Kama stress za mapenzi zingekuwa zinaua ungekufa mwaka gani?

Kama stress za mapenzi zingekuwa zinaua ungekufa mwaka gani?

2021 April, Yaani yule msng Juduth alitaka kuondoka na roho yangu. Sema kifo changu, watu wangelisingizia Corona
 
Manzi wa kwanza kugundua kanichiti ndio aliniumiza kidogo nife,nlikuwa kidato Cha pili merudi home likizo,wakati huo nlikuwa namiliki mche aina ya Philips savvy manzi alikuwa ndio anawiki toka anunue Motorola mayai,nikamwomba niishangae nkafanya kosa nikaingia inbox,yaani nakumbuka kesho yake asbuhi nliamka kama mwili umegongwa na treni na moyo ulikuwa una enda Kasi yaani ilichukua miezi 6 kumsahau yule mshamba
 
2019.....

Ila imenifanya nimekuwa mtu mpya, nimeijua dunia Kwa uhalisia wa rangi zake.
Sasa hivi nimekuwa piga nikupigie, ukiweka ugoko naweka jiwe....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Potelea pweteee.
[emoji1787]asanteee
 
2023 huu mwaka nimeuanza vibaya na naumaliza vibaya,ila fresh tu nilizaliwa peke yangu
 
Kuna katoto kawatu nakapenda Sana kakiniacha ndio nitajuaa maana ya stress za mapenzi
 
Mwaka huu tarehe 1 mwezi wa saba alinitikisia kiberiti ila nilimuonyesha maamuzi magumu hadi akaanza kulia ye mwenyewe akasema sijawahi kukutana na mwanaume mwenye roho ngumu kama wewe , sahiv kaanza tena kunitafuta ila nimemkazia sitaki hata kumuona asije akanifanyia jaribio lingine la kuniua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]asije kukufanyia jaribio lingine lakukuua
 
Desemba mwaka huu nagonga miaka 77. Nilifikiri kwamba nimeshamalizana na hizi hekaheka za mapenzi. Aaaa wapi bwana. Kumbe ni kweli hayanaga mwongozo. Yaani nimekuja kubananishwa na kibinti cha Kisukuma kimatani matani tu hivi najiona kabisa na akili zangu kamili....

Ni siteresi 24/7 na sioni hata dalili za kujinasua yaani. Kweli hujafa hujaumbika wallahi!

Ila nitatoboa tu [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom