Kama sijawahi kukuomba hela yako na wewe usiniombe utamu wangu 2025

Kama sijawahi kukuomba hela yako na wewe usiniombe utamu wangu 2025

Toka kwa Mhenga.
Mwanamke anapenda kweli na anataka apendwe ki romantiki.
Ni vizuri kuelezana kama hili penzi ni la romance au lenye malengo
Unamwahidi mwanamke mapenzi ya dhati naye anakupa sex unayotaka .
Mnafika kitandani wewe unawaza kumchezea na kumuacha tu

Hakuna romance hakuna hisia za kweli .
Na unafanya penzi ili kumkomoa na kumwagia shahawa zako humo ili uondoke.
Ukikojoa wewe unamwuliza "umekojoa na unajua hajakojoa "?

Wanawake hawataki hilo swali,umepewa uchi tulia hadi amalize na yeye
Si umesema unampenda ?
Haraka ya nini ?
Huu ni wizi wa kuaminiwa.

Ifikie mahali mjulishe huyo mwanamke kuwa tufanye mapenzi kujifurahisha na huna nia nae

Ili ajue namna ya kuitumia uchi wake kwako.
Mada yako inasema.

"Kama sijawahi kukuomba pesa yako usiniombe utamu wangu mwaka 2025,"

Kutokana na wazo lako unatuambia tununue na kuuza mapenzi.
Hapo unataka kuwaambia watu kuwa hakuna kupendana kati ya Me na Ke.
Ila ni kufanya biashara tu.

Je unaliona wazo lako ni sahihi?
Je unakifundisha nini kizazi cha sasa ?
Kuwa usiye mwomba pesa usimpende ?

Vipi kuhusu wanawake wenye pesa, wasiwe na mpenzi kwakuwa hawaombi pesa?

Au tuseme hilo ni wazo lako wewe kama wewe tu.

Kwakuwa umekosa uwezo wa kutafuta pesa zako binafsi hivyo kuwafanya wanaume kama njia pekee ya kupata pesa ?
 
Ndomna ndoa zikasisitizwa, kwenye ndoa mume utatoa huduma kwakua ni wajibu wako na mke utatoa mambo kwakua ni wajibu wako.

Sasa hizi girlfriend na boyfriend hizii ndo zimeleta vizaa Zaa, wengine wanataka I love you uwe maji mara Moja akuchakaze akuteme ,, wengine nao bila Hela huna utachopata ilimradi vurugu telee pande zote.
 
Nyie wanaume wengi wenu mna wazimu kichwani mwenu, muda wote mnawaza ngono ngono ngono

Umetongoza mdada hata hamjamaliza week ushaanza kuomba ngono.. halafu sisi tukiwaomba hela mnasema sie ni ombaomba

Kama mwanamke hajawai kukuomba pesa, hajawai kukwambia ana nyege anataka umle, basi mfunge hizo zipu zenu

Sina upwiru Sina njaa na pesa yako na wewe jitulize na nyege zako

NIKISIKIA UPWIRU NITAKUPA MWENYEWE USINIOMBE PAPUCHI YANGU

Ukianza kuniomba sex ujue na mimi nitakuomba hela.. maana wewe ndio mwenye upwiru

2025 kila mtu abaki na chake hatuwaombi hela na nyie msituombe papuchi

Nawasilisha
Mmmhh!! Kuwa na huruma we mdada huo ni ubinafsi.

Sasa wewe kama huna upwiru na mwenzio anao atahudumiwa na nani?

Vipi wewe ukiwa nao na mwenzio hana nawe utanunua huduma?

Kama humpendi ni heri kuambizana ukweli kuliko kunyimana hivi vitu unajua mtu anavurugika Sana .
 
Mmmhh!! Kuwa na huruma we mdada huo ni ubinafsi.

Sasa wewe kama huna upwiru na mwenzio anao atahudumiwa na nani?

Vipi wewe ukiwa nao na mwenzio hana nawe utanunua huduma?

Kama humpendi ni heri kuambizana ukweli kuliko kunyimana hivi vitu unajua mtu anavurugika Sana .

Kwani wanaume mnakosaga upwiru
 
Nyie wanaume wengi wenu mna wazimu kichwani mwenu, muda wote mnawaza ngono ngono ngono

Umetongoza mdada hata hamjamaliza week ushaanza kuomba ngono.. halafu sisi tukiwaomba hela mnasema sie ni ombaomba

Kama mwanamke hajawai kukuomba pesa, hajawai kukwambia ana nyege anataka umle, basi mfunge hizo zipu zenu

Sina upwiru Sina njaa na pesa yako na wewe jitulize na nyege zako

NIKISIKIA UPWIRU NITAKUPA MWENYEWE USINIOMBE PAPUCHI YANGU

Ukianza kuniomba sex ujue na mimi nitakuomba hela.. maana wewe ndio mwenye upwiru

2025 kila mtu abaki na chake hatuwaombi hela na nyie msituombe papuchi

Nawasilisha
Mkuu nitoe na ten hapo.
 
Nyie wanaume wengi wenu mna wazimu kichwani mwenu, muda wote mnawaza ngono ngono ngono

Umetongoza mdada hata hamjamaliza week ushaanza kuomba ngono.. halafu sisi tukiwaomba hela mnasema sie ni ombaomba

Kama mwanamke hajawai kukuomba pesa, hajawai kukwambia ana nyege anataka umle, basi mfunge hizo zipu zenu

Sina upwiru Sina njaa na pesa yako na wewe jitulize na nyege zako

NIKISIKIA UPWIRU NITAKUPA MWENYEWE USINIOMBE PAPUCHI YANGU

Ukianza kuniomba sex ujue na mimi nitakuomba hela.. maana wewe ndio mwenye upwiru

2025 kila mtu abaki na chake hatuwaombi hela na nyie msituombe papuchi

Nawasilisha
Tusinyimane
 
Siuzi wala sinunuliwi nikiwa na upwiru natoa kwa Ridhaa yangu…

Kuniomba utamu na sijakuomba pesa yako ni kunikosea heshima tulia nikipata hamu nitakuambia mimi
Basi mm leo tarehe 01/01/2025 nakuomba utamu wako tuenjoy
 
Back
Top Bottom