Kama siyo Martin Luther na William Tyndale basi mpaka leo tungekuwa watumwa wa Katoliki

Kama siyo Martin Luther na William Tyndale basi mpaka leo tungekuwa watumwa wa Katoliki

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293
Kati ya watu ambao wana nafasi kwenye dunia mpya ni Tyndale na Luther.

Nikisoma historia za hawa watu nasisimuka sana, biblia imetoka mbali sana. Kama sio ujasiri wa hawa basi mpaka leo tungekuwa tunadanganywa tu.

Ujasiri wao ndio umetuweka wazi mpaka leo, Luther alihatarisha maisha yake sababu ya neno la Mungu na Tyndale alichomwa moto sababu ya biblia.
 
Kaka mbona umetuacha hewan mzee tunataka au ninataka kujua walifanyaje hao
 
Nikuulize kitu labda kama wewe kweli unajua kitu na Umesoma kweli history ya hao watu.

Je Biblia Aliyoiacha Martin Luther Ndio mpaka leo Waprotestanti mnaitumia?
 
Malengo yao siyo yanayofanyika leo.

Tungebaki na kanisa moja Roman Catholic iwe isiwe kungeshatokea history nyingine.

Pale lilipoanzia Agano Jipya ndo ingeanzia historia nyingine, kwa kuwa tungekuwa kitu kimoja ingekuwa rahisi sana kugeuzwa,

But, kwa mtawanyiko wa makanisa haikuwa rahisi kuanza upya.

Nimeongea kiroho zaidi.
 
Kati ya watu ambao wana nafasi kwenye dunia mpya ni Tyndale na Luther. Nikisoma historia za hawa watu nasisimuka sana, biblia imetoka mbali sana. Kama sio ujasiri wa hawa basi mpaka leo tungekuwa tunadanganywa tu.
Ujasiri wao ndio umetuweka wazi mpaka leo, Luther alihatarisha maisha yake sababu ya neno la Mungu na Tyndale alichomwa moto sababu ya biblia.
Walioongoza kanisa katoliki enzi zile walikuwa ni makatili haswa ,ukisoma Ile historia ya Spanish inquisition Chini ya wale majesuit ndio utaelewa
 
Kati ya watu ambao wana nafasi kwenye dunia mpya ni Tyndale na Luther. Nikisoma historia za hawa watu nasisimuka sana, biblia imetoka mbali sana. Kama sio ujasiri wa hawa basi mpaka leo tungekuwa tunadanganywa tu.
Ujasiri wao ndio umetuweka wazi mpaka leo, Luther alihatarisha maisha yake sababu ya neno la Mungu na Tyndale alichomwa moto sababu ya biblia.
Imagine hata kutafsiriwa Tu Kwa Bible ilikuwani uhaini ,wengi hapo kama huyo Tyndale nadhani aliuawa Kwa kuchomwa Moto mpaka kufa Kwa kosa la kukosoa uMungu mtu WA institution ya upapa na kutafsiri biblia Kwa lugha nyingine
 
Miaka hiyo pope ndio alikuwa mungu mtu Kule Europe ,walitesa Sana watu na nahisi ndio sababu iliyochangia kuleta academic and philosophical revolution iliyoibadilisha Europe mazima mpaka leo , Yule Galileo alihukumiwa kifo Kwa kupinga theories za kanisa kwamba jua ndio linaoizunguka dunia yeye akaja kisayansi na kusema dunia ndio hulizunguka jua ,akaitwa "heretic " au muasi na death penalty alipewa
 
Back
Top Bottom