Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Eti ndio walimpa kura..akili sijui za wapi hiziJe ni kweli mwendazake aliwapenda machinga kwa kuwaacha wafanye biashara holela kokote hata wengine kupata vilema na kufa kwa ajali za barabarani au alikuwa akilitengeneza hili bomu la wajinga wasiojua sheria za mipango miji kwa faida zake binafsi?
Mkuu umenichekesha [emoji23][emoji23][emoji23]. Uliona oooh hoooo. Hapa masela wamejaa watanipumzikia na hizi hasira walizonazoBinafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.
Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.
Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?
Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.
Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.
Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Muelewe jamaa. Hajajiita mnyonge. Amesema amekutana na wanyongeMalipo ya maji,umeme,afya nk pia chakula,malazi na mavazi unapambana unapata mwenyewe alafu bado unajiita mnyonge[emoji23][emoji23]
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Mwendazake alitaka wananchi wa tanzania wawe na thamani sawa na wageni kutoka nje. Kama ww unavoenda ulaya. Unakuta wazawa wanathamani na maisha mazuri kuliko ww. Sio foreigner anakuja ugenini anaishi vizuri masaki na mwenyeji haruhusiwi hata kukanyaga masaki na kufanya biasharaTofauti ya mwendazake na huyu mama ni kwamba mwendazake alikuwa amewafanya wavunje utaratibu, ustarabu na kanuni. Huyu mama hayuko hivyo. Majiji na miji yanapaswa yaheshimiwe sio kila sehemu kumekuwa ni soko kwa kigezo tu cha unyonge. Kazi iendelee na utaritibu ufatwe
Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.
Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.
Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?
Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.
Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.
Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
JPM alipandikiza mzimu kwa hao jamaa msiwaonee,msiwadhulumu wala msiwanyanyase...Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.
Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.
Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?
Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.
Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.
Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Mama wala simuamini.Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.
Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.
Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?
Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.
Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.
Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Wangeachaje kumpenda wakati aligawa mahela barabarani.Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.
Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.
Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?
Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.
Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.
Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Labda za "Dom kama si Chattle!!"Eti ndio walimpa kura..akili sijui za wapi hizi
Magufuli hapendi kufuata utaratibu na wamachinga hawapendi kufuata utaratibu ndo maana wamemmiss, wao kila eneo wanataka kupanga biashara, kutokufuata kwao utaratibu unakupa TRA wakati mgumuBinafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.
Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.
Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?
Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.
Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.
Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.
Hata Kodi hawataki kulipaHao wanyonge wanasaidia nini hii nchi?
Waliwacheka nyie akina Nani ambao wamachinga waliwacheka?Zamu yao kuishi kishetani walitucheka sana
Watu Waliokuwa wakishughulikiwa na Utawala dhalimu wa diktetaWaliwacheka nyie akina Nani ambao wamachinga waliwacheka?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mwendazake hakuwahi kuwa na upendo na mtu yeyote. Kila kitu alifanya kwa unafiki. Na ukiwa na akili ndogo, ungeweza kuamini kuwa anawapebda maskini.Binafsi hivi majuzi tu tena nikiwa Sokoni nimekutana na Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wakiwa wanasema hauna Upendo Kwao kama aliokuwa nao Mwendazake.
Nilijitahidi kukutetea kwa Nguvu zote mpaka pale nilipoona naanza Kuzungukwa nao ( kuwekwa Mtu kati ) huku Nyuso zao zikiwa na Jazba na kutumia Akili ya ziada nikawazuga kidogo na kuondoka kwani nilihisi kilichokuwa kinafuata pale ni Mimi Krav Maga kupokea Kipondo.
Hali hii ikanipelekea Kujiuliza ni Kitu gani Mwendazake aliwapa hawa Wamachinga na Wanyonge ( Masikini ) wenzangu kiasi kwamba walimuamini na kumpenda 100%, ila Kwako Wewe ni tofauti japo mara kwa mara unarejea Kauli Mbiu yako ya Kazi Iendelee na utafanya yale yale aliyokuwa akiyafanya?
Na hakuna Kitu kinachowauma kama siyo Kuwakera kwa sasa pale wakikuona kila mara upo Juu Angani kama Popo kwa Kusafiri na Ndege huku Gari ukiwa huzitaki kabisa wakati Kero zao zilizoanza Kujitokeza kama ile ya pale Stendi Mpya Mbezi Lois na hii ya Juzi ya hapo Ilala ukiwa umezinyamazia wakati Mwendazake angekuwepo angeshazitatua mara moja.
Wakati nabishana nao Sokoni nikiwa nakutetea kuna Mmoja nilimsikia akisema Tanzania sasa imempata Rais Mrembo na Mpaka Mafuta ya Kuuongeza tu Weupe wake Usoni na muonyesha Mitindo ya Mavazi. Nilitaka Kumjibu ila nilipomuangalia vizuri Mkononi nikaona ameshika Kisu cha Kuchinjia Kuku na Kuogopa kuwa huenda ningethubutu kunyanyua Mdomo wangu leo hii ama ningekuwa ICU Muhimbili au naendelea tu Kuganda na Friji za Mochwari ya Mwananyamala Hospitali.
Mama lifanyie sana Kazi hili Uaminike.