Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gusa achia twende kwaoMakubwaaa
Hujuma TenaYanga iliyumba kwa hujuma tu.
Hii ndio ndio Yanga na walipaswa kuwa vinara wa kundi. Tunawaombea wazidi kufanya maajabu, kazi iliyombele Yao sio ya kitoto.
Utaona pira Gusa achia twende kwao.....Kwl game pekee ambayo yanga alizidiwa hadi akili ni dhidi ya waarabu maana ya Al hilal kulikuwa na uhai sema hawana utayari wa kufanya maamuzi....Ila atakufa kwakuwa ni game ya maamuziYanga nitaiamini baada ya kukutana na waarabu ila sio hawa bamutu bakongo.
Hiyo gemu ndio nitaanza kumuamini kocha ila sio izi za ndombolooUtaona pira Gusa achia twende kwao.....Kwl game pekee ambayo yanga alizidiwa hadi akili ni dhidi ya waarabu maana ya Al hilal kulikuwa na uhai sema hawana utayari wa kufanya maamuzi....Ila atakufa kwakuwa ni game ya maamuzi
Mechi ijayo anacheza wapi na nani?Yanga nitaiamini baada ya kukutana na waarabu ila sio hawa bamutu bakongo.
AiseeeYanga iliyumba kwa hujuma tu.
Hii ndio ndio Yanga na walipaswa kuwa vinara wa kundi.
Tunawaombea wazidi kufanya maajabu, kazi iliyombele Yao sio ya kitoto.
Ugenini vs Al hilalMechi ijayo anacheza wapi na nani?
Gusa achia tulale...Gusa achia twende kwao
Mbona wanasimba mna kauli tata🤣Gusa achia tulale...
HahahahahMbona wanasimba mna kauli tata🤣
Uko sahii,binafsi nimesha waambia wengi sana kuwa yanga alistahili kyongoza ila viongozi walijisahau ndiyo maana tulivulunda ila waendelee kuwa wamoja tutafika mbali.Yanga iliyumba kwa hujuma tu.
Hii ndio ndio Yanga na walipaswa kuwa vinara wa kundi.
Tunawaombea wazidi kufanya maajabu, kazi iliyombele Yao sio ya kitoto.