Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Penye kusikitika we unalimwaga cheko dah! Sawa bana![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani na wewe sis ni Mrombo? ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ๐๐ฟโโ๏ธ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiiiiii...sasa Rombo imeingiaje kwenye mapenzi yenu lakini?
nimefurahi sana,hakuna mbabe kwenye mapenziPenye kusikitika we unalimwaga cheko dah! Sawa bana!
amejirekebisha msamehe muanze upyaTumefikia makubaliano ya kuachana kwa amani sitaki nimuone tena
Kuna watu kila wakikumbuka ilivyokuwa ina naniliu kwa ndani, wanaishiwa nguvu ๐๐๐น๐นEti kama hizi stress za mapenzi zingekuwa zinaua wewe ungekuwa marehemu tangu mwaka gani?
Aah yaani mimi ningekufa mwaka jana yaani ningekuwa sasa hivi nimebaki mifupa ila Alhamdulillah hazijaniua zimenifanya tu kuwa sugu.
Bahati mbaya hata yeye anajua hastahili kusamehewaamejirekebisha msamehe muanze upya
Yaani alijua kunikomesha vibaya sana ila malipo hapa hapa yamemkuta mazitokaka zangu tena jaman
machozi yetu hayaendagi bureYaani alijua kunikomesha vibaya sana ila malipo hapa hapa yamemkuta mazito
Woiii tenaBahati mbaya hata yeye anajua hastahili kusamehewa
Ni shetani japo sijamwambia neno lolote bayaWoiii tena
kimya nalo ni jibu,ikiwezekana kata kabisa mazoea naeNi shetani japo sijamwambia neno lolote baya