Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Wantanzania kama taifa tupo katika kipindi kigumu sana.Maambukizi ya huu ugonjwa yameongezeka kwa kasi (Covid -19).
Kama taifa inatupasa tuweke siasa kando. Tushikamane ili kupambana na hili janga. Kama jamaa zetu kule China wana namna ya kupambana na huu ugonjwa basi tuwanonog'eze watuambie ni hatua zipi za haraka tuchukue.
Mpaka sasa total reported cases ni kama 170.Ila waliopona ni wachache sana ukilinganisha na maambukizi, maana wamepona watu 11. Hii inaonyesha wanaopona ukilinganisha na maambukizi ni ratio ndogo sana.
Nina hakika kabisa kabisa huduma za afya hapa Tanzania ni duni ukilinganisha na mataifa kama Usa,Italy, Spain au Italy. Hivyo kama wagonjwa wakiongezeka itakuwa balaa kubwa.
Nashangaa sana kuna watu ati kisa ni wafuasi wa vyama vya upinzani basi wao wanafurahia hili janga liliwaue watanzania kwa wingi. Kisa tu serikali iliyopo madarakani ionekane imefeli kukabiliana na hili janga.
Hii haijakaa vizuri kabisa.
Kama taifa tuonyeshe umoja kwa kila namna ili kila mtu atoe mchango wake wa kila namna ili kukabiliana na hili janga. Tuache siasa za kupotosha au kupunguza morale ya kupambana na hili janga.
Kama taifa inatupasa tuweke siasa kando. Tushikamane ili kupambana na hili janga. Kama jamaa zetu kule China wana namna ya kupambana na huu ugonjwa basi tuwanonog'eze watuambie ni hatua zipi za haraka tuchukue.
Mpaka sasa total reported cases ni kama 170.Ila waliopona ni wachache sana ukilinganisha na maambukizi, maana wamepona watu 11. Hii inaonyesha wanaopona ukilinganisha na maambukizi ni ratio ndogo sana.
Nina hakika kabisa kabisa huduma za afya hapa Tanzania ni duni ukilinganisha na mataifa kama Usa,Italy, Spain au Italy. Hivyo kama wagonjwa wakiongezeka itakuwa balaa kubwa.
Nashangaa sana kuna watu ati kisa ni wafuasi wa vyama vya upinzani basi wao wanafurahia hili janga liliwaue watanzania kwa wingi. Kisa tu serikali iliyopo madarakani ionekane imefeli kukabiliana na hili janga.
Hii haijakaa vizuri kabisa.
Kama taifa tuonyeshe umoja kwa kila namna ili kila mtu atoe mchango wake wa kila namna ili kukabiliana na hili janga. Tuache siasa za kupotosha au kupunguza morale ya kupambana na hili janga.