Kama si kubebwa Yanga hata nafasi ya 4 hawapati

Kumbu kumbu zangu zinasema kuwa hata simba walikuwa wamepewa penati na kadi nyekundu mechi nne mfululizo. Hasa hasa ikitokea hawajapata goli mpaka dakika ya 60
 
Hivi utaahira mtaacha lini ninyi ng'ombe? Yanga kabebwa kwenye tukio gani Jana? Hivi lile goli la Makambo wangefunga mbumbumbu au Biashara likakataliwa si ungevaa boxer kichwani wewe taahira? Simba ina mashabiki viazi mbatata sana aisee
Vipe viazi heshima yake Mkuu.

Sema Simba ina mashabiki end product ya viazi mbatata sana.
 
Kumbu kumbu zangu zinasema kuwa hata simba walikuwa wamepewa penati na kadi nyekundu mechi nne mfululizo. Hasa hasa ikitokea hawajapata goli mpaka dakika ya 60
Simba imetoa suluhu n Coaster Union bila jaribio la Penati.
Namungo imefungwa na Simba dakika za Nyongeza bila jaribio la kupewa penati.
Biashara Simba imepewa penati halari dakika za mwisho John Boko akakosa.
Yanga haijawahi kutoka suluhu msimu huu bila kupewa penati dakika za lala salama eg.mechi dhidi ya Namungo.

Marefa hawajisikii usalama msimu huu labda kama Yanga itafungwa au kutoka Sare.
Labda wanaogopa presha ya mashabiki.
 
Huwezi kutengeneza andiko lenye mvuto
 
Yule kocha Luc nae akashindilia zaidi " Mashabiki wa Yanga ni Manyani" Msukule ukamaliza ubishi kwa kusema "Usukuleni mwenye akili ni Sunday na JK tu" Mliobaki hamnazo . Mnafanana na wafuga mbwa tu. Siyo maneno yangu , niya Luc na Manara.
Yule Lucy ni kichaa tu kama wewe ndo maana mnaelewana.
 
Kumbe wakichukua tahadhari Yanga hapati penati? Kwa hiyo kumbe negligence na recklessness ndo zinawasababishia adhabu ya penati! Kosa ni la nani hapo?
 
Kumbe wakichukua tahadhari Yanga hapati penati? Kwa hiyo kumbe negligence na recklessness ndo zinawasababishia adhabu ya penati! Kosa ni la nani hapo?
Wakati mwingine kosa ni la waamuzi.
Kama mechi na Namungo.
Hivyo tim zinapaswa kuchukua tahadhari kubwa dakika za lala salama ili hata Mwamuzi asipate fulsa ya kufanya kosa.
Mfano. Kuacha kuchezea mpira eneo la Penati kuwanyima nafasi wanaojidondosha kwa kishirikina na waamuzi.
 


Team Hakuna, Yanga Ni Genge La Wahuni Wachache

 
Kule musoma makolo yalibebwa kupewa penati ya bwelele lakini hayakubebeka.
 
Pale Dodoma makolo yalipewa penati yakapata points tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…