Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 19,687 Reaction score 23,689 May 18, 2021 #41 kalonji said: Watu Waliokuwa wakishughulikiwa na Utawala dhalimu wa dikteta Click to expand... Kwahiyo na wao Sasa wanashughulikiwa na utawala nanyi mnafutahia utawala unaowashughulikia? Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
kalonji said: Watu Waliokuwa wakishughulikiwa na Utawala dhalimu wa dikteta Click to expand... Kwahiyo na wao Sasa wanashughulikiwa na utawala nanyi mnafutahia utawala unaowashughulikia? Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
K kalonji JF-Expert Member Joined Feb 17, 2021 Posts 6,300 Reaction score 8,152 May 18, 2021 #42 Kadhi Mkuu 1 said: Kwahiyo na wao Sasa wanashughulikiwa na utawala nanyi mnafutahia utawala unaowashughulikia? Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app Click to expand... Utawala unaofata sheria kwao ni maumivu.Usiofata sheria ulituumiza.Hivyo tuvumiliane tu maumivu
Kadhi Mkuu 1 said: Kwahiyo na wao Sasa wanashughulikiwa na utawala nanyi mnafutahia utawala unaowashughulikia? Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app Click to expand... Utawala unaofata sheria kwao ni maumivu.Usiofata sheria ulituumiza.Hivyo tuvumiliane tu maumivu
Mwanamageuko JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 8,604 Reaction score 5,583 May 18, 2021 #43 Opportunity Cost said: Hao wanyonge wanasaidia nini hii nchi? Click to expand... Kujaza taka barabarani na kusababisha ajali... achilia mbali kutengeneza vibaka wauza vitu vya deal
Opportunity Cost said: Hao wanyonge wanasaidia nini hii nchi? Click to expand... Kujaza taka barabarani na kusababisha ajali... achilia mbali kutengeneza vibaka wauza vitu vya deal
Sijali JF-Expert Member Joined Sep 30, 2010 Posts 2,672 Reaction score 1,814 May 18, 2021 #44 Acheni nyie nchi yote iwekwe ransom na Machinga na Boda Boda? Kwanza mama asafishe mji na hao Boda Boda waishie km 5 nje ya mji. Hatuwezi kuendelea kuwa na mji mchafu, vurugu nk. Lazima tuwe kisasa. Hizi idea za umaskini unaoendelea viishe.
Acheni nyie nchi yote iwekwe ransom na Machinga na Boda Boda? Kwanza mama asafishe mji na hao Boda Boda waishie km 5 nje ya mji. Hatuwezi kuendelea kuwa na mji mchafu, vurugu nk. Lazima tuwe kisasa. Hizi idea za umaskini unaoendelea viishe.