Kama simu yako ni original chora huu mstari

Kama simu yako ni original chora huu mstari

Ila jamani mitandao ya kijamii ina balaa.
Ukute hapa nilipo kwenye post hii hii ya mistari, baba yangu mdogo au mjomba au shangazi au bamkubwa nae pia yupo anachora hii mistari huko kwake.
We mtoa mada ndio nini watu wazima sisi kutukalisha chini kuchora mistari na baba yangu mkubwa?
Hahahhahahh

Haha chora tu upo pekeako
 
Ndio style mpya hii sio , kwani ile ya TCRA haikufanya kazi ?
 
_____________________________
::::::::::::;:::/::::::::::::::/:::::;;;;;;;;;;;;:::-[emoji767][emoji768]===================××××××××××××××××××××××××××÷÷÷÷÷÷÷×××××ππ÷÷
 
Back
Top Bottom