifika dakika ya 75 zichukue tahadhari kubwa eneo la Penati.
Kumbe wakichukua tahadhari Yanga hapati penati? Kwa hiyo kumbe negligence na recklessness ndo zinawasababishia adhabu ya penati! Kosa ni la nani hapo?
 
Kumbe wakichukua tahadhari Yanga hapati penati? Kwa hiyo kumbe negligence na recklessness ndo zinawasababishia adhabu ya penati! Kosa ni la nani hapo?
Wakati mwingine kosa ni la waamuzi.
Kama mechi na Namungo.
Hivyo tim zinapaswa kuchukua tahadhari kubwa dakika za lala salama ili hata Mwamuzi asipate fulsa ya kufanya kosa.
Mfano. Kuacha kuchezea mpira eneo la Penati kuwanyima nafasi wanaojidondosha kwa kishirikina na waamuzi.
 


Team Hakuna, Yanga Ni Genge La Wahuni Wachache

 
Kule musoma makolo yalibebwa kupewa penati ya bwelele lakini hayakubebeka.
 
Simba imetoa suluhu n Coaster Union bila jaribio la Penati.
Namungo imefungwa na Simba dakika za Nyongeza bila jaribio la kupewa penati.
Biashara Simba imepewa penati halari dakika za mwisho John Boko akakosa.
Yanga haijawahi kutoka suluhu msimu huu bila kupewa penati dakika za lala salama eg.mechi dhidi ya Namungo.

Marefa hawajisikii usalama msimu huu labda kama Yanga itafungwa au kutoka Sare.
Labda wanaogopa presha ya mashabiki.
Pale Dodoma makolo yalipewa penati yakapata points tatu
 
Back
Top Bottom